Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Penye nia pana njia, anza hata kugombea udiwani sasa au ubunge. Siasa sio barabara iliyonyooka ina vikwazo vingi, ni lazima ujue namna ya kuishi navyo
 
(Nachanganya kiswahili na kingereza kwenye kuwakilisha mtizamo wangu)

PROFILE
Jina naitwa Dennis Robert Shughuru mwaka wa kuzaliwa dec 2 mwaka 1991 elimu bachelor of science in economics Mzumbe University

MANIFESTO
First phase

Kuondoka kwenye umaskini uchumi wa Tanzania unatakiwa uwe na uzalishaji mkubwa wa bidhaa za viwandani (high value and high productivity) itaongeza ajira, wigo wa walipa kodi, na kuondoa umaskini;- nikiwa Rais ntafanya mambo yafuatayo

KUJENGA MIUNDOMBINU YA VIWANDA
Kwa kipindi cha miaka 7 serikali itajenga viwanda vya kimkakati 10 ambavyo vitakua msingi wa miundombinu ya viwanda

FACTORIESCAPACITY
Large Pig iron smelter in Africa- Morogoro mjiniProduct;- High purity pig iron
Quantity;- 1,500,000 of green pig iron-
Uses pig iron
  • Steel making
  • Alloy making
  • Foundry
  • In automotive castings
  • Iron based castings
Price of pig iron as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Aluminium smelter in Africa- Mbeya mjiniProducts;-
  • Aluminium coil sheet and coil wire
  • Aluminium in re-melt ingot
  • Billet
  • Slab ingot
  • Liquid metal
Quantity;- 500,000 tonnes per year
Uses of aluminium
  • Electrical cables
  • Cooking utensils
  • Food packaging
  • Beer kegs
  • Heat exchangers
Price of aluminium as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Copper smelter in Africa- Sumbawanga mjiniProducts;-
  • Copper wire coil
  • ETP and oxygen-free copper bus bars
  • Profiles
  • Strips
  • Sheets /tapes
  • Alloys
  • Magnet wires
Uses of copper
  • Can be drawn into wires
  • Wiring
  • Motors
Quantity;- 1,000,000 tonnes per annum
Price of copper as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Spinning- shinyanga mjiniProducts;-
  • Natural yarn
  • Artifiacial Yarn
Capacity;- 728,000 spinner,
Quantity ;-120 tonne per day
Uses spin
  • To make all type of fabrics
Price of yarn as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large paper pulp plantProduct;- Dry paper pulp.
Quantity;- 5 million tonnes of dry paper pulp.
Uses paper pulp
  • Paper printouts
  • Receipts
  • Post-its
  • Envelops
  • Paper cups
  • Napkins
  • Toilet rolls
  • Tissues
  • Cardboard
  • Paperboard
Price of dry pulp as a raw materials
  • Cheapest in Africa
Large Semiconductor fabrication in Africa- Moshi mjiniProduct;- silicon wafer
Quantity;- 1,000,000 tons
Uses of silicon wafer
  • Transistors
  • Circuit boards
  • Computer chips
  • Bank operations
  • Transportation
  • Communications
  • Medical
  • Security networks
  • Preservation of the global environment.
Price of silicon wafer as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Oil refinery in East Africa- Tanga mjiniProducts;-
  • Gasoline
  • Diesel
  • Kerosene
  • Jet Fuel
  • Heating Oil
  • Liquefied Petroleum Gas (LPG)
  • Naphtha
  • Asphalt
  • Petrochemical raw materials
Quantity;- 800,000 barrel per day
Price of crude oil sub products
  • Cheapest in eastern africa
Large pure glass melting furnance plant- SongeaProducts;-
  • Fused silica
  • Fused quartz
  • Quartz glass
Quantity;- 20,000 tonnes of fused silica in 24 hours
Uses of pure glass
  • Optical and optoelectronics devices
  • Microwave
  • Dialectric materials
  • Refractory materials
  • Commercial glass
  • Lighting systems
  • Chemical apparatuses
Price of pure glass as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large petrochemical plant in Africa- Dar es salaamProduct;-
  • Ethylene
  • Propylene
  • Benzene
  • Toluene
  • Xylenes
  • Ammonia
  • Methanol
  • Polyethylene, Polypropylene (Plastics)
Quantity;- 100,000 metric tons of engineering plastic compounds
Price of plastic building blocks
  • Cheapest in eastern africa
Nobium and tantalum Powder-TaboraProducts;-
  • High purity and low-oxygen tantalum and niobium powder
  • Nobium-tin alloy
  • Tantalum pentoxide powder
  • Nobium oxide powder
Uses of nobium and tantalum powder
  • In the aerospace and energy industries as additives for improving the corrosion resistance of turbine blades
  • Sunperconductin magnets for medical imaging devices
  • Particle accelerators
  • Fusion reactors
Price of nobium powder as a rawmaterial
  • Cheapest in Africa
Faida za hivi viwanda 10 kumilikiwa na serikali
  • Kuhakikisha bei ya malighafi zinazozalishwa kutoka kwenye hivi viwanda 11 zinakua chini sana
  • Serikali haita tegemea kodi za wananchi tu, bali watapata mapato kupitia miradi hii 11 ya kimkakati kwa kuuza malighafi kwa wawekezaji wa viwanda tanzania na nje ya nchi
On-going project
Large Installation of electricityTarget is 500,000+ megawatts (gigawatts)
  • Price of electricity both for industrial and household
Cheapest in Africa

