Nina ndoto ya kufikisha miaka 100 ya kuwa hai duniani

Nina ndoto ya kufikisha miaka 100 ya kuwa hai duniani

Jiajiri,achana na wazo la kuajiriwa, oa mapema mke zaidi ya 1 (kama 3 hadi 7), ishi kijijini,kula vyakula asilia.. uzoefu kwa babu yangu.. wake 5, aliishi 102
 
Sikiliza makala zote za Dr Jnabi uje za Mdodi ambazo ni RFA tu ndio wanazo.
Msikilize Dr Sebi na wengi mtandaoni ambao wanazungumzia kutunza afya
Fuatilia wajapani na wachina, wamefanikiwa zaidi kutunza afya kuliko wazungu.
Kunywa maji mengi, fanya mazoezi, kula mboga za majan kwa wingi, kula matunda kwa wingi. Punguza matumizi ya sukari. Kula mizizi sana kuliko nafaka.
Usitumie sana kemikali. Tumia dawa za asili. Punguza kula sana ie kushiba sana.
Fanya manual work, usiende Jim.
Msikilize pharel, william wa usa.
Unaweza ishi hata miaka 120. Wengi hizo principle zimetushinda.
Bibi yangu alikuwa hali nyama za mjini bali nyama pori tu.
 
hakikisha unakuwa na vyanzo vya pesa ambavyo havitakupa stress, ardhi,nyumba,kilimo,ufugaji ukiweza kuviweka sawa hivi umeanza kufaulu!.

hakikisha ulaji wako ni salama,zingatia ulaji mzuri natural ktk vingi unavyovitia mdomoni mwako
kiujumla zingatia afya yako pia mazoezi walau yakukutoa jasho,usikae kizembe!.
makazi yako nashauri yawe kijijini,sio kijijini sana kuwe na upatikani wa huduma za kijamii zote!.
weka mbali mtu ambae ni hatari kwako, nawe uishi kwa upendo na wengine kikubwa kuwa halisi!.

pombe,sigara futa hivyo vitu!.
 
Habari Wadau see

Mimi nina miaka 27 na ninataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi 😁

Yaani niishi hadi mwaka 2100

Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu?
Ufike miaka 100 ili ufanye nini?
 
Habari Wadau see

Mimi nina miaka 27 na ninataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi 😁

Yaani niishi hadi mwaka 2100

Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu?
Kwa barabara hizi?
Kwa hewa hii?
Kwa maji haya?
Kwa wasiojulikana tulionao?
Kwa siasa hizi?
Kwa dawa na hospitali hizi?
Kwa wanasiasa hawa?
 
Upunguzie moyo wako mzigo wa kupampu vitu badala yake upampu damu tuu...
 
Umeamua kujicheka mwenyewe kabisa kwa sababu unaelewa kabisa ni ngumu kwa kizazi hiki cha sasa kutoboa hata miaka 60 tu šŸ˜ŽšŸ¤šŸ½
Miaka 60 mkuu kajamaa kanatoboza! Sasa hivi life expectancy ya Tz nafikri ni zaidi ya hiyo 60! Kwa hiyo kama kajamaa hakana stress kanaipiga hiyo 60 bila ubishi! Ila 100 hizo ni ndoto za alinacha!
 
Back
Top Bottom