Nina mtaji wa milioni kumi; nifanye biashara ipi kati ya hizi nilizochagua?

Kwa biashara ya vyombo ukipita kariakoo ule mtaa wa vyombo kuna wamachinga wanauza vyombo barabarani ... Elewa hivo vitu walivyoweka ndio vinavotembea sana...tafuta machimbo yao utapata profit kubwa.
 
Ni sawa na kusema hakuna muuza samadi ambae yy masikini anaeweza fanya shamba lako listawi kumzidi maisha
Mfano wako ni irrelevant kama unaona muuza samadi anafaidika si ufuge ng'ombe wewe mwenyewe..mganga dawa ya kufanikisha mambo yako anaitoa wapi? Kwanini asiitumie yeye mwenyewe kufanikisha mambo yake?muuza samadi anaweza kuacha kukuuzia samadi akaitumia kwenye mashamba yake vipi mganga anaweza?
 
Usiende kwa mganga kufanikisha mambo yako .hiyo ni neno MAFANIKIO lina mengi.ww fungua baa vizuri piga vita yote ya kibinadamu Kisha leta wa 3 wazuie mchawi asisogee.mganga ukijielewa ni kama linzi wa
 
Usiende kwa mganga kufanikisha mambo yako .hiyo ni neno MAFANIKIO lina mengi.ww fungua baa vizuri piga vita yote ya kibinadamu Kisha leta wa 3 wazuie mchawi asisogee.mganga ukijielewa ni kama linzi wa
"Kisha leta wa 3 wazuie mchawi asisogee.mganga ukijielewa ni kama linzi wa"

Mzee sijakuelewa hapo
 
Hzo changamoto ni km zpi plzz[emoji848]
 
Mimi ningemtafuta kabisa tuonane ana kwa ana anipangie proposal inayoeleweka mpaka nielewe kabisa ikibidi anipeleke ground nione mambo yalivyo.
Kweliii mkuu sometimes haya mambo ukiyasikiliza yanavyoangaliwa na ukikuta the way uhalisia ulivyo ground unaeza ukachokaa aiseee
 
Siyo mfanya biashara kwa sasa ijapo niliwahi kufanya biashara miaka ya 2006-8 huko.
Nilichokigundua ni vigumu sana kulinda biashara yako isiharibiwe na walimwengu.

Kazi ngumu kwenye utafutaji wa fedha siyo kuitafuta bali ni kuilinda na kuitunza.
Unataka kumaanisha nn mkuu naona km una madini hv embu weka sawa tukuelewe
 
Huo ndio ukweli biashara inaendena na waganga mimi nakuambia hivyo kwa uzoefu nimezaliwa katika familia ya wafanyabiashara na mimi nafanya biashara
Ni kweli kushika pesa,kutunza na kuziendeleza inahitaji nguvu...either nguvu za giza au nguvu za darasani.

Kuna msemo unasema....pesa zina nguvu kuziendesha pesa inahitaji nguvu zaidi
 
Aje achukuwa notice kwangu ama.vip afunguwe kijiwe Cha kuuza vitanza na mezaaaina zote
 
Huo ndio ukweli biashara inaendena na waganga mimi nakuambia hivyo kwa uzoefu nimezaliwa katika familia ya wafanyabiashara na mimi nafanya biashara
Mzee acha hzo mkuu unadhaalikisha familia yako Happ kwa kuwaita washirikina. Siyo sawa Hilo
 
Biashara ya vifaa vya ujenzi na elekroniki kwa mawazo yangu inahitaji mtaji mkubwa sana. Milioni kumi ni nyingi sana ila haitoshi kwa vifaa vya ujenzi.
Kbsaa mm nimeweka kumi na nne na Bado sioni kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…