KUFANYA MABADILIKO YA KATIBA
  • Mkuu wa Tume ya uchaguzi na msajili wa vyama vya siasa hatachaguliwa tena na Rais bali na vyama vya siasa
  • Majaji wa mahakama kuu hawatachaguliwa tena na Rais
  • Dpp hatachaguliwa tena na Rais bali atapigiwa kura na wananchi, DCI, mkuu wa takukuru atakua chini ya Dpp
  • Mawaziri hawatakuwa wabunge na kutakua na mawaziri 19 makatibu 19, na hakutakua na wabunge wa viti maalumu, na wakuchaguliwa na Rais
  • Wakuu wa mikoa watapigiwa kura na wananchi wa mkoa husika na sio kuteuliwa
  • Mkuu wa kamati ya ulinzi ya mkoa na wilaya ni mwanajeshi mstaafu aliyechaguliwa na jeshi
  • Mgombea binafsi kwa nafasi ya Urais na matokeo ya urais kupingwa mahakamani
Nchi nzima itapimwa kutakua na mipango miji ya kisasa kutakua na maeneo ya wazi, public garden na kutakua na namna ya kujenga nyumba na majengo yatakayokua uniformity. Tanzania miji haipendezi sababu hakuna uniformity kwenye nyumba na majengo na itakua ni kosa la jinai kujenga bila kufuata mipango miji


KUKUZA MICHEZO
Miaka ya karibuni ligi ya Tanzania imepanda ubora ila hali ya viwanja ni mbaya sana
Serikali itajenga viwanja vya mpira 6 vya kisasa (nyasi za asili na kusupport VAR) vyenye uwezo wa kubeba watazamaji elfu 25 na vitakua na uwezo wa kuongezwa mpaka watu elfu 60
Dsm 2
mbeya 1
Dodoma 1
Tanga 1
Mwanza 1
Hii ni awamu ya kwanza zipo nyingine lengo ni kila mkoa kujenga uwanja wa watu 25 wa mpira wa miguu wa kisasa

KUKUZA UTALII
Utajengwa uwanja wa kilimanjaro diamond league utakao replace kilimanjaro marathon, na utakua na uwezo wa kubeba watu elfu 40., pia utajengwa uwanja wa tennis Arusha wenye uwezo wa kubeba watu elfu 25 kwa ajili ya Serengeti open.
Serikali itapeleka maombi haya mashindano mawili yaingie kwenye calender ya kimataifa.

ARENA ZA KISASA
Serikali itajenga multpurpose arena mbili, moja itakua DSM na nyingine Arusha zenye uwezo wa kubeba watu 15 kwa ajili ya music concerts, boxing, wrestling, matamasha ya dini, matamasha ya kisiasa na matamasha ya elimu


Second phase
Awamu ya pili itajumuisha serekali kuwezesha waekezaji wakitanzania kujenga viwanda vifuatavyo;-
Megafactory
Battery
Motor
Inverter
Industrial hydraulic equipment
Leather
Compressor

Third phase
A-Kufanya mchanganuo wa gharama za kuzalisha bidhaa mbalimbali hapa Tanzania vs sehemu nyingine duniani; mfano aina zote za magari, fridge, nguo, ac, smartphones, computer, wind turbine, solar panel, viatu, mabegi, tv, feni, vioo n.k na hiyo framework watapewa waekezaji wa viwanda hapa Tanzania na itajumuisha mambo yafuatayo;-

  • Itaonyesha gharama za kuzalisha bidhaa mbalimbali zenye ubora wa hali ya juu hapa Tanzania na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za Kuzalisha bidhaa zenye ubora wa kawaida hapa Tanzania na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za Kuzalisha bidhaa zenye ubora wa chini hapa na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za kuzalisha bidhaa zenye ubora wa chini sana hapa Tanzania, na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha; kwa lengo la kuhakikisha watu wa kipato cha chini sana hawaachwi nyuma
Baada ya kupata bei ndogo serikali itatoa ruzuku kwa kampuni zitakazozalisha brand za tanzania za kwenye magari kwa ajili ya kununulia mashine mfano CNC machines, die casting, giga pressing, hydraulic compression molding machines n.k kwa sababu ni ghali sana.

