Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,223
- 1,992
Mkuu karibu.
Nilishafanya ya mbuzi mwaka 2018 na hao kidogo.
Hiyo pesa kwa ng'ombe halitoshi labda uanze kwa kuunga kwa mzoefu.
Kuna gharama nyingi kama:
-Kupiga kambi ya manunuzi(Centre)
-Ukusanyaji na uswgaji toka minadani(Wapo unawalipa)
-Kuzunguka kwenye minada(Wasaidizi utawakuta huko)
-Malisho ya hao ambao ushawanunua(Utanunua nyasi au mashudu)
-Malipo ya uhifadhi na mlinzi
-Matibabu kwa watakaopata homa
-Upakiaji na Usafirishaji
-Ushuru na vibali vingine
-Machawa nao wamo(watoa miongozo)
NB:Nenda pale mabibo mwisho mtafte tajiri mmoja anaitwa Halubu
Nilishafanya ya mbuzi mwaka 2018 na hao kidogo.
Hiyo pesa kwa ng'ombe halitoshi labda uanze kwa kuunga kwa mzoefu.
Kuna gharama nyingi kama:
-Kupiga kambi ya manunuzi(Centre)
-Ukusanyaji na uswgaji toka minadani(Wapo unawalipa)
-Kuzunguka kwenye minada(Wasaidizi utawakuta huko)
-Malisho ya hao ambao ushawanunua(Utanunua nyasi au mashudu)
-Malipo ya uhifadhi na mlinzi
-Matibabu kwa watakaopata homa
-Upakiaji na Usafirishaji
-Ushuru na vibali vingine
-Machawa nao wamo(watoa miongozo)
NB:Nenda pale mabibo mwisho mtafte tajiri mmoja anaitwa Halubu