Nina mwanaume ambaye hata kale 'kamoja tu' huwa ni shida

Nina mwanaume ambaye hata kale 'kamoja tu' huwa ni shida

Kaka Magical power, nina mwanaume ambaye hata kale kamoja tu huwa ni shida inasimama vizuri tu ile tu unaishikashika sababu nimefundwa lazima niishe kwa mkono wangu ndipo niiweke ukiichezea tu unaona tayari kamalizia mkononi hata hajafanya kabisa na ikitokea hivyo basi anavaa analala. Huwa naumia sana niliolewa bila kukutana naye najuta sana kaka katika hili

Nimejaribu kuongea naye ila mkali, anasema kama siwezi kukaa naye niondoke tu ndoa ina mwaka sasa ila sijawahi hata kuenjoy kabisa mara mwisho alifanya kwa dakika 5 hivi 😢
Dunia ina mambo, duuh Pole yake mwaya, saingine ndo mana mnaambiwa shale b4 use sas apo c atachepka mwanamama huyo kutafta makojozo 😄 au bas.
 
Share scientific evidence kwamba masturbation inaathiri utendaji kazi kitandani
Ikiwa kujichua kunakuwa tabia ya kulazimisha inaweza kusababisha matatizo kama kupungua kwa hamu ya ngono au kupoteza shauku katika ngono na mwenzi.

Lakini pia kuna tatizo la Erectile disfunction Linalosababishwa na Pornography kwa baadhi ya watu, kutazama picha za ngono mara kwa mara wakati wa kujichua kunaweza kusababisha matarajio yasiyo halisi ya ngono na hali kama vile tatizo la kutopata nguvu za kiume linalosababishwa na porn induced erectile disfunction (PIED). Hii inaweza kufanya iwe vigumu kupata msisimko wa ngono na mwenzi bila msaada wa picha za kuona

Vijana wengi wana experience PIED bila kujua sababu ya porn, asipo jibust kwa picha au dawa ngoma haisomi which is not normal
 
Kwanza uyo jamaa anakupenda sana kama kakuoa na hajawahi kukugusa
Pili,mwambie apunguze mwili.
Aache ubosi bosi.
Dawa zipo nyingi na nzuri
Ilo sio tatizo tena sikuizi

Na wewe mpunguzie stress,kama uliamua kuolewa nae
 
Ikiwa kujichua kunakuwa tabia ya kulazimisha inaweza kusababisha matatizo kama kupungua kwa hamu ya ngono au kupoteza shauku katika ngono na mwenzi.

Lakini pia kuna tatizo la Erectile disfunction Linalosababishwa na Pornography kwa baadhi ya watu, kutazama picha za ngono mara kwa mara wakati wa kujichua kunaweza kusababisha matarajio yasiyo halisi ya ngono na hali kama vile tatizo la kutopata nguvu za kiume linalosababishwa na porn induced erectile disfunction (PIED). Hii inaweza kufanya iwe vigumu kupata msisimko wa ngono na mwenzi bila msaada wa picha za kuona

Vijana wengi wana experience PIED bila kujua sababu ya porn, asipo jibust kwa picha au dawa ngoma haisomi which is not normal
Mkuu waweza cite research yoyote iliyofanywa kuthibitisha ulichoandika?

Screenshot_2024-11-10-08-24-39-764_com.android.chrome-edit.jpg
 
ila we jamaa wewe,, kwaio hao wanakufata kukuomba ushauri wewe tu,,au ni mshauri mkuu wa ndoa
Huyu ni mpuuzi mwingine

 
Mkuu waweza cite research yoyote iliyofanywa kuthibitisha ulichoandika?

View attachment 3148322
Man AI doesnt give majibu yote, so i wont take it serious. Kuna scientific articles zinazo lead to that point, so aaminike yupi?

But still kuna maswali ? Then tell me how comes dawa za nguvu za kiume zina trend?
What causes vijana wadogo kabisa bila ku ji boost ni kimoja na kusepa?
 
Kaka Magical power, nina mwanaume ambaye hata kale kamoja tu huwa ni shida inasimama vizuri tu ile tu unaishikashika sababu nimefundwa lazima niishe kwa mkono wangu ndipo niiweke ukiichezea tu unaona tayari kamalizia mkononi hata hajafanya kabisa na ikitokea hivyo basi anavaa analala. Huwa naumia sana niliolewa bila kukutana naye najuta sana kaka katika hili

Nimejaribu kuongea naye ila mkali, anasema kama siwezi kukaa naye niondoke tu ndoa ina mwaka sasa ila sijawahi hata kuenjoy kabisa mara mwisho alifanya kwa dakika 5 hivi 😢
Uongo uongo uongo.
Hizi kauli zimekuwa zikitolewa na wanawake kuharalisha tabia zao za kuchepuka. Maana mwanaume hawezi kujieleza kwenye hili akaeleweka maana hakuna wa kuthibitisha maelezo yake zaidi ya mwanamke wake.
 
Man AI doesnt give majibu yote, so i wont take it serious. Kuna scientific articles zinazo lead to that point, so aaminike yupi?

But still kuna maswali ? Then tell me how comes dawa za nguvu za kiume zina trend?
What causes vijana wadogo kabisa bila ku ji boost ni kimoja na kusepa?
Tunaweza tusirely kwa AI but inatugea general answer, tusiporidhika tunaenda deep.

Mfano, imetoa jibu general kwamba hakuna ushahidi wa kisayansi tusiporidhika itabidi tuingie deep kutafuta articles na research zinazozungumzia hicho kitu. Binafsi deepest nimewahi fika ni research na articles zinazosema masturbation na porn can lead to sadomasochism and sometimes inamfanya mtu awe sexual predator au hata serial killer.

Turudi kwenye swali la kwanini dawa za kiume zinatrend? Notice kwamba wanaofanya zitrend ndiyo wapo busy kusema punyeto inasababisha hichi au kile. Is it a coincidence? And too bad wanazitrendisha Dar tu.

Hii point ya kwanini kijana mdogo anafanya kimoja na kusepa ni fallacy of generalisation. Mikoa ya kaskazini taarifa za habari zilitangaza wanaume ni walevi mpaka wanashindwa kuwakidhi wenzi wao. Hapo Dar vijana wanashinda ofisi za meridian bet asubuhi mpaka usiku, chakula ni energy na maandazi ya bakhresa hana uhakika wa ends kua met in time.

Huyu ana akili ya kua stimulated kwenye sex?
 
Huwa inatokea?
Kwa mwanaume inaweza kupoteza hata confidence kidogo aliyonayo.
Kwa mwanamke stress hazitaisha imagine ndo mwanaume unayetakiwa kuishi naye the rest of your life hapo lazima nimtafute baltazar wangu
 
Kwa mwanamke stress hazitaisha imagine ndo mwanaume unayetakiwa kuishi naye the rest of your life hapo lazima nimtafute baltazar wangu
Bora umuache kuliko kumpa stress za kumcheat! Ila akizama si inatosha!
 
Back
Top Bottom