Karibu utoe maoni yako
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊
 
Viwanda laki moja? Na umeme 500,000MW? sasa hivi tuna only hata 4000MW za ujedli hazifiki, lakini hongera kwa kufikiria vizuri
 
(Nachanganya kiswahili na kingereza kwenye kuwakilisha mtizamo wangu)

PROFILE
Jina naitwa Dennis Robert Shughuru mwaka wa kuzaliwa dec 2 mwaka 1991 elimu bachelor of science in economics Mzumbe University

MANIFESTO
First phase

Kuondoka kwenye umaskini uchumi wa Tanzania unatakiwa uwe na uzalishaji mkubwa wa bidhaa za viwandani (high value and high productivity) itaongeza ajira, wigo wa walipa kodi, na kuondoa umaskini;- nikiwa Rais ntafanya mambo yafuatayo

KUJENGA MIUNDOMBINU YA VIWANDA
Kwa kipindi cha miaka 7 serikali itajenga viwanda vya kimkakati 10 ambavyo vitakua msingi wa miundombinu ya viwanda

FACTORIESCAPACITY
Large Pig iron smelter in Africa- Morogoro mjiniProduct;- High purity pig iron
Quantity;- 1,500,000 of green pig iron-
Uses pig iron
  • Steel making
  • Alloy making
  • Foundry
  • In automotive castings
  • Iron based castings
Price of pig iron as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Aluminium smelter in Africa- Mbeya mjiniProducts;-
  • Aluminium coil sheet and coil wire
  • Aluminium in re-melt ingot
  • Billet
  • Slab ingot
  • Liquid metal
Quantity;- 500,000 tonnes per year
Uses of aluminium
  • Electrical cables
  • Cooking utensils
  • Food packaging
  • Beer kegs
  • Heat exchangers
Price of aluminium as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Copper smelter in Africa- Sumbawanga mjiniProducts;-
  • Copper wire coil
  • ETP and oxygen-free copper bus bars
  • Profiles
  • Strips
  • Sheets /tapes
  • Alloys
  • Magnet wires
Uses of copper
  • Can be drawn into wires
  • Wiring
  • Motors
Quantity;- 1,000,000 tonnes per annum
Price of copper as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Spinning- shinyanga mjiniProducts;-
  • Natural yarn
  • Artifiacial Yarn
Capacity;- 728,000 spinner,
Quantity ;-120 tonne per day
Uses spin
  • To make all type of fabrics
Price of yarn as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large paper pulp plantProduct;- Dry paper pulp.
Quantity;- 5 million tonnes of dry paper pulp.
Uses paper pulp
  • Paper printouts
  • Receipts
  • Post-its
  • Envelops
  • Paper cups
  • Napkins
  • Toilet rolls
  • Tissues
  • Cardboard
  • Paperboard
Price of dry pulp as a raw materials
  • Cheapest in Africa
Large Semiconductor fabrication in Africa- Moshi mjiniProduct;- silicon wafer
Quantity;- 1,000,000 tons
Uses of silicon wafer
  • Transistors
  • Circuit boards
  • Computer chips
  • Bank operations
  • Transportation
  • Communications
  • Medical
  • Security networks
  • Preservation of the global environment.
Price of silicon wafer as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large Oil refinery in East Africa- Tanga mjiniProducts;-
  • Gasoline
  • Diesel
  • Kerosene
  • Jet Fuel
  • Heating Oil
  • Liquefied Petroleum Gas (LPG)
  • Naphtha
  • Asphalt
  • Petrochemical raw materials
Quantity;- 800,000 barrel per day
Price of crude oil sub products
  • Cheapest in eastern africa
Large pure glass melting furnance plant- SongeaProducts;-
  • Fused silica
  • Fused quartz
  • Quartz glass
Quantity;- 20,000 tonnes of fused silica in 24 hours
Uses of pure glass
  • Optical and optoelectronics devices
  • Microwave
  • Dialectric materials
  • Refractory materials
  • Commercial glass
  • Lighting systems
  • Chemical apparatuses
Price of pure glass as a raw material
  • Cheapest in eastern africa
Large petrochemical plant in Africa- Dar es salaamProduct;-
  • Ethylene
  • Propylene
  • Benzene
  • Toluene
  • Xylenes
  • Ammonia
  • Methanol
  • Polyethylene, Polypropylene (Plastics)
Quantity;- 100,000 metric tons of engineering plastic compounds
Price of plastic building blocks
  • Cheapest in eastern africa
Nobium and tantalum Powder-TaboraProducts;-
  • High purity and low-oxygen tantalum and niobium powder
  • Nobium-tin alloy
  • Tantalum pentoxide powder
  • Nobium oxide powder
Uses of nobium and tantalum powder
  • In the aerospace and energy industries as additives for improving the corrosion resistance of turbine blades
  • Sunperconductin magnets for medical imaging devices
  • Particle accelerators
  • Fusion reactors
Price of nobium powder as a rawmaterial
  • Cheapest in Africa
Faida za hivi viwanda 10 kumilikiwa na serikali
  • Kuhakikisha bei ya malighafi zinazozalishwa kutoka kwenye hivi viwanda 11 zinakua chini sana
  • Serikali haita tegemea kodi za wananchi tu, bali watapata mapato kupitia miradi hii 11 ya kimkakati kwa kuuza malighafi kwa wawekezaji wa viwanda tanzania na nje ya nchi
On-going project
Large Installation of electricityTarget is 500,000+ megawatts (gigawatts)
  • Price of electricity both for industrial and household
Cheapest in Africa

