eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
lengo lake yeye afike miaka 100, ni kama tu mtu anavyoweka lengo la kujenga nyumba, yeye anataka miaka 100
Lengo ni lengo tu. Hata kama halina tija yoyote kwa dunia.
Naheshimu maoni yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lengo lake yeye afike miaka 100, ni kama tu mtu anavyoweka lengo la kujenga nyumba, yeye anataka miaka 100
Sasa kama mama hawapo amheshimu naniWaefeso 6:2-3
“Waheshimu Baba na mama yako,” hii ndiyo amri ya kwanza ambayo imeongezewa ahadi, yaani, “Upate fanaka na kuishi miaka mingi duniani.”
Amri ya tano inasema, “Waheshimu baba yako na mama yako, siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako” ( Kutoka 20:12 )
Shubamiiit, kuna koo unakuta bibi kaona vimbwele. Yaani mama wa babu yupo hai na anapenda ugoro na tumbaku kuliko kula.Naona kama kuishi mda gani ni jambo la kurithi pia kutoka kwa kizazi chenu🤔 japo haina garentii
naam hilo ni lengo lake binafsi. likitimia atakua kala chumvi nyingi, atakua mzee wa kijiji naimani atakua na mchangoLengo ni lengo tu. Hata kama halina tija yoyote kwa dunia.
Naheshimu maoni yake.
Asije kuwa mzee wa hovyo tu.naam hilo ni lengo lake binafsi. likitimia atakua kala chumvi nyingi, atakua mzee wa kijiji naimani atakua na mchango
utakuwa umeifanyia nini dunia katika hiyo miaka 100, legacy wise?Habari Wadau see
Mimi nina miaka 27 na ninataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi 😁
Yaani niishi hadi mwaka 2100
Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu?
Mimi bibi yangu ana 104 na alikua mtu wa pombe kali 😂Shubamiiit, kuna koo unakuta bibi kaona vimbwele. Yaani mama wa babu yupo hai na anapenda ugoro na tumbaku kuliko kula.
Hapana mkuu,Mimi nitafikaUmeamua kujicheka mwenyewe kabisa kwa sababu unaelewa kabisa ni ngumu kwa kizazi hiki cha sasa kutoboa hata miaka 60 tu 😎🤝🏽
Hautaki kwenda mbinguni kwenye raha ya ajabu mapema?😂Hapana mkuu,Mimi nitafika
Umenena vyema sana mtu wa MUNGU.Sasa ukiachana na kuomba Mungu hapo unategemea nini?kuishi miaka mingi hata hiyo 100 ni neema kutoka kwa Mungu,ni yeye pekee ndio mwenye uwezo wa kuiachilia kwa mtu amtakaye.Kama ilivyokuwa kwa Hezekia,soma 2Wafalme 20:2-6...
wenye umri sawa na wazazi wakeSasa kama mama hawapo amheshimu nani
Kama wenye umri gani kwa sasaWapo sana.
Ukweli ndo huoAcha kutuogopesha aise
Na hii ndio maana halisi ya maisha,ndo mana maandiko yanasema "heri wafu wafao katika bwana tangu sasa."Usijiulize nitaishi miaka mingapi duniani. Jiulize nitaifanyia nini dunia mpaka nitakapoondoka duniani.
NB: Kufa siyo hoja, hoja ni hali ya uhusiano wako na Mungu wako pindi ambapo muda wa kuwa hai duniani utakapo koma.
Hapo bado kuna wasiojulikana, sijui anawaepukaje!?chengine epuka kusafirisafiri hovyo barabarani hakutabiriki!.
Miaka 100 utakuja kupata shida uteseke bure.Habari Wadau see
Mimi nina miaka 27 na ninataka nife nikiwa na umri wa miaka 100 hivi 😁
Yaani niishi hadi mwaka 2100
Nifanye nini ili nitimize ndoto hiyo ukiachana na kuomba Mungu?
mh! asipojihusisha na watu wa hovyo hayatamkutaHapo bado kuna wasiojulikana, sijui anawaepukaje!?
Bado WW111 inayokuja Tz soon😝