Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joe Biden, Rais wa 46 wa Marekani ana umri wa miaka 81 sasa, hiyo 91 hajafika badoMmmh mbona trump kafikisha miaka 78 huku babu Biden akifikisha 91 yrs
Unatoa mifano illogical sana.Mmmh mbona trump kafikisha miaka 78 huku babu Biden akifikisha 91 yrs
Unachosema kinaendana na mtazamo wa wengi wanaoamini kuwa afya na maisha vyote viko mikononi mwa Mungu.Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu !!!
The way umekuja kuomba ushauri humu ni kama vile judge wa kifo chako yupo humu 😎🤝🏽Yeah kwani raisi SI binadamu kama sisi?
Maandishi haya sio mageni jijinininataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi