Mh bajaj mpya ni m8+ na ukijichanganya kununua used ni maumivu sana bajaj nyingi hazina usimamizi mzuri nje unaweza iona imesimama ila ndani majanga matupu.Mie naona bajaj
Asante kwa ushauri mzurisikushauri biashara ya boda bora ungeniambia uwe wakala wa kuziuza sio ww uwe boss na mafuta haya yanavyopanda utakula maumivu zitagegeduliwa siku ikirudishwa imeshachakaa na hela hujapata ww cha kufanya anzisha mradi mdogo wa kulima mchicha au fungua duka la bidhaa na nafaka zisikosekane. au kama una eneo lipo free hulipii anzisha mradi wa nguruwe ukiwa na nguruwe wako wawili tu dume na jike na banda la kawaida la gharama nafuu unaweza anzisha kitu ambacho kitakua kwa kasi na nguruwe analika sio nyama ya kudoda.
Bajaj upakia kwa foleni, toyo uhakika unakuwa na wateja wako wa masokoni.Mie naona bajaj