Sasa sijui nyie mna maoni gani Yani mniambie changamoto ambayo nitakutananayo MTU ukiwa na wake wengi
Hivo yaanSema na moyo wako mkuu, Maisha mafupi sana haya
Uniweke kwenye list napenda ndoa ya wake wengi.Kuanzia 12
Kwa hio inafaa tuwe na wanawake wangapi mkuu ndio tuweze kukata kiu mujarabu?Sijui inkuwaje ila naona wenye mke zaidi ya mmoja aenjoy vizuri maisha. Ni kama anajibana mwenyewe yaani hata ule ukaribu na familia yako hauwi mzuri.
Wazee wa zamani walikuwa makiritimba tu. Mambo ya kuwa na wake wengi kiukweli haijakaa vzuri. Upendo ni ngumu kugawanyika.
Mke mmoja anatosha sana. Kila jambo kwa kiasi.Kwa hio inafaa tuwe na wanawake wangapi mkuu ndio tuweze kukata kiu mujarabu?
Ni wazo zuri Mimi mwenyewe napenda tuwe wengi
Wanne tu au watanoKwa hio inafaa tuwe na wanawake wangapi mkuu ndio tuweze kukata kiu mujarabu?
Mkiwa wanne au watanoWanne tu au watano
Ndio inakuwa poa halafu sasa mwanaume ndio ana enjoy sana akienda kwa huyo mara maji ya mdalasini akirudi huyo vitobosho full raha.Mkiwa wanne au watano
Unaonaje mkiwa 17Ndio inakuwa poa halafu sasa mwanaume ndio ana enjoy sana akienda kwa huyo mara maji ya mdalasini akirudi huyo vitobosho full raha.