Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 558
- 1,117
- Thread starter
-
- #141
Pamoja sana mkuu nakungoja..[emoji123]Juzi kulikuwa na mtu anashangaa kwa vipi mtu kajenga nyumba kwa muda mfupi kwa biashara ya vyombo ndio nikawa namweleza jinsi inavyolipa.
soko unaweza kulitengeneza kuna aina fulani ya soko natoka nikirudi nakuja kuendelea tena na hiki nilichowaza kuhusu biashara hii usifanya kimazoea ukiona sikurudi njoo pm nitakusaidia mawazo kwakuwa huko siwezi acha kujibu msg. BURE
Yote itaishia kwny hiace tu dadekiiiiYeah 10mln ndogo
Aahh shukrani sanaa mkuu hii itabidi nikufate PM au tubadilishane contacts unipe madini zaidiKama Huna Any Support System (Back Up Ya Ajira, Asset Yako Iwe Ya Kurithi au Yako Mwenyewe Inayokuingizia Hela, Back up ya kazi / biashara za wazazi)
Fanya Yafuatayo Regardless Umesoma Au La
1. Swallow ur pride usijione kama wewe ni wa kufanya kazi za aina flan (za kisomi) pekee.
2. Nunua Smartphone Kali
3. Nunua Bajaj Used iliyo on mint condition Sajili Bolt, Uber, Taxify and the likes. Kama salio likiruhusu funga mfumo wa gas
4. Ukiwa na hicho chombo chako cha usafiri jihusishe na udalali wa vitu tofauti tofauti magari, apartments za kupangisha na vyumba ya hotels or lodges, viwanja (from clean sources)
5. Always be open minded, ukiona au kuletewa fursa hata kama huna interest nayo ipokee sikiliza na ujifunze. Kama huna mpango nayo weka information akilini itakusaidia one day. Binafsi Nina ushahuda na hili.
Utanishkuru baadae kama we ni msomi ukija shoboka na ajira za hata 2 M take home kwa mwezi niite mbwa. Nimekaa pale [emoji1428]
Exposure utayopata kwenye hzo mishe itakufungua kwenye mambo mengi sana. Biashara ulizotaja ni nzuri ila kwa mtaji huo kupoteza ni rahisi sana. Ukiwa serious 150k unafunga daily….umekosa sana 100k (Yes its possible maana huna boss chombo ni chako mwenyewe)
Kaa fikiri wenye viduka vya mangi wanafunga net profit 100k - 150k daily yet wanaweza jiongeza na kuwa exposed na mazingira ya hela tofauti wakiwa kazini ??
Wapo vijana wengi nawajua wametoka chuo hawana mishe wanajiongeza na hzo mishe wanapata na ujasiri wa kuanzisha na familia na wengine hata kununua viwanja. Service ya bajaji sio kubwa wengi wana request bajaji kuliko magari. Achia mbali wateja wa offline.
Well Mtazamo Tu, All The Best [emoji817]
Sasa km amezipata ktk mgao wa Mali za urithi je [emoji1787][emoji1787]FANYA BIASHARA ILIYOKUPA HIZO MILIONI KUMI.
Case closed!!!
Nimekutumia DM info'sBIASHARA YA VIFAA MBALIMBALI VYA UJENZI WA NYUMBA na Biashara ya hoteli kuuza chakula hizo ndio Biashara nzuri zitakayo kuletea pesa kwa haraka kuliko biashara nyingine ulizo zitaja. Swali langu umezaliwa tarehe gani na mwezi gani?yaani unajijuwa wewe ni mtu wa nyota gani? ukinijibu swali langu nitakwambia kitu chakufanya kizuri zaidi.
Watu wanazingua sana aisee na jibu nlishawapaHivi watu mnaotoaga majibu kama haya vichwa vyenu mnatumia kama mifuniko ya shingo au?
Kwa hio kama kapata hio 10M kwenye biashara ya mbao, anataka kubadili biashara, au anataka kujitanua ?
Yan mnatoa majibu kama mmekatwa vichwa hivi
[emoji23]watu wanatafuta maneno tuSasa km amezipata ktk mgao wa Mali za urithi je [emoji1787][emoji1787]
unapafahamu ikonda?😅😅😅😅😅 kaka maji yamezidi unga, huku nilipo pa moto sana.
Spare za niniMkuu twende No.3 nina aunt yangu alimpandia mtu kariakoo pale mpaka kumtoa mil28 na kodi analipa 600k kwa mwezi.
Japo umetuwekea limit ila kuna biashara ya spare hii mkuu ukipata watu sahihi kutoboa ni 90%.
