Nina mwanaume ambaye hata kale 'kamoja tu' huwa ni shida

Shida yako wewe ni pesa tu! Mara ulale nje ulipwe buku mbili! Huyo mmeo kila akikumbuka mambo yako ya kupenda pesa kama Mushangazi! Kifuatacho huwa hicho unacholalamikia hapa.
 
Shida yako wewe ni pesa tu! Mara ulale nje ulipwe buku mbili! Huyo mmeo kila akikumbuka mambo yako ya kupenda pesa kama Mushangazi! Kifuatacho huwa hicho unacholalamikia hapa.
Ivi umesoma uz na kuuelewa Au ndo umekurupuka kama kina kasongo yeyeeee πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ana. Vaa analala how come
 
Sikiliza mkuu.

Kuna vitu vingine inahitajika akili sana kuviweka hafharani.

Hii post ni tangazo la umalaya

Naishia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…