Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Acha utoto.Sijaelewa hapo "Watu wanajipiga password hadi zinaonekana" znaonekanaje hyo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha utoto.Sijaelewa hapo "Watu wanajipiga password hadi zinaonekana" znaonekanaje hyo mkuu
Namsubili aliyetoa comment,, we tuliaaa na utu uzma wakoAcha utoto.
Mkuu nmekucheki PMFungua hardware inalipa saana ndugu zangu wengi hata sisi wenyeww hardware imetutajirisha ...hio million 10 inatosha kikubwa uwe na connection na suppliers hua wanakopesha sometimes kuhusu mtaji usiogope ukiwa na suppliers wako ukihitaj vitu kama huna ela anakupa then unakuja kumlipa...kikubwa upate location nzurii hio ela inatosha Kwa kuanzia Anza na vile vitu vinavyotoka sana kama cement,mbao,gypsum,misumari,vifaa vinginevyo igawanye Io ela ununue vitu kidogo kidogo sio lazima uanze na vingi Anza na kidogo kadri siku zinavoenda biashara itakua..... achana na mambo ya waganga pesa za kichawi hua hazidumu Zina mwsho wake nna ndugu alikua anafanya biashara Kwa dawa mambo yalienda vizuri haikuchukua muda biashara ikabuma akaanza kuhangaika mganga akamwambia itabidi atoe sadaka ya mtu mke au mtoto ....yule Bwana alishindwa kilichotokea alifilisika vibaya sana to the point nyumba ilitaka kupigwa mnada......yule Bwana ilibidi atubu amrejee Mungu alivofanya ivo biashara ikachipuka upya saiv amekua mlokole biashara imekua Bora zaidi kuliko uko nyuma anaiendesha Kwa nguvu za Mungu na wokovu
number 4 mtaji wako mdogo, number 3 inategemea n location.
ukishindwa kabisa we leta pesa tuingie mkataba wa kisheria... dhamana nyumba na gari...
ukae ndani tuizungushe pesa yako Kwa muda utakaotaka wewe
Nashukuru kwa kunisaidia kuuliza maswali muhmu maana[emoji23][emoji119]Uizungishe kwenye biashara ipi ama shughuli zipi na return yake ni ipi? Jibu hayo maswali kwanza alafu tuendelee ndugu mkuu.
Chief, mimi nilikuwa mwajiriwa wa company moja ya mauzo apa mjini, nafasi niliyokuwepo ilikuwa inamezewa mate na watu wengi mno.Hela za mshahara ni ngumu sana aiseee kutoboa mwezi otherwise inabdi uwe mtu wa bajeti kaliiiiii
Itapidi unipe code Boss, nimepanga kung'oa kichwa cha mtu round hii😡😡😡Nenda sehemu inaitwa pande
Kuna usalama kweli humo[emoji848]CriptoSwaps
Assalam alaykum warrahmatullahi wabarakatu za leo ndugu kuna fursa hiyo ya uwekezaji kupitia weecoins kwa mtaji wa usdt 10 naomba upitie na uchukue hatua
Daahh noma sema hyo nafasi inaonekana ilikua na mkwanja mrefuu sanaChief, mimi nilikuwa mwajiriwa wa company moja ya mauzo apa mjini, nafasi niliyokuwepo ilikuwa inamezewa mate na watu wengi mno.
Fitina nyingi aisee, nilipigiwa simu mpaka na waganga, wananiambia wanafuatwa na watu wafanye mpango ning'olewe kazini.
Nimekuja kustuka sina hamu na kazi plus uvivu uvivu, sijakaa sawa nikalizwa mamilioni ya pesa aisee.
Haya mambo we acha tu
Kiasi tu.Daahh noma sema hyo nafasi inaonekana ilikua na mkwanja mrefuu sana
Unaweza ukaipitia kujiridhisha si unajua taarifa zimerahisishwa kiganjani [weecoins]Kuna usalama kweli humo[emoji848]
Kwahyo washakutoa kwny hyo nafasi ama[emoji23]Kiasi tu.
Kwa jamii za kimasikini ata 1m ni mkwanja mrefu.
Nipo usukumani hapa nawavutia pumzi hawa wapuuzi, soon naingia ndichi kiumane.
Namwaga mtu utumbo this time around aisee.
Nimeona ila mpk ujisajili ndo upate info zaidi nmeona jau tuUnaweza ukaipitia kujiridhisha si unajua taarifa zimerahisishwa kiganjani [weecoins]
Nimeona ila mpk ujisajili ndo upate info zaidi nmeona jau tu
Haina nomaTuwasiliabe 0653299065 nikutumie info's kidogo kama zitakusaidia
Kwa wiki mtaji wa 10M unaweza kukuzalishia 1.5M-2M kama faida
Wewe shangaa ila wenzako wanapiga zaidi ya hizo...tatizo wabongo ujuaji ni mwingi mno na ndio chanzo kikubwa cha umaskini. Kujifanya unajua wakati hujui.Kwamba mtaji wa 10m ukupe faida ya 6-8m kwa mwezi?
Labda uuze bangi.