Suhendra
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 1,625
- 3,307
Hiyo hapana zamu itakuwa ndefu sanaUnaonaje mkiwa 17
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo hapana zamu itakuwa ndefu sanaUnaonaje mkiwa 17
Mpaka sasa una wanaume wangapi? Na sijui kwa nini siku hizi mnapenda kuwa lesbian.Jambo hilo linaniumiza sana kichwa kuwa na mke mmoja naona kama sitotosheka Yani katika vitu ninavyovipenda, Mimi ni kujigijigi/kusex,pia napenda kuwa familia kubwa tu,lakini kuhusu kuwahudumia malazi,makazi,matunzo hilo halito Nipa shida kwasababu kiuchumi nipo vizuri.
Sasa sijui nyie mna maoni gani Yani mniambie changamoto ambayo nitakutananayo MTU ukiwa na wake wengi
Kwa hio Mwisho wanne au watano 😂Hiyo hapana zamu itakuwa ndefu sana
We ChiziMpaka sasa una wanaume wangapi? Na sijui kwa nini siku hizi mnapenda kuwa lesbian.
WatanoKwa hio Mwisho wanne au watano 😂
Pia uwe na hela nyingiJambo hilo linaniumiza sana kichwa kuwa na mke mmoja naona kama sitotosheka Yani katika vitu ninavyovipenda, Mimi ni kujigijigi/kusex,pia napenda kuwa familia kubwa tu,lakini kuhusu kuwahudumia malazi,makazi,matunzo hilo halito Nipa shida kwasababu kiuchumi nipo vizuri.
Sasa sijui nyie mna maoni gani Yani mniambie changamoto ambayo nitakutananayo MTU ukiwa na wake wengi
Hapo sawa hayo ni mafanikio tosha ni zamu kwa zamuWatano
Mwanaume akiniambia hana mwanamke simuelewii 🥴🥴🥴🥴 sijui nikojeee 🚶🚶🚶🚶Uniweke kwenye list napenda ndoa ya wake wengi.
Iwe kama Nguzo wa mpali na wake zake 7[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Wewe usikojoe hapa HUONI tunakuonaMwanaume akiniambia hana mwanamke simuelewii 🥴🥴🥴🥴 sijui nikojeee 🚶🚶🚶🚶
Km una nguvu oa kaka ila km nguvu ndogo utasaidiwa mpk na houseboy zako maana kwenye ndoa watu wanavumilia vingiJambo hilo linaniumiza sana kichwa kuwa na mke mmoja naona kama sitotosheka Yani katika vitu ninavyovipenda, Mimi ni kujigijigi/kusex,pia napenda kuwa familia kubwa tu,lakini kuhusu kuwahudumia malazi,makazi,matunzo hilo halito Nipa shida kwasababu kiuchumi nipo vizuri.
Sasa sijui nyie mna maoni gani Yani mniambie changamoto ambayo nitakutananayo MTU ukiwa na wake wengi
USITHUBUTU, UTAJUTA SANA.Jambo hilo linaniumiza sana kichwa kuwa na mke mmoja naona kama sitotosheka Yani katika vitu ninavyovipenda, Mimi ni kujigijigi/kusex,pia napenda kuwa familia kubwa tu,lakini kuhusu kuwahudumia malazi,makazi,matunzo hilo halito Nipa shida kwasababu kiuchumi nipo vizuri.
Sasa sijui nyie mna maoni gani Yani mniambie changamoto ambayo nitakutananayo MTU ukiwa na wake wengi
NI mbaya mnoo binaadamu siyo watu wema Tena,Jambo hilo linaniumiza sana kichwa kuwa na mke mmoja naona kama sitotosheka Yani katika vitu ninavyovipenda, Mimi ni kujigijigi/kusex,pia napenda kuwa familia kubwa tu,lakini kuhusu kuwahudumia malazi,makazi,matunzo hilo halito Nipa shida kwasababu kiuchumi nipo vizuri.
Sasa sijui nyie mna maoni gani Yani mniambie changamoto ambayo nitakutananayo MTU ukiwa na wake wengi
Jambo hilo linaniumiza sana kichwa kuwa na mke mmoja naona kama sitotosheka Yani katika vitu ninavyovipenda, Mimi ni kujigijigi/kusex,pia napenda kuwa familia kubwa tu,lakini kuhusu kuwahudumia malazi,makazi,matunzo hilo halito Nipa shida kwasababu kiuchumi nipo vizuri.
Sasa sijui nyie mna maoni gani Yani mniambie changamoto ambayo nitakutananayo MTU ukiwa na wake wengi