KUFANYA MABADILIKO YA KATIBA
  • Mkuu wa Tume ya uchaguzi na msajili wa vyama vya siasa hatachaguliwa tena na Rais bali na vyama vya siasa
  • Majaji wa mahakama kuu hawatachaguliwa tena na Rais
  • Dpp hatachaguliwa tena na Rais bali atapigiwa kura na wananchi, DCI, mkuu wa takukuru atakua chini ya Dpp
  • Mawaziri hawatakuwa wabunge na kutakua na mawaziri 19 makatibu 19, na hakutakua na wabunge wa viti maalumu, na wakuchaguliwa na Rais
  • Wakuu wa mikoa watapigiwa kura na wananchi wa mkoa husika na sio kuteuliwa
  • Mkuu wa kamati ya ulinzi ya mkoa na wilaya ni mwanajeshi mstaafu aliyechaguliwa na jeshi
  • Mgombea binafsi kwa nafasi ya Urais na matokeo ya urais kupingwa mahakamani
Nchi nzima itapimwa kutakua na mipango miji ya kisasa kutakua na maeneo ya wazi, public garden na kutakua na namna ya kujenga nyumba na majengo yatakayokua uniformity. Tanzania miji haipendezi sababu hakuna uniformity kwenye nyumba na majengo na itakua ni kosa la jinai kujenga bila kufuata mipango miji


KUKUZA MICHEZO
Miaka ya karibuni ligi ya Tanzania imepanda ubora ila hali ya viwanja ni mbaya sana
Serikali itajenga viwanja vya mpira 6 vya kisasa (nyasi za asili na kusupport VAR) vyenye uwezo wa kubeba watazamaji elfu 25 na vitakua na uwezo wa kuongezwa mpaka watu elfu 60
Dsm 2
mbeya 1
Dodoma 1
Tanga 1
Mwanza 1
Hii ni awamu ya kwanza zipo nyingine lengo ni kila mkoa kujenga uwanja wa watu 25 wa mpira wa miguu wa kisasa

KUKUZA UTALII
Utajengwa uwanja wa kilimanjaro diamond league utakao replace kilimanjaro marathon, na utakua na uwezo wa kubeba watu elfu 40., pia utajengwa uwanja wa tennis Arusha wenye uwezo wa kubeba watu elfu 25 kwa ajili ya Serengeti open.
Serikali itapeleka maombi haya mashindano mawili yaingie kwenye calender ya kimataifa.

ARENA ZA KISASA
Serikali itajenga multpurpose arena mbili, moja itakua DSM na nyingine Arusha zenye uwezo wa kubeba watu 15 kwa ajili ya music concerts, boxing, wrestling, matamasha ya dini, matamasha ya kisiasa na matamasha ya elimu


Second phase
Awamu ya pili itajumuisha serekali kuwezesha waekezaji wakitanzania kujenga viwanda vifuatavyo;-
Megafactory
Battery
Motor
Inverter
Industrial hydraulic equipment
Leather
Compressor

Third phase
A-Kufanya mchanganuo wa gharama za kuzalisha bidhaa mbalimbali hapa Tanzania vs sehemu nyingine duniani; mfano aina zote za magari, fridge, nguo, ac, smartphones, computer, wind turbine, solar panel, viatu, mabegi, tv, feni, vioo n.k na hiyo framework watapewa waekezaji wa viwanda hapa Tanzania na itajumuisha mambo yafuatayo;-

  • Itaonyesha gharama za kuzalisha bidhaa mbalimbali zenye ubora wa hali ya juu hapa Tanzania na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za Kuzalisha bidhaa zenye ubora wa kawaida hapa Tanzania na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za Kuzalisha bidhaa zenye ubora wa chini hapa na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha
  • Itaonyesha gharama za kuzalisha bidhaa zenye ubora wa chini sana hapa Tanzania, na namna ya kutumia gharama ndogo sana kuzizalisha; kwa lengo la kuhakikisha watu wa kipato cha chini sana hawaachwi nyuma
Baada ya kupata bei ndogo serikali itatoa ruzuku kwa kampuni zitakazozalisha brand za tanzania za kwenye magari kwa ajili ya kununulia mashine mfano CNC machines, die casting, giga pressing, hydraulic compression molding machines n.k kwa sababu ni ghali sana.

Karibu utoe maoni yako
Labda TFF ya Tanzania
 
Na Mimi nitachanganya lugha (kwanini uniache nyuma)

Unawaza ki theoretical sana unaishi kwenye points za theories za uchumi za darasani ambazo kimsingi zilifit Kwa waliotengeneza hizo theories Kwa kipindi chao na mazingira yao Sasa ukiwaza Kwa mtindo huo unafeli hata kabla haujaanza

Huku mtaa kuko na tactics zake
Hivi unajua kwamba huku mtaani mfumo wa kupata viongozi sio Sawa na mlivyo soma huko shuleni kwenu
Si mliambiwa "anayepigiwa kula nyingi ndo mshindi"

Huku mtaa hakuendi hivyo huku mshindi ni yule ataeiba kura nyingi za mpinzani wake na atakae Fanya janja janja nyingi

Viongozi mara kadhaa wamenukiliwa wakisema "mshindi hatambuliwi Kwa kupigiwa kura nyingi ila anaye hesabu na anaye endesha mchakato wa uchaguzi"

Vipi mpaka hapo utatoboa ?

Karibu mtaa kuko na tactics ambazo hukuwahi kufundishwa huko darasani kwako
 
Na Mimi nitachanganya lugha (kwanini uniache nyuma)

Unawaza ki theoretical sana unaishi kwenye points za theories za uchumi za darasani ambazo kimsingi zilifit Kwa waliotengeneza hizo theories Kwa kipindi chao na mazingira yao Sasa ukiwaza Kwa mtindo huo unafeli hata kabla haujaanza

Huku mtaa kuko na tactics zake
Hivi unajua kwamba huku mtaani mfumo wa kupata viongozi sio Sawa na mlivyo soma huko shuleni kwenu
Si mliambiwa "anayepigiwa kula nyingi ndo mshindi"

Huku mtaa hakuendi hivyo huku mshindi ni yule ataeiba kura nyingi za mpinzani wake na atakae Fanya janja janja nyingi

Viongozi mara kadhaa wamenukiliwa wakisema "mshindi hatambuliwi Kwa kupigiwa kura nyingi ila anaye hesabu na anaye endesha mchakato wa uchaguzi"

Vipi mpaka hapo utatoboa ?

Karibu mtaa kuko na tactics ambazo hukuwahi kufundishwa huko darasani kwako
Uoga ndo unaokusumbua na ni tatizo la watanzania wengi ndo maana siwezi kukushangaa
 
Tanzania na Africa kwa ujumla watu wanaona ufahari kutumia brand za nchi nyingine mfano za ulaya na asia ya mashariki- swali ni lini Afrika na sisi tutakua tunajivunia brand zetu ni jambo ambalo linawezekana ila tumeaminishwa haiwezekani
 
ntahakikisha mfuko wa cement hauzidi sh 4000, nondo/chuma zitakua bei rahisi sababu chuma aina zote zitakua zinazalishwa hapa Tanzania, aluminium nazo zitakua bei ya chini sababu nazo zitakua zinazalishwa hapa nchini

Rangi, gypsum nazo zitakua bei chini sanaFaida ya vifaa vya ujenzi kuwa chini ni kama zifuatazo
  • Watu watajenga nyumba bora
  • Hivi vifaa vya ujenzi vitauzwa nje ya nchi sababu bei yake itakua ndogo kuliko za nchi jirani
 
Kiwanda cha petrochemical plant kitafanya uzalishaji wa bidhaa za plastic kuwa za bei nafuu
 
(Nachanganya kiswahili na kingereza kwenye kuwakilisha mtizamo wangu)

PROFILE
Nina ndoto na nia ya kuwa Rais wa Tanzania kwenye huu uzi ntaelezea maono niliyonayo juu ya Tanzania
Jina naitwa Dennis Robert Shughuru nimezaliwa tarehe 2 dec 1991 elimu bachelor of science in economics Mzumbe university

