FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Usimwite binaadam mwenzio "mkuu". Mkuu ni mmoja tu, Muumba wetu.Ndio mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimwite binaadam mwenzio "mkuu". Mkuu ni mmoja tu, Muumba wetu.Ndio mkuu
Vyanzo husika... namaanisha mfano tovuti,viunganishi,ama vitabu husika ni wapi naweza nikipata kwa uhakika zaidi
Nashukuru kaka...so the best way kujifinza biashara kuingia katika vitendo...ama yanifaa pia kurejelea nadharia zilizohaririwa na wabobezi wa biasharaFanya physically uza hata ice cream... ili mradi ufanye biashara ondoa kabisa dhana ya kuajiliwa kwenye ubongo wako... invest in business you will remember that one day...!
Nashukuru kaka...so the best way kujifinza biashara kuingia katika vitendo...ama yanifaa pia kurejelea nadharia zilizohaririwa na wabobezi wa biashara
"Wakuu habari....Nina umri wa miaka 20 sasa lakini pia kipato nilichonacho kwa siku hakizidi 7000 Nina ndoto za kuwa huru kiuchumi kabla ya miaka 26 lakini Sina mwanga wa kipi nianze kufanya."
Asante kwa kunifumbua kakaAcha na shule kabisa yani usijaribu nasoma elect eng mwaka wa 3 kwa majuto
Nakupa ujanja huu, ingia youtube jifunze high income skillz courses ,usikate tamaa jikaze
1.forex
2.crypto investing
3.morden agriculture
4.network marketing
5.copywriting
6.content creating
7 web dvp &programming
8.graphic designs &editing
Chagua moja kati ya hizo skillz u i master kisawa sawa.
*Ukishindwa kabisa basi endeleza kipaji alichokupa mwenyezi Mungu ,use your passion ku make maokoto.
Kajaribu kuuza phone accessoties mkuu kama screen ptotectors chargers na vingine unapopat endelea kuweka akibaa mkuubaadae utafungua biashara kubwaaaNipo mjini mwanza,ilemela