Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza kuanza kidogo kidogo..wakachangi gari na wenzakeKwa mtaji wako tafuta biashara nyingine labda ingekuwa m200
Usafiri hua bei gani mkuu?Anaweza kuanza kidogo kidogo..wakachangi gari na wenzake
Sawa mkuuJua namna ya kudili na madalali
Msaada nenda Pugu utapata ABC kwa hao wauzaji. Sidhani kama wamo humu.Nawasalim kwa jina la muungano!! ,
Wakuu nina mtaji wa 20m nataka nianze biashara ya ng’ombe kutoka mikoani nakuleta pugu dsm,naomba kujua ABC za hii biashara na kama inalipa au lah
Shukrani sana mkuuMsaada nenda Pugu utapata ABC kwa hao wauzaji. Sidhani kama wamo humu.
Siyo kejeli ila ni ukweli.
Ni biashara inalipa kama utavumilia nakushauri kachukue msukuma mmoja anayenunua mikoani uungane naye. Ni waaminifu .
Sio mm nafanya Nina ndugu ndo anafanya hayo mambo...Usafiri hua bei gani mkuu?
Sidhani kama ni sahihi Mkuu, ukienda minadani Ng'ombe mmoja huuzwa kati ya shilingi 300,000-800,000 ambapo kwa hela hiyo hakosi ng'ombe 30 na usafiri hadi Dsm.Kwa mtaji wako tafuta biashara nyingine labda ingekuwa m200
Nawasalim kwa jina la muungano!! ,
Wakuu nina mtaji wa 20m nataka nianze biashara ya ng’ombe kutoka mikoani nakuleta pugu dsm,naomba kujua ABC za hii biashara na kama inalipa au lah
Ng'ombe wa kupeleka pugu hawezi kununuliwa laki tatu, hata laki nane ni kubahatisha sana.Sidhani kama ni sahihi Mkuu, ukienda minadani Ng'ombe mmoja huuzwa kati ya shilingi 300,000-800,000 ambapo kwa hela hiyo hakosi ng'ombe 30 na usafiri hadi Dsm.
Ambapo hakosi faida ya shilingi 2,500,000 ambayo sio hela ndogo usawa huu