mtudedewaa
Member
- Feb 23, 2014
- 41
- 21
Nashukuru kwa hoja.Mawazo tu...
200M unapata bus jipya zero km aina ya zhuton na nyunginezo Kwa mchina hapo DSM
BREAKDOWN
Bei ya bus 180M
Trip Moja ya DSM to Arusha
Level seat watu 60 * 40,000/=tsh (nauli)
Totals to 2,400,000
Minus 1,000,000 mafuta
Miscellaneous (dreva 50,000 Kwa siku)
Kondakta, faini barabarani na mengineyo
350,000
2,4000,000 - 1,400,000
= 1,000,000/=tsh per trip
30 trips Kwa mwezi Moja faida ni
30,0000,000
Ndani ya miezi 6
180M
Nashukuru sanaLogical advice ndo hii, am assuming hyo ni about ksh 10m/Tsh200m ,hii inatosha kwa ni excess if uko clever enough ,usije kuinvest Kama mkenya or outsider ,huku utaliwa na wangwana ,hyo sekta inafaida Sana kwanza Kama utauza Nairobi .
Nenda kwa lawfirm yyte dar or find a freind akupe dondoo uchukue tanzanian citizenship ,Kenyan laws allow dual citizenship last time I checked ,ukipata tz citizenship Sasa invest as you please and at cost ,avoid kuambia locals you are a foreigner ,piga biashara kimya .
Nimeona so many Kenyans wakilia losses simply bcoz of their nationality huku kwe2, ukiwa na NIDA number or card equivalent of a Kenyan ID uko way sure ,lastly mafinga ni pazuri Sana ukitaka mbao ,ukitaka kunawiri ishi nao ,wajue wale madalali asa ,na ukianza kuwekeza ,wekeza in small amounts sio yote kwa pamoja ,kiuhasilia nenda huko personally fact-finding gather data ila usijitambulishe Kama foreigner jifanye locale tu ,all the best
Yes ukitaka ku wa win watu wa mafinga nenda kama fala tu yaani jifanye choka mbaya ile mbaya haswa ndio uta weza kupata data za ukweli na ndipo utakapo jua uanzie wapi.Logical advice ndo hii, am assuming hyo ni about ksh 10m/Tsh200m ,hii inatosha kwa ni excess if uko clever enough ,usije kuinvest Kama mkenya or outsider ,huku utaliwa na wangwana ,hyo sekta inafaida Sana kwanza Kama utauza Nairobi .
Nenda kwa lawfirm yyte dar or find a freind akupe dondoo uchukue tanzanian citizenship ,Kenyan laws allow dual citizenship last time I checked ,ukipata tz citizenship Sasa invest as you please and at cost ,avoid kuambia locals you are a foreigner ,piga biashara kimya .
Nimeona so many Kenyans wakilia losses simply bcoz of their nationality huku kwe2, ukiwa na NIDA number or card equivalent of a Kenyan ID uko way sure ,lastly mafinga ni pazuri Sana ukitaka mbao ,ukitaka kunawiri ishi nao ,wajue wale madalali asa ,na ukianza kuwekeza ,wekeza in small amounts sio yote kwa pamoja ,kiuhasilia nenda huko personally fact-finding gather data ila usijitambulishe Kama foreigner jifanye locale tu ,all the best
Mkuu, naomba ufafanue hapo kwa dondoo ...ilo ni kumaanisha nini haswaLogical advice ndo hii, am assuming hyo ni about ksh 10m/Tsh200m ,hii inatosha kwa ni excess if uko clever enough ,usije kuinvest Kama mkenya or outsider ,huku utaliwa na wangwana ,hyo sekta inafaida Sana kwanza Kama utauza Nairobi .
Nenda kwa lawfirm yyte dar or find a freind akupe dondoo uchukue tanzanian citizenship ,Kenyan laws allow dual citizenship last time I checked ,ukipata tz citizenship Sasa invest as you please and at cost ,avoid kuambia locals you are a foreigner ,piga biashara kimya .
Nimeona so many Kenyans wakilia losses simply bcoz of their nationality huku kwe2, ukiwa na NIDA number or card equivalent of a Kenyan ID uko way sure ,lastly mafinga ni pazuri Sana ukitaka mbao ,ukitaka kunawiri ishi nao ,wajue wale madalali asa ,na ukianza kuwekeza ,wekeza in small amounts sio yote kwa pamoja ,kiuhasilia nenda huko personally fact-finding gather data ila usijitambulishe Kama foreigner jifanye locale tu ,all the best
Masaa matatu mbeya makambakoNi kweli mji wa mafinga, na mufindi yote kwa ujimla pia mkoa wa njombe kuna miti mingi sana mbao nyingi sana za kutosha.
Kuhusu makazi pindi utakapo kua Tanzania kama uta chagua mafinga tafuta nyumba hapo hapo huwezi kukosa, pia mafinga hakuna kiwanja cha ndege hata iringa sidhani labda uchukue ndege ya arusha Dar mbeya ukitua mbeya uchukue costa mpaka mafinga sio mbali ni mwendo wa saa moja na nusi au saa moja tu kuhusu kibali cha kusafirisha Kenya sifahamu na menginyo wanakuja.
Kama ni tractor sawa. Ila kama ni gari basi wewe ni leanerMasaa matatu mbeya makambako
Tuliza wenge! Natumia Mitsubishi double cabin L 200 Spotero!! Nikijivuruga sana Makambako Mbeya ni 1 and half hours,pale ni 182kms!! Sasa Mbeya mafinga unajua ni kms ngapi? I doubt ni sehemu ambazo huzijui au unapitaga tu
Masaa matatu mbeya makambako
Eewaaalaaaaaa huyu ndio ndege John haswaaa,,[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]200000000 dah aisee siku nikizipata hizi kwanza nanunua gari ambalo juu liko wazi.pili nanunua nyumba tatu naweka fixed account nabaki na million 20 tu za biashara ya kunipa wese route za singida dodoma dar masasi songea mtwara ...ni full unyama