Nina ndoto, siku moja Ulaya, Marekani na China watakuja kuwa chini ya Afrika

sio vzur kumshambulia mtu anayeota km kumekucha aamshwe aendelee na harakati za kila siku
Mwenye namba ya mkewe amjulishe kwamba jamaa anaweweseka usingizi ni, na mbaya zaidi kalala na simu mkononi
 
Kuna mambo mawili hapa,
1.Kuna makosa ya kiufundi (technical errors) wakati wa kuumba watu weusi
au
2.Mungu ana dhambi ya kuumba mtu mweusi

Mtu mweusi awe africa au nje ya africa bado shida zetu ni zile zile
 
 
Khaa!viongozi wetu wakiacha ubinafsi na upumbav(hapa namaanisha hawatumii akili)

Na sisi tukaacha kutopea kwenye mambo rahisi kama Simba na Yanga...hekaya za kuruka na ungo...na mitume na manabii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…