Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Raja alipigwaHuu mkeka km ulitiki vile[emoji12][emoji12]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raja alipigwaHuu mkeka km ulitiki vile[emoji12][emoji12]
😂😂😂😂😁😁Nunua pampas nasikia huna ubingwa maana kila muda unakesha jf kuandika vitu nonsense
Hahaha fake life at its best kuna choko mwenzie cocastic ni njaa nayeGenta mbwembwe zote zile za kushinda tuzo umebakiza 50
Hahahah dahTutafute sehem tuchome mishkaki wakati tunajadili
Kanunue sufuria kisha kisado na chumvi na karanga zikaange kwa uodali anza na kilo 5 baada ya miezi 6 tukutane hapa utojuta itakuwa sababu ya kuendea biashara kubwa baada ya miaka 3 yasipo tokea yakutokea utafungua biashara ya sh 3000,000,shariti ufunge zipu usinywe pombe wala sigara akikisha unapo pika jioni unakula unabskiza kipolo cha kesho unakunywa na chai unaingia mitaani shariti uchonge Kibubu kila siku dumbukiza sh 3000 kwa uchacheNdiyo hela ya mwisho niliyonayo Mfukoni mwangu na ikiisha tu sijui nitaishije hapa Mjini na Uswahilini niliko.
Nishaurini haraka je, hii Shilingi Elfu Hamsini (Tsh 50,000/=) tu niliyonayo niiwekeze katika Biashara gani / Mradi upi ili inilinde hapa Mjini na pia ije kunifanya kuja kuwa Tajiri huko mbeleni na niweze kuwa Mfano wa Kuigwa kwa Wengine?
Fanyeni upesi Kunishauri kwani najijua nilivyo na Tamaa na Kesho ni Sikukuu hivyo Naogopa naweza nikaimailiza yote kisha baada ya Sikukuu ya Eid MINOCYCLINE Mimi nikawa na Maisha magumu na hata kukosa Pesa ya Kununua Bando ili niweze kuwa nanyi hapa JamiiForums.
ujamkumbusha kibubu awe nacho makini wasije kupta nachoKanunue sufuria kisha kisado na chumvi na karanga zikaange kwa uodali anza na kilo 5 baada ya miezi 6 tukutane hapa utojuta itakuwa sababu ya kuendea biashara kubwa baada ya miaka 3 yasipo tokea yakutokea utafungua biashara ya sh 3000,000,shariti ufunge zipu usinywe pombe wala sigara akikisha unapo pika jioni unakula unabskiza kipolo cha kesho unakunywa na chai unaingia mitaani shariti uchonge Kibubu kila siku dumbukiza sh 3000 kwa uchache
Watu wengi udhani biashara mpaka uwe na mtaji mkubwa kumbe sivyo tatizo watu wengi hawataki kuumiza akili zao wanataka mitaji ya kupewa au kuajiriwaujamkumbusha kibubu awe nacho makini wasije kupta nacho
Wapi sigara za jumla zinapatikana kwa bei nzurikanunue sigara za jumla kisha uza madukani
aje atupe mrejesho mtoa madaWapi sigara za jumla zinapatikana kwa bei nzuri
Anaweza kutengeza andazi yakiwa magumu atakula mwenyewe [emoji3]Tengeneza maandazi uuze ndugu, utanishukuru baadae.
Tengeneza maandazi uuze ndugu, utanishukuru baadae.
Kama upo dar nenda mwenyewe ilala alfajiri kachague hizo nguo...nipo chuo mwaka wa pili nina maji wa elfu 50 nataka niagize mzigo wa kuanzia wa nguo za kike kama boyfriend Jean's au night dress naombeni ushauri kwenu wana JF
Nipo dodomaKama upo dar nenda mwenyewe ilala alfajiri kachague hizo nguo...
Pale sabasaba nadhani opposite na uhindini kama sijasahu jina asubuhi walikua wanafungua mitumba, unawahi muda huoNipo dodoma
Uza maji ya kunywa. Anza na yale madogo ya nusu lita utakuja kunishukuru.Ndiyo hela ya mwisho niliyonayo Mfukoni mwangu na ikiisha tu sijui nitaishije hapa Mjini na Uswahilini niliko.
Nishaurini haraka je, hii Shilingi Elfu Hamsini (Tsh 50,000/=) tu niliyonayo niiwekeze katika Biashara gani / Mradi upi ili inilinde hapa Mjini na pia ije kunifanya kuja kuwa Tajiri huko mbeleni na niweze kuwa Mfano wa Kuigwa kwa Wengine?
Fanyeni upesi Kunishauri kwani najijua nilivyo na Tamaa na Kesho ni Sikukuu hivyo Naogopa naweza nikaimailiza yote kisha baada ya Sikukuu ya Eid MINOCYCLINE Mimi nikawa na Maisha magumu na hata kukosa Pesa ya Kununua Bando ili niweze kuwa nanyi hapa JamiiForums.