Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Asante sana kwa kumsaidia. Kwa kujazia hapo asikimbilie kuanza kununua miti na kuchana mbao mwenyewe itakula kwake. Cha msingi akishajua process yote afanye kumunia mbao zilizo tayari Bwenyenye254 fuata huu ushauri was Matawi ya juu tofauti na hapo utalia.Ingia ground ufanye research yako mwenyewe ukiweza hata piga camp mwezi mzima ukifuatilia na kujua facts zote kuhusu hiyo biashara ya mbao na Mafinga kwa ujumla, ukianza business never ever take a short cut , fungua kampuni na fuata sheria zote inavyotakiwa lasivyo wabongo watakugeuza fursa na utaondoka kurudi kenya bila hata senti tano huku ukitukana matusi non stop
Nashukuru naendelea kupokea mawaidhaAsante sana kwa kumsaidia. Kwa kujazia hapo asikimbilie kuanza kununua miti na kuchana mbao mwenyewe itakula kwake. Cha msingi akishajua process yote afanye kumunia mbao zilizo tayari Bwenyenye254 fuata huu ushauri was Matawi ya juu tofauti na hapo utalia.
Yaani we acha tu.Uyu either atapigwa au yeye anamvizia mtu.
Au ninajitajidi kupindisha kiswhali cha kenya ili kieleweke na wabongo.Naona kama anajitahidi kupindisha kiswahili cha kibongo
Kuna member humu alikwenda kufanya hiyo kazi huko; ID take sijaiona mda mrefu huyo ungempata angekusaidi, maana ana ka experience na hiyo kazi japo alipigwa za usoNashukuru naendelea kupokea mawaidha
Na hapo ndipo atakapo poteza. Hizi kaxi Zina hitaji uwe ground bila hivyo utaliaUna milioni 200 tu, unataka kuwa unaishi kwenye mji wa upper middle class na uwe unatumia usafri wa ndege kwenda huko.
Hii biashara hautaiweza Mkuu. Ukiwa unafanya hizi biashara za kawaida zenyewe ndo zinakupangia wape pa kuishi na kulala.
Nimeendesha sana IT Dar-Tunduma, malawi pia, miaka ya nyuma. Yaani hakuna sehemu siijui kwenye njia ya Dar, mbeya, zambia.Tuliza wenge! Natumia Mitsubishi double cabin L 200 Spotero!! Nikijivuruga sana Makambako Mbeya ni 1 and half hours,pale ni 182kms!! Sasa Mbeya mafinga unajua ni kms ngapi? I doubt ni sehemu ambazo huzijui au unapitaga tu
Naomba uangalie inboxMkuu ninayo chain saw ntakukodishia ikusaidie kwa kazi zako ukiwa tayari unichek
Atamwaga pesa kwenye barriers kama atachanganya na magumashi.Pia mkumbusheni kwenye usafirishaji wa mbao atakuwa anamwaga pesa kwenye kila barrier anayosimamishwa na wazee.
Ndio maana ukipiga hesabu kwa umakini kabisa utakuja kugundua hiyo pesa ni ndogo.
Ni pesa nyingi for local Business not for International Business.
Labda anatumia Dala dala, muulize kwanza kabla hujapinga😂😂Ma learner uta wajua tu hayo masaa yako kwa mwendo wa tractor hapo sawa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji117]
Too young to die my dear![emoji89]Haina Kaz kivip boss bas wee Kama una pesa mpe mdg ako hyo kumi unaoona Haina Kaz
Aiseee ana jidai ana tumianga mitsubish pickup L 200 huenda gari imekwisha choka yeye anataka kulinganisha na hizi gari za sasa zinazo jiongeza speed kadri unavyo kanyaga [emoji117][emoji23]Labda anatumia Dala dala, muulize kwanza kabla hujapinga[emoji23][emoji23]
Daah mkuu ww unapenda ligi kuanzia mtandaoni mpaka barabarani! Sehemu ya zaidi ya 270kms unatumia saa na nusu? Au hauna family? Pamoja mkuu😀😀Nimeendesha sana IT Dar-Tunduma, malawi pia miaka ya nyuma huko, yaani hakuna sehemu siijui kwenye njia ya Dar, mbeya, zambia.
mwendo wa kutoka mafinga,makambako, igawa, sijui chimala uyole songwe Airport mzee wangu ni saa 1 na nusu tu, umesha fika.
njia ni nyeupe sana hiyo ukitumia masaa ma nne umependa mwenyewe tu, na kama hapo una tumia ma saa 4 ukiwndesha dar kwenye mifoleni mfano salenda mpaka bunju kwa uendeshaji wako una weza kutumia siku nzima wewe.
jokes kidogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji117]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nachangamsha genge mkuu wala sipendi ligi na mtu, kuwa na wakati mwema mkuu.Daah mkuu ww unapenda ligi kuanzia mtandaoni mpaka barabarani! Sehemu ya zaidi ya 270kms unatumia saa na nusu? Au hauna family? Pamoja mkuu[emoji3][emoji3]
Gani haswa? MahoganyBwenyenye254 vipi kuhusu soko la hard wood huko NBO? Bei zake ziko je?
Weka hapa kwa faida ya watanzania wote.Njoo inbox nilikua huko karibuni. Karibu.
Naomba uangalie inbox
Mafundi ujenzi wanatengeneza mapaa ya nyumba kuna kununua mbao kujuana na wauzaji lazima watakua na dondoo mbili tatuFundi ujenzi na biashara za uvunaji miti wapi na wapi. Hii inatakiwa mtu aliewagi kufanya hiyo biashara kutoka huko.
[emoji23]nimechekaUlipopata Mil 200 komaa uko uko.. Ndio penyewe.