Nina ndoto ya kufikisha miaka 100 ya kuwa hai duniani

Nina ndoto ya kufikisha miaka 100 ya kuwa hai duniani

Kwa kuwa kifo ni lazima, kinatokea kwa njia mbalimbali kama ajali, ugonjwa, kuuawa, kurogwa na nyingine nyingi. Usikiwazie sana. Usikiweke kichwani mwako kitu ambacho LAZIMA KITOKEE kwa muda wowote.

Unachotakiwa kufanya (sio kitakachozuia ufe) furahia maisha. Panga mipango yako ya maisha, kula vizuri, jali afya yako, furahia kuishi, epuka vinavyokuumiza, epuka kila unachoona kina hatarisha uhai wako n.k LAKINI ZAIDI SANA MTANGULIZE MUNGU KWENYE MAISHA UNAYOISHI.
Bravo broo.
 
Habari Wadau 😳

Mimi nina miaka 27 na ninataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi 😁

Yaani niishi hadi mwaka 2100😁

Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu?
Sasa ukiachana na kuomba Mungu hapo unategemea nini?kuishi miaka mingi hata hiyo 100 ni neema kutoka kwa Mungu,ni yeye pekee ndio mwenye uwezo wa kuiachilia kwa mtu amtakaye.Kama ilivyokuwa kwa Hezekia,soma 2Wafalme 20:2-6...
 
Sikiliza makala zote za Dr JJnabi uje za Mdodi ambazo ni RFA tu ndio wanazo.
Msikilize Dr Sebi na wengi mtandaoni ambao wanazungumzia kutunza afya
Fuatilia wajapani na wachina, wamefanikiwa zaidi kutunza afya kuliko wazungu.
Kunywa maji mengi, fanya mazoezi, kula mboga za majan kwa wingi, kula matunda kwa wingi. Punguza matumizi ya sukari. Kula mizizi sana kuliko nafaka.
Usitumie sana hemikali. Tumia dawa za asili. Punguza kula sana ie kushiba sana.
Fanya manual work, usiende Jim.
Msikilize pharel, william wa usa.
Unaweza ishi hata miaka 120. Wengi hizo principle zimetushinda.
Bibi yangu alikuwa hali nyama za mjini bali nyama pori tu.
 
Habari Wadau see

Mimi nina miaka 27 na ninataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi 😁

Yaani niishi hadi mwaka 2100

Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu?
Fanya Semen retention ndoto yako itatimia kinyume zaidi ya matarajio yako
 
Habari Wadau see

Mimi nina miaka 27 na ninataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi 😁

Yaani niishi hadi mwaka 2100

Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu?
Omba mshangazi ukulee ipasavyo mpaka ufikie level akuachie mali zake
 
Kama upo Dar, hama. Nenda kaishi mikoa yenye ubaridi na chakula Cha kutosha cha kienyeji.
Ishi mbali kidogo na mji.
Fanya shughuli nyingi za kukuvujisha Jasho.
Usitake makubwa maishani. Kuwa simple tu.

Kwa kifupi, hamia tu Japan. Kuna kisiwa kule watu kugonga miaka mia si story.
 
Kama upo Dar, hama. Nenda kaishi mikoa yenye ubaridi na chakula Cha kutosha cha kienyeji.
Ishi mbali kidogo na mji.
Fanya shughuli nyingi za kukuvujisha Jasho.
Usitake makubwa maishani. Kuwa simple tu.

Kwa kifupi, hamia tu Japan. Kuna kisiwa kule watu kugonga miaka mia si story.
Ni kweli bro mazingira ndio mpango mzima !
 
Hakika nimeelewa!

Ila vipi kupigana na wanadamu wenzangu wenye roho mbaya?
Mtu anayeishi bila kufanyia mazoezi sahihi nguvu zake za kiroho, kimwili, kijamii na kiakili, huyo ni mfu anayetembea.

Suala siyo kupingana na watu wabaya. Hoja ya msingi ni kwamba unapinganaje nao?

Kuna ile hekima kwamba ukijibizana na kichaa sawasawa na vile afanyavyo yeye, basi wote mtaonekana vichaa.

Usikwepe tatizo wala changamoto ukadhani ndipo litatoweka, bali likabili katika anga zake ila ukitumia misingi uliyojiwekea.

Halafu, ukiwa na roho nzuri, kuwakabili watu wenye roho mbaya, kama usemavyo, inakuwa kama asili yako ya pili - very exciting to do it, even. All you've to do is simply shine out the best of you, and that's it!
 
Kama upo Dar, hama. Nenda kaishi mikoa yenye ubaridi na chakula Cha kutosha cha kienyeji.
Ishi mbali kidogo na mji.
Fanya shughuli nyingi za kukuvujisha Jasho.
Usitake makubwa maishani. Kuwa simple tu.

Kwa kifupi, hamia tu Japan. Kuna kisiwa kule watu kugonga miaka mia si story.
""""Nikiwa na pesa taishi simple tuu kama sina pesa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂"""""
Usenge usenge tuu..

Huko japan mkuu watu mpaka mia na tano. Ila sasa vyakula vyao we huli mkuu hata kidogo,,😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom