Nina Mtaji wa Tsh 50,000/= tu je, niiwekeze katika Biashara gani ili nije kuwa Tajiri?

Nina Mtaji wa Tsh 50,000/= tu je, niiwekeze katika Biashara gani ili nije kuwa Tajiri?

Ndiyo hela ya mwisho niliyonayo Mfukoni mwangu na ikiisha tu sijui nitaishije hapa Mjini na Uswahilini niliko.

Nishaurini haraka je, hii Shilingi Elfu Hamsini (Tsh 50,000/=) tu niliyonayo niiwekeze katika Biashara gani / Mradi upi ili inilinde hapa Mjini na pia ije kunifanya kuja kuwa Tajiri huko mbeleni na niweze kuwa Mfano wa Kuigwa kwa Wengine?

Fanyeni upesi Kunishauri kwani najijua nilivyo na Tamaa na Kesho ni Sikukuu hivyo Naogopa naweza nikaimailiza yote kisha baada ya Sikukuu ya Eid MINOCYCLINE Mimi nikawa na Maisha magumu na hata kukosa Pesa ya Kununua Bando ili niweze kuwa nanyi hapa JamiiForums.
Brother gentamicin wewe SI ni graduate πŸŽ“ wa SAUT tena mass communication

Kwa mtaji wa 50,000 na Smart phone πŸ“± yako jifunze..... AFFILIATED MARKETING

Utakuja nishukuru badaee πŸ˜ŠπŸ€“

Haya NDIO maoni yangu Kwa Sasa....
 
Msimu wa kiangazi nunua guni moja la mbegu za maboga tetele
Zikachome vizur kisha fanya kupaki kwa uajzo tofaut
Uza kuanzia jero

Sorry hapo utaanza na debe 1 au 2 sio gunia

Zungusha mwezi mmoja maeneo ya mkusinyako watu
Na ukiweza zaid sema zinaongeza nguvu za kiume
Baada ya hapo kusanya mtaji ndani ya siku utauza debe
 
Msimu wa kiangazi nunua guni moja la mbegu za maboga tetele
Zikachome vizur kisha fanya kupaki kwa uajzo tofaut
Uza kuanzia jero

Sorry hapo utaanza na debe 1 au 2 sio gunia

Zungusha mwezi mmoja maeneo ya mkusinyako watu
Na ukiweza zaid sema zinaongeza nguvu za kiume
Baada ya hapo kusanya mtaji ndani ya siku utauza debe
Hizi Id za majina ya dawa Mimi nikiziona najua atakua ni talented super fella, gifted, highly favored,King πŸ‘‘ gentamicin sulfate injection πŸ€“πŸ€“πŸ€“
 
Weka 35 pembeni asubuhi wahi zile Super feo zinazopita Makambako (kama upo dar) panda mpaka Makambako, ukifika chukua boda mpe buku mwambie akupeleke kwa "babu wa jogoo" ukifika tu, baaasi! Sahau umasikini, hapo utapewa punje mrushie jogoo ale punje zake kadhaa ukimaliza rudi zako tafuta kasehemu cha kujibanza kwa usiku huo, asubuhi yake kwenye 50 itakuwa imebaki 8000 pamoja na chakula, kanunue mahindi ya kuchoma anza kuuza hapohapo, Shughuli imeisha!
 
Ndiyo hela ya mwisho niliyonayo Mfukoni mwangu na ikiisha tu sijui nitaishije hapa Mjini na Uswahilini niliko.

Nishaurini haraka je, hii Shilingi Elfu Hamsini (Tsh 50,000/=) tu niliyonayo niiwekeze katika Biashara gani / Mradi upi ili inilinde hapa Mjini na pia ije kunifanya kuja kuwa Tajiri huko mbeleni na niweze kuwa Mfano wa Kuigwa kwa Wengine?

Fanyeni upesi Kunishauri kwani najijua nilivyo na Tamaa na Kesho ni Sikukuu hivyo Naogopa naweza nikaimailiza yote kisha baada ya Sikukuu ya Eid MINOCYCLINE Mimi nikawa na Maisha magumu na hata kukosa Pesa ya Kununua Bando ili niweze kuwa nanyi hapa JamiiForums.
SUKA MKEKA MZURI WEEKEND HII UMLE MUHINDI, elf 50 mtaji tosha kwenye kubet
 
Hahahah hii challenge sio mbaya, capital margin escalation and and risky investment calculations. Nunua dagaa za elfu 20,000 nunua na vifuko vya nylon then gawa hao dagaa kwenye vifuko 200, uza kwa kutembeza mitaani kifuko 500. Asubuhi mpaka jioni ukimaliza utakuwa na 100,000 mfukoni na ile 30,000 ya mwanzo.
 
Ndiyo hela ya mwisho niliyonayo Mfukoni mwangu na ikiisha tu sijui nitaishije hapa Mjini na Uswahilini niliko.

Nishaurini haraka je, hii Shilingi Elfu Hamsini (Tsh 50,000/=) tu niliyonayo niiwekeze katika Biashara gani / Mradi upi ili inilinde hapa Mjini na pia ije kunifanya kuja kuwa Tajiri huko mbeleni na niweze kuwa Mfano wa Kuigwa kwa Wengine?

Fanyeni upesi Kunishauri kwani najijua nilivyo na Tamaa na Kesho ni Sikukuu hivyo Naogopa naweza nikaimailiza yote kisha baada ya Sikukuu ya Eid MINOCYCLINE Mimi nikawa na Maisha magumu na hata kukosa Pesa ya Kununua Bando ili niweze kuwa nanyi hapa JamiiForums.
Nunua karanga mkuu, zikaange uuze. Baada ya mwaka Bahresa atakutafuta umpe ushauri.
 
Nunua jogoo mmoja na mitetea mitatu fuga.Au uza soda na juisi au mandazi karibu na shule
 
Fungua acc betpawa kisha Chukua elfu 40. Mkeka huu hapa

Simba vs wydad FT 1, 2.35
AL Ahyl vs Raja FT 2, 5.75
CR Belouizdad vs Mamelodi FT 2, 4.3

TOTAL = 2.35 Γ— 5.75 Γ— 4.3 Γ— 40K = 2.9Million

Baada ya hapo njoo uombe ushauri tena.
 
Fungua acc betpawa kisha Chukua elfu 40. Mkeka huu hapa

Simba vs wydad FT 1, 2.35
AL Ahyl vs Raja FT 2, 5.75
CR Belouizdad vs Mamelodi FT 2, 4.3

TOTAL = 2.35 Γ— 5.75 Γ— 4.3 Γ— 40K = 2.9Million

Baada ya hapo njoo uombe ushauri tena.
Aisee wewe ni hatari, mkuu nipe mkeka wa leo.
 
Back
Top Bottom