Changamoto ya wanasiasa wengi wanatoa ahadi lukuki ilahali wanashindwa kuelezea (kuadress) changamoto za msingi zinazoikabili nchi ya Tanzania., Nikiwa Rais ntafanya mambo makubwa mawili
A•-Kujenga msingi wa viwanda
B•-Kubadili mfumo wa uongozi

A-MSINGI WA VIWANDA
Tanzania ili iondoke kwenye umaskini inatakiwa iwekeze kwenye viwanda, kabla ya kuwekeza kwenye viwanda inatakiwa ijenge msingi wa viwanda ambavyo vitakua vinabadilisha malighafi asilia na kuwa malighafi wezeshi (secondary raw materials).
Malighafi wezeshi zitakua zinatumika viwandani kuzalisha bidhaa za mtumiaji wa mwisho., vifuatavyo ni msingi wa viwanda ntakaojenga nikiwa Rais
FACTORIESCAPACITY
Large Pig iron smelter in Africa- Morogoro mjiniProduct;- High purity pig iron
Quantity;- 1,500,000 of green pig iron-
Uses
• Steel making
• Alloy making
• Foundry
• In automotive castings
• Iron based castings
Price of pig iron as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Aluminium smelter in Africa- Mbeya mjiniProducts;-
• Aluminium coil sheet and coil wire
• Aluminium in re-melt ingot
• Billet
• Slab ingot
• Liquid metal
Quantity;- 500,000 tonnes per year
Uses
• Electrical cables
• Cooking utensils
• Food packaging
• Beer kegs
• Heat exchangers
Price of aluminium as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Copper smelter in Africa- Sumbawanga mjiniProducts;-
• Copper wire coil,
• ETP and oxygen-free copper bus bars
• Profiles
• Strips
• Sheets /tapes
• Alloys
• Magnet wires
Quantity;- 1,000,000 tonnes per annum
Price of copper as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Spinning- shinyanga mjiniProducts;-
• Natural yarn
• Artifiacial Yarn
Capacity;- 728,000 spinner,
Quantity ;-120 tonne per day
Uses
• To make all type of fabrics
Price of yarn as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large paper pulp plantProduct;- Dry paper pulp.
Quantity;- 5 million tonnes of dry paper pulp.
Uses;-
• Paper printouts
• Receipts
• Post-its
• Envelops
• Paper cups
• Napkins
• Toilet rolls
• Tissues
• Cardboard
• Paperboard
Price of dry pulp as a raw materials
• Cheapest in Africa
Large Semiconductor and printed circuited board fabrication in Africa- Moshi mjiniProducts;- silicon wafer
Quantity;- 1,000,000 tons
Uses
• Transistors
• Circuit boards
• Computer chips
• Bank operations
• Transportation
• Communications
• Medical
• Security networks
• Preservation of the global environment.
Price of silicon wafer as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Leather tanning factoryProduct;-
  • Leather fabric
Quantity
  • 200,000 metres of leather a month
Uses of leather fabric
  • Clothing
  • Footwear
  • Handbags
  • Sports equipment
Large Oil refinery in East Africa- Tanga mjiniProducts;-
• Gasoline
• Diese
• Kerosene
• Jet Fuel
• Heating Oil
• Liquefied Petroleum Gas (LPG)
• Naphtha
• Asphalt
• Petrochemical raw materials
Quantity;- 800,000 barrel per day
Price of crude oil sub products
• Cheapest in eastern africa
Large pure glass melting furnance plant- SongeaProducts;-
• Fused silica
• Fused quartz
• Quartz glass
Quantity;- 20,000 tonnes of fused silica in 24 hours
Uses;-
• Optical and optoelectronics devices,
• Microwave
• Dialectric materials
• Refractory materials
• Commercial glass
• Lighting systems
• Chemical apparatuses
Price of pure glass as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large petrochemical plant in Africa- Dar es salaamProduct;-
• Ethylene
• Propylene
• Benzene
• Toluene
• Xylenes
• Ammonia
• Methanol
• Polyethylene, Polypropylene (Plastics)
Quantity;- 100,000 metric tons of engineering plastic compounds
Price of plastic building blocks
• Cheapest in eastern africa
Nobium and tantalum Powder-TaboraProducts;-
• High purity and low-oxygen tantalum and niobium powder
• Nobium-tin alloy
• Tantalum pentoxide powder
• Nobium oxide powder
Price of nobium powder as a rawmaterial
• Cheapest in Africa


Faida za hivi viwanda 10 kumilikiwa na serikali
  • Kuhakikisha bei ya malighafi zinazozalishwa kutoka kwenye hivi viwanda 11 zinakua chini sana
  • Serikali haita tegemea kodi za wananchi tu, bali watapata mapato kupitia miradi hii 11 ya kimkakati kwa kuuza malighafi kwa wawekezaji wa viwanda tanzania na nje ya nchi
On-going project
Large Installation of electricityTarget is 500,000+ megawatts (gigawatts)
  • Price of electricity both for industrial and household
Cheapest in Africa

Faida za msingi wa viwanda
a•-Itavutia waekezaji wa viwanda
b•-Itaongeza ajira rasmi na kuondoa informal sekta
c•-Itaongeza mapato ya serekali
d•-Mapato yapatikanayo kwenye msingi wa viwanda na viwanda yatatumika kuboresha huduma za jamii na miundombinu

B-KUWEKA MISINGI MIPYA YA UONGOZI
Unahitaji kuwa na taasisi imara sana ili mwekezaji awe tayari, na imani ya kuweka mtaji wake wa mabilioni hapa Tanzania, yafuatayo ni mabadiliko ya katiba ntakayoyafanya;

KUFANYA MABADILIKO YA KATIBA
  • Mkuu wa Tume ya uchaguzi na msajili wa vyama vya siasa hatachaguliwa tena na Rais bali na vyama vya siasa
  • Majaji wa mahakama kuu hawatachaguliwa tena na Rais
  • Dpp hatachaguliwa tena na Rais bali atapigiwa kura na wananchi, DCI, mkuu wa takukuru atakua chini ya Dpp
  • Mawaziri hawatakuwa wabunge na kutakua na mawaziri 19 makatibu 19, na hakutakua na wabunge wa viti maalumu, na wakuchaguliwa na Rais
  • Wakuu wa mikoa watapigiwa kura na wananchi wa mkoa husika na sio kuteuliwa
  • Mkuu wa kamati ya ulinzi ya mkoa na wilaya ni mwanajeshi mstaafu aliyechaguliwa na jeshi
  • Mgombea binafsi kwa nafasi ya Urais na matokeo ya urais kupingwa mahakamani
Karibu utoe maoni yako
Una billions za kampeni???
 
(Nachanganya kiswahili na kingereza kwenye kuwakilisha mtizamo wangu)

PROFILE
Nina ndoto na nia ya kuwa Rais wa Tanzania kwenye huu uzi ntaelezea maono niliyonayo juu ya Tanzania
Jina naitwa Dennis Robert Shughuru nimezaliwa tarehe 2 dec 1991 elimu bachelor of science in economics Mzumbe university

Changamoto ya wanasiasa wengi wanatoa ahadi lukuki ilahali wanashindwa kuelezea (kuadress) changamoto za msingi zinazoikabili nchi ya Tanzania., Nikiwa Rais ntafanya mambo makubwa mawili
A•-Kujenga msingi wa viwanda
B•-Kubadili mfumo wa uongozi

