Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimuheshimu? Maana hata serikali inatuma wanajeshi wakauwawe ila inawaheshimu. Halafu sijajua kama maandiko yanasema ni baba mzazi au yoyote tu.Hayana ukweli wowote, kuna mzee namjua ana miaka kama 96 inasemekana alimuua baba yake .
Kwa hiyo katoto kakifa kachanga hakajaheshimu wazazi?Alimuheshimu? Maana hata serikali inatuma wanajeshi wakauwawe ila inawaheshimu. Halafu sijajua kama maandiko yanasema ni baba mzazi au yoyote tu.
hoja yako ya ajira inampa point yeye kuipinga hoja yakoKwani wanaposema ukisoma utapata ajira kila asiye na ajira hajasoma?
Anyway, Sijui. Ila kuna sehemu imeandikwa hivyo.
Hapana. Katoto hakajapata hiyo nafasi ya kutoa heshima. Nadhani hii imewalenga wenye ufahamu wa heshima ni nini.Kwa hiyo katoto kakifa kachanga hakajaheshimu wazazi?
Hahaha. Msaidie kuipinga mkuuhoja yako ya ajira inampa point yeye kuipinga hoja yako
Kuna watu hawakuwahi kuwa na hiyo heshima ila wameishi mda mrefu tu, huo mstari hauna maana , japo kweli mtu anaejitambua wala hapaswi kutishiwa au kupewa ahadi yoyote ili kumheshimu kila mtu.Hapana. Katoto hakajapata hiyo nafasi ya kutoa heshima. Nadhani hii imewalenga wenye ufahamu wa heshima ni nini.
Huo mstari una maana mkuu, hivi unapatikana kwa waislamu au wakristo au wote?Kuna watu hawakuwahi kuwa na hiyo heshima ila wameishi mda mrefu tu, huo mstari hauna maana , japo kweli mtu anaejitambua wala hapaswi kutishiwa au kupewa ahadi yoyote ili kumheshimu kila mtu.
Kabla hata ya uislamu ama ukristo kuwepo Africa msisitizo wa heshima ulikuwepo tuHuo mstari una maana mkuu, hivi unapatikana kwa waislamu au wakristo au wote?
Good. Heshima ni jambo muhimu.Kabla hata ya uislamu ama ukristo kuwepo Africa msisitizo wa heshima ulikuwepo tu
namsaidia vipi mkuu nawewe umeshafanya hivo. we kua neutral alafu soma hoja yako na swali lake na ulichomjibu. utaona kua wote mnaongea lugha mojaHahaha. Msaidie kuipinga mkuu
Nimekupata mkuunamsaidia vipi mkuu nawewe umeshafanya hivo. we kua neutral alafu soma hoja yako na swali lake na ulichomjibu. utaona kua wote mnaongea lugha moja
Habari Wadau see
Mimi nina miaka 27 na ninataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi 😁
Yaani niishi hadi mwaka 2100
Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu?
Hoja ipo, Muda wa kuwa hai ukikoma si ndo umekufa boss? Yeye anataka kuishi miaka 100 sio kufa chini ya hapo hata kama ana uhusiano mzuri na MUNGU wake. Swali lake ni atafikishaje miaka 100 Sio atakufa akiwa na mahusiano gani na MUNGU.Usijiulize nitaishi miaka mingapi duniani. Jiulize nitaifanyia nini dunia mpaka nitakapoondoka duniani.
NB: Kufa siyo hoja, hoja ni hali ya uhusiano wako na Mungu wako pindi ambapo muda wa kuwa hai duniani utakapo koma.
lengo lake yeye afike miaka 100, ni kama tu mtu anavyoweka lengo la kujenga nyumba, yeye anataka miaka 100Usijiulize nitaishi miaka mingapi duniani. Jiulize nitaifanyia nini dunia mpaka nitakapoondoka duniani.
NB: Kufa siyo hoja, hoja ni hali ya uhusiano wako na Mungu wako pindi ambapo muda wa kuwa hai duniani utakapo koma.
🤣Mimi tu naweza Nina miaka 12 sahviKwa member wote wa jf hakuna atakayetoboa mwaka 2100
Naona kama kuishi mda gani ni jambo la kurithi pia kutoka kwa kizazi chenu🤔 japo haina garentiiHoja ipo, Muda wa kuwa hai ukikoma si ndo umekufa boss? Yeye anataka kuishi miaka 100 sio kufa chini ya hapo hata kama ana uhusiano mzuri na MUNGU wake.
Miaka 60 tu unavuka barabara kwa kujishauri, hujui ukimbie, utembee au uendelee kusimama, sasa unafikiri miaka 99 utaenda wapi hasa, labda chooni!Habari Wadau see
Mimi nina miaka 27 na ninataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi 😁
Yaani niishi hadi mwaka 2100
Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu?
HIV we jamaa humu kati umri wetu ni kuanzia 22-70 hakuna ambaye kafikisha Mia tutakupaje ushauri!!Habari Wadau see
Mimi nina miaka 27 na ninataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi 😁
Yaani niishi hadi mwaka 2100
Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu?