Nina mpenzi mpya ila mpaka mimi nimtafute

Nina mpenzi mpya ila mpaka mimi nimtafute

Ko

Ahsante kwa kujibu! Sasa kiongozi kwa jinsi ulivyomuelezea uzuri wake ina maana anatongozwa na watu wengi sana, hivyo anapata kiburi kwamba anapendwa na wengi! Kwa kifupi amewapanga wengi! Kingine kinaweza kuwa ni ubinafsi wake unafanya anakuwa hivyo. Nakupa haya kwa uzoefu niliupata kwa msichana mmoja, yaani alikuwa na tabia kama hizo, nilichofanya sikumtafuta kabisa, mwenyewe akaanza ku-view status zangu na kuanza ku-comment. Sikuwa namjibu, alinyoosha mikono. Mkuu chukua maamuzi magumu, unaweza pata stress bure! Kila la kheri!
Yaaan nmejitaid sana lkn hakuna kitu full stress
Sasa nafanya maamuz magum
 
Hata kama angekuwa wewe, ungeweza mchangamkia mtu anayewaza amepoteeeza sana kwa kutumia 30,000 kwa mpenzi mpya?
 
Kama hujui kusoma hata picha huoni? ukiona hivyo jua kabisa hupendwi ni vizuri ukaachana naye utafute mwingine, pole kwa yote.
 
Tabia za wanawake wazuri hizo, kifupi anakupa wakati wa kukupima, je una fit vizuri kama mwanaume, kikubwa acha papara, kama unapenda kuchat sana tafuta marafiki zako wa kike wengine chat nao hivyo, yeye mpe nafasi, kaa nae kwa mwaka mzima halafu mwambie unataka muishi kama mme na mke, akikubali sawa akisema bado, piga chini!! tafuta mwingine!!
Like seriously mwaka mzima?
 
Poleni na tozo za miamala

Mie nina mpenzi mpya kabisa ila tatizo nisipomtafuta mie baasi ujue ndio siku imepita hivyo... Nikimwambia ' Nakupenda' anajibu ahsante.

Nikimpigia simu anasema ana kazi atanitafuta baadae baasi hiyo baadae mpaka mie nimtafute. Nikimtumia msg anajibu inshort sana yaaani naandika maelezo marefu yeye anajibu sawa au asante.

Ila nikimpelekea zawadi anapokea sana nimeisha poteza kama elfu 30 hivi.

Unalia umepoteza elfu 30 .

Mimi niliooteza si chini ya milioni 10 na makaburi ya wazazi wake nilijenga, ila naamini Mungu atanifuta machozi kwa furaha siku yangu ikifika
 
Ukakijipost nakujipost kbs au ulihis unablouse FB?

Nilipopna huo mpasuo wa suruali nikaahirisha kutoaushauri
 
Poleni na tozo za miamala

Mie nina mpenzi mpya kabisa ila tatizo nisipomtafuta mie baasi ujue ndio siku imepita hivyo... Nikimwambia ' Nakupenda' anajibu ahsante.

Nikimpigia simu anasema ana kazi atanitafuta baadae baasi hiyo baadae mpaka mie nimtafute. Nikimtumia msg anajibu inshort sana yaaani naandika maelezo marefu yeye anajibu sawa au asante.

Ila nikimpelekea zawadi anapokea sana nimeisha poteza kama elfu 30 hivi.

Unashika mkia wa mbwa alafu unauliza mkundu upo wapi?
 
Najaribu kuvuta subra wenda ataelewa somo kwasababu nataka nioe kabisa
Unafanya mchezo mbaya
Wachezea sarafu chooni
Ikitumbuki usije kulalama
Twakataa kelele sizo haja
Wajikata kidole mwenyewe
Halafu walalama waumia
Acha ujinga

Bazazi
 
Back
Top Bottom