Nina mtaji wa milioni kumi; nifanye biashara ipi kati ya hizi nilizochagua?

Nina mtaji wa milioni kumi; nifanye biashara ipi kati ya hizi nilizochagua?

Biashara huwa inaanzia na wazo na ukiwa nje ya biashara mara nyingi huwezi kujua biashara ipi inalipa.kwa tathimini yangu toka nianze biashara naona ukitaka biashara yako iende vizuri kuwa na WAZo ambalo hu deal direct na final consumer ,yani uwe na biashara ambayo unaweza kuwauzia wafanya biashara wa jumla na rejareja nje ya hapo biashara utaiona ngumu sana hasa ya ku deal na wateja wa rejareja njoo pm nikupe wazo ambalo utakula hela
 
Kwa uzoefu wako inabdi km kiasi gani kinahitajika..?
Kwa uzoefu wangu, japo inategemea sana unataka kuweka nini kwa kuanzia, ila kama haitahusisha mbao, cement, nondo na vifaa visivyotoka haraka, unaweza kuanza na 15m hadi 20m. Na hapo utakuwa umejibana sana, labda kama ndio kujikongoja hivyo, ila kwa serious business 10m kwenye vifaa vya ujenzi haitoshi, ila kwenye uwekezaji mwingine ni pesa ndefu tu.

Mfano, kama utauza bomba za kuchomelea na accessories zake, yaani sticks, disks, rangi, vitasa vya mageti, bawaba za geti, sheets za urembo nk utashangaa hiyo 10m inakata na mzigo ni mdogo sana.
 
Biashara huwa inaanzia na wazo na ukiwa nje ya biashara mara nyingi huwezi kujua biashara ipi inalipa.kwa tathimini yangu toka nianze biashara naona ukitaka biashara yako iende vizuri kuwa na WAZo ambalo hu deal direct na final consumer ,yani uwe na biashara ambayo unaweza kuwauzia wafanya biashara wa jumla na rejareja nje ya hapo biashara utaiona ngumu sana hasa ya ku deal na wateja wa rejareja njoo pm nikupe wazo ambalo utakula hela
Ukiandika hapa wote tukafaidi mawazo yako je?
 
Habari ya muda huu wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Mimi kama kijana nimeamua rasmi kujikita kwenye kufanya Biashara maana ndiyo ndoto yangu ya siku nyingi sana.

Binafsi nimepambana hapa na pale nmebahatika kupata mtaji wa Tsh Milioni 10 hivyo nmeamua kujikita rasmi kwny Biashara na kwa kufikilia nmepata mawazo ya Biashara 4 ambazo binafsi ninazipenda na kuzimudu..

1. BIASHARA YA KUUZA VYOMBO VYA MAJUMBANI
-Hapa nitahusisha uuzaji wa vyombo mbalimbali ambavyo vinatumika kwny majukumu ya kila siku majumbani kama (Masufuria, Hotpots, Vijiko, Visu, Madeli, Ndoo za maji,Mabeseni,Chupa za Chai, Viti & Meza za plastic, Majaba etc)

2. BIASHARA YA NGUO NA PRODUCTS MBALIMBALI ZA WATOTO(0-3YEARS)
-Hapa itahusisha kuuza products mbalimbali za watoto wachanga hadi miaka mitatu(3) kama vile (Nguo, Nepi, Viatu, Kofia, Neti, Beseni za kuogea, Toys km Vigari & Midoli, Poda & Sabuni za watoto etc)

3. BIASHARA YA BIDHAA MBALIMBALI ZA UREMBO NA VIPODOZI VYA WANAWAKE
-Hapa nitahusisha bidhaa kama(Perfumes, Rasta, Lotions, Poda, Hereni, Lipstics, Cheni, Nguo za ndani,Madela etc)

4. BIASHARA YA VIFAA MBALIMBALI VYA UJENZI WA NYUMBA NA VIFAA VYA ELECTRONICS

Wakuu naombeni USHAURI kwa uzoefu wenu ni Biashara ipi hapo yenye return kubwa na bidhaa zake ni more Liquid (Rahisi kuuzika kwa haraka) na ni sehemu gani naweza kupata hzo bidhaa kwa urahisi na Bei nafuu kwa DAR ES SALAAM na changamoto pia za hyo biashara husika na kama itapendeza Location nzuri ya kufanya hyo biashara kwa DAR.

NINAWASILISHA KWENU WADAU KWA USHAURI.[emoji123][emoji120]
Anzisha danguro, hakikisha mademu wote ni weupe na wana matako makubwa...
 
Hongera sana kwa WAZO la kuanzisha BIASHARA.

Naamini ktk Uchambuzi wa Biashara kwa kuandaa proposal.. ukizileta kwa njia hii wale wataalam wa analysis watakujibu kiusahihi.

Hapa tutatumia hisia kwa wingi.