A-MSINGI WA VIWANDA
Tanzania ili iondoke kwenye umaskini inatakiwa iwekeze kwenye viwanda, kabla ya kuwekeza kwenye viwanda inatakiwa ijenge msingi wa viwanda ambavyo vitakua vinabadilisha malighafi asilia na kuwa malighafi wezeshi (secondary raw materials).
Malighafi wezeshi zitakua zinatumika viwandani kuzalisha bidhaa za mtumiaji wa mwisho., vifuatavyo ni msingi wa viwanda ntakaojenga nikiwa Rais
FACTORIESCAPACITY
Large Pig iron smelter in Africa- Morogoro mjiniProduct;- High purity pig iron
Quantity;- 1,500,000 of green pig iron-
Uses
• Steel making
• Alloy making
• Foundry
• In automotive castings
• Iron based castings
Price of pig iron as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Aluminium smelter in Africa- Mbeya mjiniProducts;-
• Aluminium coil sheet and coil wire
• Aluminium in re-melt ingot
• Billet
• Slab ingot
• Liquid metal
Quantity;- 500,000 tonnes per year
Uses
• Electrical cables
• Cooking utensils
• Food packaging
• Beer kegs
• Heat exchangers
Price of aluminium as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Copper smelter in Africa- Sumbawanga mjiniProducts;-
• Copper wire coil,
• ETP and oxygen-free copper bus bars
• Profiles
• Strips
• Sheets /tapes
• Alloys
• Magnet wires
Quantity;- 1,000,000 tonnes per annum
Price of copper as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Spinning- shinyanga mjiniProducts;-
• Natural yarn
• Artifiacial Yarn
Capacity;- 728,000 spinner,
Quantity ;-120 tonne per day
Uses
• To make all type of fabrics
Price of yarn as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large paper pulp plantProduct;- Dry paper pulp.
Quantity;- 5 million tonnes of dry paper pulp.
Uses;-
• Paper printouts
• Receipts
• Post-its
• Envelops
• Paper cups
• Napkins
• Toilet rolls
• Tissues
• Cardboard
• Paperboard
Price of dry pulp as a raw materials
• Cheapest in Africa
Large Semiconductor and printed circuited board fabrication in Africa- Moshi mjiniProducts;- silicon wafer
Quantity;- 1,000,000 tons
Uses
• Transistors
• Circuit boards
• Computer chips
• Bank operations
• Transportation
• Communications
• Medical
• Security networks
• Preservation of the global environment.
Price of silicon wafer as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large Leather tanning factoryProduct;-
  • Leather fabric
Quantity
  • 200,000 metres of leather a month
Uses of leather fabric
  • Clothing
  • Footwear
  • Handbags
  • Sports equipment
Large Oil refinery in East Africa- Tanga mjiniProducts;-
• Gasoline
• Diese
• Kerosene
• Jet Fuel
• Heating Oil
• Liquefied Petroleum Gas (LPG)
• Naphtha
• Asphalt
• Petrochemical raw materials
Quantity;- 800,000 barrel per day
Price of crude oil sub products
• Cheapest in eastern africa
Large pure glass melting furnance plant- SongeaProducts;-
• Fused silica
• Fused quartz
• Quartz glass
Quantity;- 20,000 tonnes of fused silica in 24 hours
Uses;-
• Optical and optoelectronics devices,
• Microwave
• Dialectric materials
• Refractory materials
• Commercial glass
• Lighting systems
• Chemical apparatuses
Price of pure glass as a raw material
• Cheapest in eastern africa
Large petrochemical plant in Africa- Dar es salaamProduct;-
• Ethylene
• Propylene
• Benzene
• Toluene
• Xylenes
• Ammonia
• Methanol
• Polyethylene, Polypropylene (Plastics)
Quantity;- 100,000 metric tons of engineering plastic compounds
Price of plastic building blocks
• Cheapest in eastern africa
Nobium and tantalum Powder-TaboraProducts;-
• High purity and low-oxygen tantalum and niobium powder
• Nobium-tin alloy
• Tantalum pentoxide powder
• Nobium oxide powder
Price of nobium powder as a rawmaterial
• Cheapest in Africa


Faida za hivi viwanda 10 kumilikiwa na serikali
  • Kuhakikisha bei ya malighafi zinazozalishwa kutoka kwenye hivi viwanda 11 zinakua chini sana
  • Serikali haita tegemea kodi za wananchi tu, bali watapata mapato kupitia miradi hii 11 ya kimkakati kwa kuuza malighafi kwa wawekezaji wa viwanda tanzania na nje ya nchi
On-going project
Large Installation of electricityTarget is 500,000+ megawatts (gigawatts)
  • Price of electricity both for industrial and household
Cheapest in Africa

Faida za msingi wa viwanda
a•-Itavutia waekezaji wa viwanda
b•-Itaongeza ajira rasmi na kuondoa informal sekta
c•-Itaongeza mapato ya serekali
d•-Mapato yapatikanayo kwenye msingi wa viwanda na viwanda yatatumika kuboresha huduma za jamii na miundombinu

B-KUWEKA MISINGI MIPYA YA UONGOZI
Unahitaji kuwa na taasisi imara sana ili mwekezaji awe tayari, na imani ya kuweka mtaji wake wa mabilioni hapa Tanzania, yafuatayo ni mabadiliko ya katiba ntakayoyafanya;

KUFANYA MABADILIKO YA KATIBA
  • Mkuu wa Tume ya uchaguzi na msajili wa vyama vya siasa hatachaguliwa tena na Rais bali na vyama vya siasa
  • Majaji wa mahakama kuu hawatachaguliwa tena na Rais
  • Dpp hatachaguliwa tena na Rais bali atapigiwa kura na wananchi, DCI, mkuu wa takukuru atakua chini ya Dpp
  • Mawaziri hawatakuwa wabunge na kutakua na mawaziri 19 makatibu 19, na hakutakua na wabunge wa viti maalumu, na wakuchaguliwa na Rais
  • Wakuu wa mikoa watapigiwa kura na wananchi wa mkoa husika na sio kuteuliwa
  • Mkuu wa kamati ya ulinzi ya mkoa na wilaya ni mwanajeshi mstaafu aliyechaguliwa na jeshi
  • Mgombea binafsi kwa nafasi ya Urais na matokeo ya urais kupingwa mahakamani
Karibu utoe maoni yako
Hakuna jipya katika hayo maono yako.
 
Back
Top Bottom