Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Kuna mwamba anampa kiburi pia.Hapa naanza kukuelewa kabsa kwasb yee ni mwalimu mie napiga mishe za dukan tuuu
Huo ndio ushindani wa bidhaa kama hizo za hapo Dukani kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mwamba anampa kiburi pia.Hapa naanza kukuelewa kabsa kwasb yee ni mwalimu mie napiga mishe za dukan tuuu
Kabsa kwasb uwa anapenda kulia lia shidaHuyo hana mapenzi na wewe, anakupa matukio ili ujiongeze mwenyewe uachane naye. Soma alama za nyakati mkuu, usipo angalia ipo siku atakutolea uvivu tu na kukuambia ana matatizo, anataka pango la nyumba la milioni 6 ili tu akukimbize.
Nilidhani ni demu analalamika kumbe jamaa, aisee...Polen na tozo za miamala
Mie nina mpenzi mpya kabisa ila tatizo nisipomtafuta mie baas ujue ndo siku imepita hvyoo...
Nikimwambia ' Nakupenda' anajibu ahsante
Nikimpigia simu anasema ana kazi atanitafuta badae baas hiyoo baadae mpaka mie nimtafute
Nikimtumia msg anajibu inshort sana yaaani naandika maelezo maelefu yeee anajibu sawa au asante
Ila nikimpelekea zawadi anapokea sana nimeisha poteza kama elf 30 hivi.
Hilo siyo tatito,shida ni kwamba na yeye ana mtu wake anayempenda sana, ishu inaweza kuwa si kipatoAu kwakuwa ni muajiriwa serikalin nn mie napiga issue za dukan ila nikiangalia kifedha naona kabsa namzid japo mie muuza duka
Kuna usemi wako mmoja huwa naukumbuka.. mademu wengine yamekaa kama mapaka ya kimara resort, yanawinda , sasa huyu jamaa amekuwa lipaka kwa penzi jipya!Very familiar…
KabisaaWenda aisee nae kuna sehem anapata tabu
alieanza kumtafta mwenzake nani kwanKwani kuna shida gani ikiwa we mwenye shida ndo unamtafta?
Kasome uzi tenaalieanza kumtafta mwenzake nani kwan
haya[emoji12]Kasome uzi tena