Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Akili ni nywele mkuu..... Itoshe kusema hiviIngekua rahis hivyo walimu si wangeshatoboa maisha mana ndo biashara yao
Wewemi ntakupiga sasaSasa babu yako si anavaa msuli, nkikunja msuli hamna shida
We zombie weee haujuiHizo biashara ya visheti kashata ice cream usidhirau. Kuna dingi mmoja na mke wake wanauzia wanafunzi wa primary na secondary pale mavurunza kimara. Jioni wakikutana na mke wake pesa wanayoweka mezani mzee sio masihara.
Kwaiyo kuna baadhi za biashara unaweza zichukulia poa ila zinafaida sana inategemea tu na uthubutu wako na namna utavojitoa.
Anaanzia wapi sasanunua kabati la aluminium la chips 200000
Mafuta lita tano 30000
Viazi kilo 20 ni 20000
meza na viti 100000
Karai la kukaanfa chips na sahani na tomato na chil sauce 50000
Yai trey 10000
Anza kazi
Akienda naye kuuza hapo watamloga.au figisi za ajabu.Hizo biashara ya visheti kashata ice cream usidhirau. Kuna dingi mmoja na mke wake wanauzia wanafunzi wa primary na secondary pale mavurunza kimara. Jioni wakikutana na mke wake pesa wanayoweka mezani mzee sio masihara.
Kwaiyo kuna baadhi za biashara unaweza zichukulia poa ila zinafaida sana inategemea tu na uthubutu wako na namna utavojitoa.
Binafsi hili wazo nimelielewa sanaMimi wazo langu kwako ni simple tu.
Badilisha hii akaunti yako uwe Verified User, tumia majina yako au jina moja na eneo unalotoka mfano. Mkulu wa Kagera alafu sasa anza kuuza senene hapa hapa JF uwe muaminifu tu.
Sajili lipa namba na uwe unatumia iyo lipa namba kwa biashara yako hiyo ikiwezekana fungua na akaunti ya benki.
Hapa kazi yako ni kutafuta senene kuwaweka vizuri na kuuza huku JF.
Kuna wahaya kibao tu huku wanazimis senene watakuungisha Mkuu.
Kila la heri
Pamoja MkuuBinafsi hili wazo nimelielewa sana