Nina ndoto za kuja kuwa Director mkubwa Afrika Mashariki na Kati

Endelea tu 🤣. To each his own.. we'll meet at the top.
 
POOR BRAIN
 
Mapema kabisa mkuu
 
Ndio mkuu nina malengo ila kwenye jina hapo .
Ngoja tuone
 
Wakuu naona mood wamefuta uzi wangu aiseeee daaah
 
DR HAYA LAND kuna kitu nilitaka ku share kwa vijana wenzangu ila ndio hvo haya mambo naona wana yaficha sana aiseeeee
 
Uzi huo Nimeusoma

SAbabu ya kuufuta inaweza kua ni wao Moderator wameuona kwa view ya kuamasisha na ku influence vijana kwenye mambo ya Betting na numerology. Ndo wakaona wauondoe

#Tuko pamoja
Duuuuh mbona hatareee hiyooo
 
Badilisha ID yako iyendane na ndoto, kitu kidogo ila kinamaa kubwa sana kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…