Nina Mtaji wa Tsh 50,000/= tu je, niiwekeze katika Biashara gani ili nije kuwa Tajiri?

Nina Mtaji wa Tsh 50,000/= tu je, niiwekeze katika Biashara gani ili nije kuwa Tajiri?

Ndiyo hela ya mwisho niliyonayo Mfukoni mwangu na ikiisha tu sijui nitaishije hapa Mjini na Uswahilini niliko.

Nishaurini haraka je, hii Shilingi Elfu Hamsini (Tsh 50,000/=) tu niliyonayo niiwekeze katika Biashara gani / Mradi upi ili inilinde hapa Mjini na pia ije kunifanya kuja kuwa Tajiri huko mbeleni na niweze kuwa Mfano wa Kuigwa kwa Wengine?

Fanyeni upesi Kunishauri kwani najijua nilivyo na Tamaa na Kesho ni Sikukuu hivyo Naogopa naweza nikaimailiza yote kisha baada ya Sikukuu ya Eid MINOCYCLINE Mimi nikawa na Maisha magumu na hata kukosa Pesa ya Kununua Bando ili niweze kuwa nanyi hapa JamiiForums.
Kanunue sufuria kisha kisado na chumvi na karanga zikaange kwa uodali anza na kilo 5 baada ya miezi 6 tukutane hapa utojuta itakuwa sababu ya kuendea biashara kubwa baada ya miaka 3 yasipo tokea yakutokea utafungua biashara ya sh 3000,000,shariti ufunge zipu usinywe pombe wala sigara akikisha unapo pika jioni unakula unabskiza kipolo cha kesho unakunywa na chai unaingia mitaani shariti uchonge Kibubu kila siku dumbukiza sh 3000 kwa uchache
 
Kanunue sufuria kisha kisado na chumvi na karanga zikaange kwa uodali anza na kilo 5 baada ya miezi 6 tukutane hapa utojuta itakuwa sababu ya kuendea biashara kubwa baada ya miaka 3 yasipo tokea yakutokea utafungua biashara ya sh 3000,000,shariti ufunge zipu usinywe pombe wala sigara akikisha unapo pika jioni unakula unabskiza kipolo cha kesho unakunywa na chai unaingia mitaani shariti uchonge Kibubu kila siku dumbukiza sh 3000 kwa uchache
ujamkumbusha kibubu awe nacho makini wasije kupta nacho
 
nipo chuo mwaka wa pili nina maji wa elfu 50 nataka niagize mzigo wa kuanzia wa nguo za kike kama boyfriend Jean's au night dress naombeni ushauri kwenu wana JF
 
nipo chuo mwaka wa pili nina maji wa elfu 50 nataka niagize mzigo wa kuanzia wa nguo za kike kama boyfriend Jean's au night dress naombeni ushauri kwenu wana JF
Kama upo dar nenda mwenyewe ilala alfajiri kachague hizo nguo...
 
Ndiyo hela ya mwisho niliyonayo Mfukoni mwangu na ikiisha tu sijui nitaishije hapa Mjini na Uswahilini niliko.

Nishaurini haraka je, hii Shilingi Elfu Hamsini (Tsh 50,000/=) tu niliyonayo niiwekeze katika Biashara gani / Mradi upi ili inilinde hapa Mjini na pia ije kunifanya kuja kuwa Tajiri huko mbeleni na niweze kuwa Mfano wa Kuigwa kwa Wengine?

Fanyeni upesi Kunishauri kwani najijua nilivyo na Tamaa na Kesho ni Sikukuu hivyo Naogopa naweza nikaimailiza yote kisha baada ya Sikukuu ya Eid MINOCYCLINE Mimi nikawa na Maisha magumu na hata kukosa Pesa ya Kununua Bando ili niweze kuwa nanyi hapa JamiiForums.
Uza maji ya kunywa. Anza na yale madogo ya nusu lita utakuja kunishukuru.
 
Back
Top Bottom