Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko wapi tafuta sehemu yenye waoita njia wengi ,lipa kodi ya miezi sita kwa lakilaki jumla laki sita,laki nne rekebisha ofisi,milioni nne chukua mzigo baki na milioni bankNipe hints za duka la nafaka
Mimi bajaj zilinipeleka mbio mpaka nikaziuza bei ya hasara,madereva miyeyusha sana aisee!Bodaboda naona biashara kichaa, sijui ni kwa vile mimi sikutoboa kwenye bodaboda.
1. Wizi wa chombo
2. Madereva miyeyusho
Tupe details kuhusu hii biashaharahiyo hela ni Bora uanzishe biashara ya mafuta ya kula ya alizeti kutoka singida utanishukuru
Achana na bodaboda fanya biashara utakayoweza kuisimamia mwemyewe au nunua moja endesha mwenyeweNimejichanga nimefanikiwa kupata mtaji wa milion 6
Nataka ninunue pikipiki 3 moja yangu na nyingne niwape vijana
Kama unafaham changamoto au ushauri plz sema
Ngoja nijitahidi nikijuacho…Tupe details kuhusu hii biashahara
A, mtaji kiasi gani wa kuanzia?
B,biashara ipo mfumo gani ni udalali au unafungua frame kabisa kwa ajili ya wanunuzi?
C, changamoto ya upatikanaji mafuta, changamoto ya usafirishaji na kwa wanunuzi
D,faida inapatikanaje, mf lita moja itakupa faida ya kiasi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na bodaboda fanya biashara utakayoweza kuisimamia mwemyewe au nunua moja endesha mwenyew
Nimejichanga nimefanikiwa kupata mtaji wa milion 6
Nataka ninunue pikipiki 3 moja yangu na nyingne niwape vijana
Kama unafaham changamoto au ushauri plz se
Boda boda INA hela kikubwa usimamiz na ni biashara isio na kulipa fremu ya kodi wala kitu gani unapata hela cash kwa weeek hesabu 7tsh piga kwa week na mwez kwa hela hyo hela IPONimejichanga nimefanikiwa kupata mtaji wa milion 6
Nataka ninunue pikipiki 3 moja yangu na nyingne niwape vijana
Kama unafaham changamoto au ushauri plz sema
Ina hela ukiendesha mwenyewe ila kumpa dereva akuletee hesabu usijaribu kabisaBoda boda INA hela kikubwa usimamiz na ni biashara isio na kulipa fremu ya kodi wala kitu gani unapata hela cash kwa weeek hesabu 7tsh piga kwa week na mwez kwa hela hyo hela IPO
Biashara gani hiyo?Hiyo yako kaa nayo
Hiyo inayobaki njoo tuingie mkataba kwenye biashara yangu hesabu watakayo kupa bodaboda kwa mkataba ntakuwa nakupa Mimi
Kikubwa usimamiz na masharti makali mfano me ninayo moja hesabu kwa siku 7000 pikipiki inalala kwangu service nafanya mwenyew kwa mwez Mara 3 elfu 18 pamoja na oil 36 elf apo MTU anafanya kaz vzurIna hela ukiendesha mwenyewe ila kumpa dereva akuletee hesabu usijaribu kabisa