Nina mpenzi mpya ila mpaka mimi nimtafute

Nina mpenzi mpya ila mpaka mimi nimtafute

Wewe ni Ke au Me? Kama wewe Ke na ushaliwa sio ajabu, na Me vile vile hauna maajabu na sio ajabu hio pesa wapo wenye shida elfu2 kwa siku anakuona malaika. Reference ya mbwa ya mdau usiipuze paukwa pakawa
hahhahahahhahah......kamuulize meja kunta alivyoimba ile nyimbe yake ya madanga.....hao ndo watoto wa
buza mzeeee....tafuta mmama kama mimi...mana likizingua naopoa lingine mkuuu
 
"Hapendwi mtu inapendwa POCHI"

si maneno yangu nimenukuu kutoka kwa Nay wa mitego.
 
Kama amekubali komaa, madem ndio walivyo apo ukikomaa komaa ataona value yako ila na ww usiwe unatuma sms kama kitabu sasa.

Kua romantic tu.
 
Ndo niwekeze mwaka mzima kwel ujue inakatisha tamaa sana yaaan
Kuna kipind nikazuga naumwa hata kuulizia kuwa naendele aje hakuna
Ha ha ha...mkubwa umri ila una mambo ya kitoto sana[emoji848][emoji848][emoji16]

Mpaka hapo hujui hupendwi?

Ukiona mwanamke hana shobo na weee ktk chatting ujue hupendwi

Wewe hupendwi hata kidogooo
 
Kama amekubali komaa, madem ndio walivyo apo ukikomaa komaa ataona value yako ila na ww usiwe unatuma sms kama kitabu sasa.

Kua romantic tu.
mkuuu ukisema huyo demu ni mpya unakosea....mana alikotoka huko ni dekio mkuu......chunga maandishi yako mkuuu...demu mpya siku hizi hamnaaa....nisamehe kama nimekosea kuandikaa
 
mkuuu ukisema huyo demu ni mpya unakosea....mana alikotoka huko ni dekio mkuu......chunga maandishi yako mkuuu...demu mpya siku hizi hamnaaa....nisamehe kama nimekosea kuandikaa
Kwako ni mpya, usiangalie nani anamuonaje ila wewe unamuonaje. Inachukua muda mwanamke kumpenda mwanamke.

Ni kawaida yetu wanaume kua wavumilivu mnoo kabla ya kupata mbususu utakua ni mwanaume wa ajabu kama hujui hilo. We vumilia tu ukipiga show murua atakutafutaga tu mwenyewe
 
Ha ha ha...mkubwa umri ila una mambo ya kitoto sana[emoji848][emoji848][emoji16]

Mpaka hapo hujui hupendwi?

Ukiona mwanamke hana shobo na weee ktk chatting ujue hupendwi

Wewe hupendwi hata kidogooo
Ili limfikie mtoa Mada, alione vizuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Baadhi ya wanawake nyie hamfahi.

Itoshe tu kumwambia mleta mada aachana na huyo msichana,atamuumiza kichwa. Ukiona mwanamke ana act hivyo, achana naye mara moja.
 
Kwako ni mpya, usiangalie nani anamuonaje ila wewe unamuonaje. Inachukua muda mwanamke kumpenda mwanamke.

Ni kawaida yetu wanaume kua wavumilivu mnoo kabla ya kupata mbususu utakua ni mwanaume wa ajabu kama hujui hilo. We vumilia tu ukipiga show murua atakutafutaga tu mwenyewe
hahahahahhahahhahahah
 
Hapa naanza kukuelewa kabsa kwasb yee ni mwalimu mie napiga mishe za dukan tuuu
Kumbe unauza duka inaweza kuwa hata si la kwako pia
Kama ni mwalim huyo ana ndoto ya kuwa na mtu ambaye ni wa level yake au juu zaidi
Ukizingatia wanawake wa hiyo kada wana nyota ya kuwa na wanaume ambao wanakuja kuwa marais baadae
 
Sasa mkuu mwandiko wako ndo huo "mie nna mpenzi" unadhani atakuelewa kweli?
 
Kumbe unauza duka inaweza kuwa hata si la kwako pia
Kama ni mwalim huyo ana ndoto ya kuwa na mtu ambaye ni wa level yake au juu zaidi
Ukizingatia wanawake wa hiyo kada wana nyota ya kuwa na wanaume ambao wanakuja kuwa marais baadae
Kwaiyo mkuu ma Rais waliyopita wote wake zao ni walimu?
 
Back
Top Bottom