hakikisha unakuwa na vyanzo vya pesa ambavyo havitakupa stress, ardhi,nyumba,kilimo,ufugaji ukiweza kuviweka sawa hivi umeanza kufaulu!.
hakikisha ulaji wako ni salama,zingatia ulaji mzuri natural ktk vingi unavyovitia mdomoni mwako
kiujumla zingatia afya yako pia mazoezi walau yakukutoa jasho,usikae kizembe!.
makazi yako nashauri yawe kijijini,sio kijijini sana kuwe na upatikani wa huduma za kijamii zote!.
weka mbali mtu ambae ni hatari kwako, nawe uishi kwa upendo na wengine kikubwa kuwa halisi!.
pombe,sigara futa hivyo vitu!.