EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Kwenye BAN wala siulizi ni kawaida yake hamalizagi mwezi salama π π π π πSearch nyuzi zake utaona akijimwambafai mpaka akalimwa ban
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye BAN wala siulizi ni kawaida yake hamalizagi mwezi salama π π π π πSearch nyuzi zake utaona akijimwambafai mpaka akalimwa ban
Brother gentamicin wewe SI ni graduate π wa SAUT tena mass communicationNdiyo hela ya mwisho niliyonayo Mfukoni mwangu na ikiisha tu sijui nitaishije hapa Mjini na Uswahilini niliko.
Nishaurini haraka je, hii Shilingi Elfu Hamsini (Tsh 50,000/=) tu niliyonayo niiwekeze katika Biashara gani / Mradi upi ili inilinde hapa Mjini na pia ije kunifanya kuja kuwa Tajiri huko mbeleni na niweze kuwa Mfano wa Kuigwa kwa Wengine?
Fanyeni upesi Kunishauri kwani najijua nilivyo na Tamaa na Kesho ni Sikukuu hivyo Naogopa naweza nikaimailiza yote kisha baada ya Sikukuu ya Eid MINOCYCLINE Mimi nikawa na Maisha magumu na hata kukosa Pesa ya Kununua Bando ili niweze kuwa nanyi hapa JamiiForums.
Hizi Id za majina ya dawa Mimi nikiziona najua atakua ni talented super fella, gifted, highly favored,King π gentamicin sulfate injection π€π€π€Msimu wa kiangazi nunua guni moja la mbegu za maboga tetele
Zikachome vizur kisha fanya kupaki kwa uajzo tofaut
Uza kuanzia jero
Sorry hapo utaanza na debe 1 au 2 sio gunia
Zungusha mwezi mmoja maeneo ya mkusinyako watu
Na ukiweza zaid sema zinaongeza nguvu za kiume
Baada ya hapo kusanya mtaji ndani ya siku utauza debe
SUKA MKEKA MZURI WEEKEND HII UMLE MUHINDI, elf 50 mtaji tosha kwenye kubetNdiyo hela ya mwisho niliyonayo Mfukoni mwangu na ikiisha tu sijui nitaishije hapa Mjini na Uswahilini niliko.
Nishaurini haraka je, hii Shilingi Elfu Hamsini (Tsh 50,000/=) tu niliyonayo niiwekeze katika Biashara gani / Mradi upi ili inilinde hapa Mjini na pia ije kunifanya kuja kuwa Tajiri huko mbeleni na niweze kuwa Mfano wa Kuigwa kwa Wengine?
Fanyeni upesi Kunishauri kwani najijua nilivyo na Tamaa na Kesho ni Sikukuu hivyo Naogopa naweza nikaimailiza yote kisha baada ya Sikukuu ya Eid MINOCYCLINE Mimi nikawa na Maisha magumu na hata kukosa Pesa ya Kununua Bando ili niweze kuwa nanyi hapa JamiiForums.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hehehe daaaa sasa si tunamshauri tuHizi Id za majina ya dawa Mimi nikiziona najua atakua ni talented super fella, gifted, highly favored,King [emoji146] gentamicin sulfate injection [emoji851][emoji851][emoji851]
Nunua karanga mkuu, zikaange uuze. Baada ya mwaka Bahresa atakutafuta umpe ushauri.Ndiyo hela ya mwisho niliyonayo Mfukoni mwangu na ikiisha tu sijui nitaishije hapa Mjini na Uswahilini niliko.
Nishaurini haraka je, hii Shilingi Elfu Hamsini (Tsh 50,000/=) tu niliyonayo niiwekeze katika Biashara gani / Mradi upi ili inilinde hapa Mjini na pia ije kunifanya kuja kuwa Tajiri huko mbeleni na niweze kuwa Mfano wa Kuigwa kwa Wengine?
Fanyeni upesi Kunishauri kwani najijua nilivyo na Tamaa na Kesho ni Sikukuu hivyo Naogopa naweza nikaimailiza yote kisha baada ya Sikukuu ya Eid MINOCYCLINE Mimi nikawa na Maisha magumu na hata kukosa Pesa ya Kununua Bando ili niweze kuwa nanyi hapa JamiiForums.
Huu mkeka km ulitiki vile[emoji12][emoji12]Fungua acc betpawa kisha Chukua elfu 40. Mkeka huu hapa
Simba vs wydad FT 1, 2.35
AL Ahyl vs Raja FT 2, 5.75
CR Belouizdad vs Mamelodi FT 2, 4.3
TOTAL = 2.35 Γ 5.75 Γ 4.3 Γ 40K = 2.9Million
Baada ya hapo njoo uombe ushauri tena.
Angefata ushauri angeamka na 150Muue Wydad kesho
Ila Insta nayo unahitaji umakini sanaFungua account instagram ,nenda kariakoo chagua bidhaa ya kuwa winga , promote cha juu utanshukru
Aisee wewe ni hatari, mkuu nipe mkeka wa leo.Fungua acc betpawa kisha Chukua elfu 40. Mkeka huu hapa
Simba vs wydad FT 1, 2.35
AL Ahyl vs Raja FT 2, 5.75
CR Belouizdad vs Mamelodi FT 2, 4.3
TOTAL = 2.35 Γ 5.75 Γ 4.3 Γ 40K = 2.9Million
Baada ya hapo njoo uombe ushauri tena.
Ulichana huoo raja alipigwaAisee wewe ni hatari, mkuu nipe mkeka wa leo.