Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Ulikuwa na point lakini kumtaja Jiwe umeharibu point yako, ila hii ni kwa mujibu wangu mimi tu
 
Vyeti feki lazima mumchukie fanyeni kazi acheni kupenda slopu
Acha kumvua nguo mzazi wako, unasema cheti feki wakati hujui hata kama nina cheti chochote. Nyie ndiyo mlikuwa mtaji wa jiwe, akili kisoda, na unaweza kuta uko above 25 years lakini ndiyo hivyo tena.
 
Acha kumvua nguo mzazi wako, unasema cheti feki wakati hujui hata kama nina cheti chochote. Nyie ndiyo mlikuwa mtaji wa jiwe, akili kisoda, na unaweza kuta uko above 25 years lakini ndiyo hivyo tena.
Vyeti feki fanyeni kazi acheni kupenda slopu
 
IN YOU I BELIEVE,IN YOU I DOUBT ??HOW CAN YOU ELABOLATE THIS EMBARGO.

AM WAITING 🙏
 
KUKUZA MICHEZO
Miaka ya karibuni ligi ya Tanzania imepanda ubora ila hali ya viwanja ni mbaya sana
Serikali itajenga viwanja vya mpira 6 vya kisasa (nyasi za asili na kusupport VAR) vyenye uwezo wa kubeba watazamaji elfu 25 na vitakua na uwezo wa kuongezwa mpaka watu elfu 60
Dsm 2
mbeya 1
Dodoma 1
Tanga 1
Mwanza 1
Hii ni awamu ya kwanza zipo nyingine lengo ni kila mkoa kujenga uwanja wa watu 25 wa mpira wa miguu wa kisasa
Miundombinu ya viwanja ikiwa mizuri mpira wa miguu unaweza itangaza nchi sana.
 
Kiswahili kina lack some words Ila ngoja nijaribu kutafsiri...

"IN YOU I BELIEVE,IN YOU I DOUBT ??HOW CAN YOU ELABOLATE THIS EMBARGO."

Namaanisha,

Kutokana na maelekezo na mbinu na mipango nimekuamini, kwa upande mwingine na wasiwasi hutoweza kufanikisha mipango/sera zako how? Unaweza kuondoa huo utata/ kikwazo?
 
Mbona hukumwambia Magu uwe mshauri wake?? Of course kwa kulinganisha na huyu kilaza wa kizmkazi afadhali wewe!
 
Ni kweli hakuna jambo rahis na hio mipango ni migumu huo ndo ukweli ila ntapambana kuhakikisha Inafanikiwa hasa viwanda kumi nilivyoviainisha vile vikikamilika kutekeleza mipango mingine kutakua na wepesi sababu tayari tutakua na msingi wa viwanda

Na hivyo viwanda 10 ambavyo vitatoa malighafi zitakazotumiwa na viwanda vingine vitaongeza mapato kwa kiwango kikubwa sana
 
Niko hapa kukuomba ukiwa raisi najiona nafaa kabisa kuwa waziri wa ulinzi maana sitajiuliza Mara mbili ukisema kapige Ka Malawi ,ni fasta nakasambaratisha .

Zaidi nakutakia upambanaji mwema na kutafuta mkate wa kila siku mheshimiwa raisi
 
Embargo _utata/ kikwazo ,nimeichukua hii kesho nikiingia theatre kazi wanayo manesi na wauguzi ni mwendo wa akikosea kidogo ni remove that embargo ,huku muda mwingine naongezea na kale ka Jana ka ,hey don't be simp guy .

Mpaka wakome kutosoma Kama mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…