Nina mwanaume ambaye hata kale 'kamoja tu' huwa ni shida

Nina mwanaume ambaye hata kale 'kamoja tu' huwa ni shida

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Kaka Magical power, nina mwanaume ambaye hata kale kamoja tu huwa ni shida inasimama vizuri tu ile tu unaishikashika sababu nimefundwa lazima niishe kwa mkono wangu ndipo niiweke ukiichezea tu unaona tayari kamalizia mkononi hata hajafanya kabisa na ikitokea hivyo basi anavaa analala. Huwa naumia sana niliolewa bila kukutana naye najuta sana kaka katika hili

Nimejaribu kuongea naye ila mkali, anasema kama siwezi kukaa naye niondoke tu ndoa ina mwaka sasa ila sijawahi hata kuenjoy kabisa mara mwisho alifanya kwa dakika 5 hivi 😢
 
ila we jamaa wewe,, kwaio hao wanakufata kukuomba ushauri wewe tu,,au ni mshauri mkuu wa ndoa
Nina kataa luma Ako Cha mahusiano,maisha nk, tokea nipo shule ya secondary nilikua mshaur mzuri sana ivyo ad nilipo fikia umri huu Nina uzoefu mkubwa na watu wengine wananifaham na ndo mana wanakuja kuomba USHAURI kwangu kalibu
 
USHAURI WANGU KWAKE

Sasa jifunze kumuandalia juice ya iliki tende na korosho na karanga na maziwa,uwe unampa Kila siku kama inawezekana,au atafune
 
Mnao uza dawa poleni,sababu Mimi mwenyewe ni herbalist 🌳🌱 doctor ningeshampa,ila kwanza apa anatakiwa apate ushaur mambo mengine baadae si Kila ugonjwa unatibika Kwa dawa maradh mengine hupona Kwa ushaur tu🙏🏽
 
Nina kataa luma Ako Cha mahusiano,maisha nk, tokea nipo shule ya secondary nilikua mshaur mzuri sana ivyo ad nilipo fikia umri huu Nina uzoefu mkubwa na watu wengine wananifaham na ndo mana wanakuja kuomba USHAURI kwangu kalibu
Nitakuja namimi
 
Mwambie aje kwangu nimpe burudani marua kabisa
 
Kuna shida haiweki wazi au ni muathiriwa wa punyeto. Utayar wa kubadilika ni yeye kuwa wazi

Ongea nae taratib mpaka afunguke then mtaanzia hapo
Share scientific evidence kwamba masturbation inaathiri utendaji kazi kitandani
 
Back
Top Bottom