For me: Biashara ya vitu vya Ujenzi naona ipo poa..
Ni sahihi Mkuu, ila kwa kiasi alichonacho cha milioni 10 nadhani haitatosha labda kama anaweza kuanza kuwa dealer wa Saruji na vifaa vichache vya Plumbing

Maana ukiagiza mifuko 300 ya Saruji utatakiwa kuwa na shilingi 4,576,000 hapo ukiagiza kiwandani
 
Kwanini...?
Mambo ya
Business proposal
SWOT
E.t.c
Naonaga ujinga tuuu...
Sawa niliyasoma chuo ila niliyakariri ili nifaulu darasani ila ukija mtaani ukitaka kutoboa....
1. Anzisha biashara
2. Weka bei kama ulizozikuta sokoni
3. Soma MCHEZO ukiwa mchezoni
4. Tafuta taarifa field
5. Tafuta waliokutangulia wakuongoze na kukupa hint

Makaratasi na mambo hayo ya darasani TUPA HUKOOOO

#YNWA
 
Habari ya muda huu wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Mimi kama kijana nimeamua rasmi kujikita kwenye kufanya Biashara maana ndiyo ndoto yangu ya siku nyingi sana.

Binafsi nimepambana hapa na pale nmebahatika kupata mtaji wa Tsh Milioni 10 hivyo nmeamua kujikita rasmi kwny Biashara na kwa kufikilia nmepata mawazo ya Biashara 4 ambazo binafsi ninazipenda na kuzimudu..

1. BIASHARA YA KUUZA VYOMBO VYA MAJUMBANI
-Hapa nitahusisha uuzaji wa vyombo mbalimbali ambavyo vinatumika kwny majukumu ya kila siku majumbani kama (Masufuria, Hotpots, Vijiko, Visu, Madeli, Ndoo za maji,Mabeseni,Chupa za Chai, Viti & Meza za plastic, Majaba etc)

2. BIASHARA YA NGUO NA PRODUCTS MBALIMBALI ZA WATOTO(0-3YEARS)
-Hapa itahusisha kuuza products mbalimbali za watoto wachanga hadi miaka mitatu(3) kama vile (Nguo, Nepi, Viatu, Kofia, Neti, Beseni za kuogea, Toys km Vigari & Midoli, Poda & Sabuni za watoto etc)

3. BIASHARA YA BIDHAA MBALIMBALI ZA UREMBO NA VIPODOZI VYA WANAWAKE
-Hapa nitahusisha bidhaa kama(Perfumes, Rasta, Lotions, Poda, Hereni, Lipstics, Cheni, Nguo za ndani,Madela etc)

4. BIASHARA YA VIFAA MBALIMBALI VYA UJENZI WA NYUMBA NA VIFAA VYA ELECTRONICS

Wakuu naombeni USHAURI kwa uzoefu wenu ni Biashara ipi hapo yenye return kubwa na bidhaa zake ni more Liquid (Rahisi kuuzika kwa haraka) na ni sehemu gani naweza kupata hzo bidhaa kwa urahisi na Bei nafuu kwa DAR ES SALAAM na changamoto pia za hyo biashara husika na kama itapendeza Location nzuri ya kufanya hyo biashara kwa DAR.

NINAWASILISHA KWENU WADAU KWA USHAURI.[emoji123][emoji120]
Biashara zote hapo zinawezekana kasoro ya vifaa vya ujenzi mtaji wako ni mdogo.
Ya vyombo vya nyumbani naikataa, haina mzunguko mkubwa inataka location nzuri zaidi kuliko hizo nyingine.

Ya small electronics, gadgets na accessories ina mzunguko mkubwa zaidi. Ila kila biashara inataka upewe codes zake kabla ya kuingiza mtaji mazima.
 
Biashara huwa inaanzia na wazo na ukiwa nje ya biashara mara nyingi huwezi kujua biashara ipi inalipa.kwa tathimini yangu toka nianze biashara naona ukitaka biashara yako iende vizuri kuwa na WAZo ambalo hu deal direct na final consumer ,yani uwe na biashara ambayo unaweza kuwauzia wafanya biashara wa jumla na rejareja nje ya hapo biashara utaiona ngumu sana hasa ya ku deal na wateja wa rejareja njoo pm nikupe wazo ambalo utakula hela
Nakuja chap japo ungeandika hapa pia ingependeza zaidi...
 
Kwa uzoefu wangu, japo inategemea sana unataka kuweka nini kwa kuanzia, ila kama haitahusisha mbao, cement, nondo na vifaa visivyotoka haraka, unaweza kuanza na 15m hadi 20m. Na hapo utakuwa umejibana sana, labda kama ndio kujikongoja hivyo, ila kwa serious business 10m kwenye vifaa vya ujenzi haitoshi, ila kwenye uwekezaji mwingine ni pesa ndefu tu.

Mfano, kama utauza bomba za kuchomelea na accessories zake, yaani sticks, disks, rangi, vitasa vya mageti, bawaba za geti, sheets za urembo nk utashangaa hiyo 10m inakata na mzigo ni mdogo sana.
Hapo nmekupata mkuu unaonekana mzoefu ww kwny septa ya ujenzi..
 
Mambo ya
Business proposal
SWOT
E.t.c
Naongea ujinga tuuu...
Sawa niliyasoma chuo ila niliyakariri ili nifaulu darasani ila ukija mtaani ulitaka kutoboa....
1. Anzisha biashara
2. Weka bei kama ulizozikuta sokoni
3. Soma MCHEZO ukiwa mchezoni
4. Tafuta taarifa field
5. Tafuta waliokutangulia wakuongoze na kukupa hint

Makaratasi na mambo hayo ya darasani TUPA HUKOOOO

#YNWA
Namba 5.[emoji871]
 
Back
Top Bottom