Bablemuba
Senior Member
- Jul 14, 2020
- 131
- 113
hahhahahahhahah......kamuulize meja kunta alivyoimba ile nyimbe yake ya madanga.....hao ndo watoto waWewe ni Ke au Me? Kama wewe Ke na ushaliwa sio ajabu, na Me vile vile hauna maajabu na sio ajabu hio pesa wapo wenye shida elfu2 kwa siku anakuona malaika. Reference ya mbwa ya mdau usiipuze paukwa pakawa
buza mzeeee....tafuta mmama kama mimi...mana likizingua naopoa lingine mkuuu