Pikipiki au za gari.Spare za nini
Dogo unachekesha sana biashara za ninyi munaojiita wasomi ndizo hazichelewi kufa kwasababu mumekaririshwa na watu ambao hawajawahi kuuza hata chupi...Ndioa maana vibiashara vyenu havidumu.. mnakuja kulia lia humu.
Kila kitu lazima ukifanyie tathmini na sio kwenda blindly..
Proposal na Biz plan ni muhimu. Hayo uliyoyataja maswala ya kutafuta taarif field, kwa waliotangulia etc ni moja ya feature za biz plan.
Pre assessment kwanza na sio ujitumbukize humo then uanze kulaumu watu labda kama hela sio yako, ila hela hizi za mikopo au za kukusanya muda mrefu kwa jasho na damu unatakiwa uende kwa umakini mno mno.
Si ipo Njombe hyo[emoji848]unapafahamu ikonda?
Hapo inakuaje yani kununua kwa wakulima na kuuza Town,, kusafirisha au kukoboa nipe maelezo zaidi na return yake ipojeFanya biashara ya mazao ya chakula hasa
Mpunga...
Huto jutia
Wakati wa kivuna hapa nazungumzia Mkoa wa morogoro wilaya ya malinyiHapo inakuaje yani kununua kwa wakulima na kuuza Town,, kusafirisha au kukoboa nipe maelezo zaidi na return yake ipoje
Sipafahamu mkuu nielekeze basi.unapafahamu ikonda?
[emoji3][emoji3][emoji3]Naunga mkono hoja hata mimi biashara yangu ya majeneza kuna kipindi iligoma kabisa mpaka nikawaza nifunge tu nirudie kazi yangu ya zamani (wizi wa mafuta ya transformers)
Lakini kuna mganga nilimpata kipindi hicho alikuwaga ameletwa hapa Dom na kigogo mmoja wa serikali nikatonywa na chawa mmoja wa kigogo huyo nikamtafuta huyo mtaalam tukaelewana akaja kufanya setting hapa ofisini yaani biashara ilikubali mpaka nikaona sasa naelekea kuwa bilionea!
Baadae hali ile ilipungua tena nahisi nilitakiwa kurenew setting ila tatizo nilipotezaga namba za yule mganga halafu yule kigogo naye alishahama hayupo huku ila natamani sana ningepata tena mganga kama yule ningekuwa mbali
Naku dm mkuuWakati wa kivuna hapa nazungumzia Mkoa wa morogoro wilaya ya malinyi
Gunia hufika had Tsh 45000
Inatakiwa uweke kambi wewe mwenyewe
Kama mwezi mil 10 ni kama gunia 220
Gunia Hilo Hilo la mpunga unaweza uza had elf 90 had laki na 20.unawez uzia hpo hpo Kijiji au unasafirish.
Pia unaweza kununu mpunga then unkoboa unauza Michele
Uzuri hakuna gharama za uhifadhi (Godauni) Kuna watu wanamashine za kukoboa unahifadhi bure kabisa.
2) Unaweza kununua Alizeti wakati waavuno ya mwezi wa 5.
Mwez wa 5 kiroba kimoja ni elf 50
Unaweza kamua mafuta ukauza ukapat faida kweny kila kiroba kimoja unaweza tengenzeza Tsh 85'000 had 150'000.
Inategemeana unauza muda Gani
NB; hizi biashara inatakiwa ufanye wewe mwenyewe ...ukiwa unaanza Kuna baadhi ya changamoto...ni zakawaida
Hii post ningeiona miaka mitatu nisingejiuliza kuhusu hii biashara.Wakati wa kivuna hapa nazungumzia Mkoa wa morogoro wilaya ya malinyi
Gunia hufika had Tsh 45000
Inatakiwa uweke kambi wewe mwenyewe
Kama mwezi mil 10 ni kama gunia 220
Gunia Hilo Hilo la mpunga unaweza uza had elf 90 had laki na 20.unawez uzia hpo hpo Kijiji au unasafirish.
Pia unaweza kununu mpunga then unkoboa unauza Michele
Uzuri hakuna gharama za uhifadhi (Godauni) Kuna watu wanamashine za kukoboa unahifadhi bure kabisa.
2) Unaweza kununua Alizeti wakati waavuno ya mwezi wa 5.
Mwez wa 5 kiroba kimoja ni elf 50
Unaweza kamua mafuta ukauza ukapat faida kweny kila kiroba kimoja unaweza tengenzeza Tsh 85'000 had 150'000.
Inategemeana unauza muda Gani
NB; hizi biashara inatakiwa ufanye wewe mwenyewe ...ukiwa unaanza Kuna baadhi ya changamoto...ni zakawaida