mtudedewaa
Member
- Feb 23, 2014
- 41
- 21
Mawazo tu...
200M unapata bus jipya zero km aina ya zhuton na nyunginezo Kwa mchina hapo DSM
BREAKDOWN
Bei ya bus 180M
Trip Moja ya DSM to Arusha
Level seat watu 60 * 40,000/=tsh (nauli)
Totals to 2,400,000
Minus 1,000,000 mafuta
Miscellaneous (dreva 50,000 Kwa siku)
Kondakta, faini barabarani na mengineyo
350,000
2,4000,000 - 1,400,000
= 1,000,000/=tsh per trip
30 trips Kwa mwezi Moja faida ni
30,0000,000
Ndani ya miezi 6
180M
200M unapata bus jipya zero km aina ya zhuton na nyunginezo Kwa mchina hapo DSM
BREAKDOWN
Bei ya bus 180M
Trip Moja ya DSM to Arusha
Level seat watu 60 * 40,000/=tsh (nauli)
Totals to 2,400,000
Minus 1,000,000 mafuta
Miscellaneous (dreva 50,000 Kwa siku)
Kondakta, faini barabarani na mengineyo
350,000
2,4000,000 - 1,400,000
= 1,000,000/=tsh per trip
30 trips Kwa mwezi Moja faida ni
30,0000,000
Ndani ya miezi 6
180M