Dennis R Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 267
- 372
- Thread starter
-
- #421
Kama Tanzania kungekua na viwanda unavyovisemea watu wasingekua bize kuagiza bidhaa nje ya nchi kama ilivyo sasaTaja mpoja ambalo halijafanika tukufahamishe zaidi.
Unaonesha upeo wako ni kwa yale mafupi unayoyaelewa tu, kuna mengi sana huyaelewi.
Wapi nimeongelea kiwanda?Kama Tanzania kungekua na viwanda unavyovisemea watu wasingekua bize kuagiza bidhaa nje ya nchi kama ilivyo sasa
Nenda kariakoo asilimia zaidi ya 90 bidhaa zinatoka nje ya nchi
Uzi unahusu viwandaWapi nimeongelea kiwanda?
. Hata unachokisoma hukielewi halafu unataka kuwa Rais?
Soma bichwa la habari.Uzi unahusu viwanda
Kwanza huwezi kuwa na rais anaitwa "Shughuru " hili jina liko botanical sana. Pili, sijui kwa nini unafikiri kutekeleza wazo hilo ni lazima uwe rais wa nchi, mbona usianze kama mfanyabiashara kama ilivyo nchi nyingine ambazo uwekezaji mkubwa unafanywa na sekta binafsi? Nyerere aliiacha hii nchi ikiwa na viwanda vingi, je kwa nini vilikufa na unaamini vipi kuwa, na hivi havitakufa?(Nachanganya kiswahili na kingereza kwenye kuwakilisha mtizamo wangu)
PROFILE
Nina ndoto na nia ya kuwa Rais wa Tanzania ni lini sijui-kwenye huu uzi ntaelezea maono niliyonayo juu ya kuiondoa Tanzania kwenye umaskini.
Jina naitwa Dennis Robert Shughuru nimezaliwa tarehe 2 dec 1991 elimu bachelor of science in economics Mzumbe university.
Tanzania ni nchi maskini naweza tupia lawama viongozi na ntamaliza ila swali la kujiuliza tutatokaje hapa kwenye huu umaskini?? na pia kuna njia nyingi ambazo zinaweza kutumika kuondoa umaskini ila za kwangu ni kama zifuatazo;-
A•-KUJENGA VIWANDA VYA AWALI
Viwanda vya awali vitabadilisha malighafi asilia na kua malighafi wezeshi zitakazokuwa zinatumika viwandani kuzalisha bidhaa za mtumiaji wa mwisho.
Viwanda vya awali vinatakiwa kuwa vikubwa sana ili viwe na faida-vifuatavyo ni viwanda vya awali ntakavyojenga nikiwa Rais wa Tanzania.
FACTORIES CAPACITY Large Pig iron smelter in Africa- Morogoro mjini Product;- High purity pig iron
Quantity;- 1,500,000 of green pig iron
Uses
Price of pig iron as a raw material
- Steel making
- Alloy making Foundry
- In automotive castings
- Iron based castings
- Cheapest in eastern africa
Large Aluminium smelter in Africa- Mbeya mjini Products;-
Quantity;- 500,000 tonnes per year
- Aluminium coil sheet and coil wire
- Aluminium in re-melt ingot
- Billet
- Slab ingot
- Liquid metal
Uses
Price of aluminium as a raw material
- Electrical cables
- Cooking utensils
- Food packaging
- Beer kegs
- Heat exchangers
- Cheapest in eastern africa
Large Copper smelter in Africa- Sumbawanga mjini Products;-
Quantity;- 1,000,000 tonnes per annum
- Copper wire coil
- ETP and oxygen-free copper bus bars
- Profiles
- Strips
- Sheets /tapes
- Alloys
- Magnet wires
Price of copper as a raw material
- Cheapest in eastern africa
Large Spinning- shinyanga mjini Products;-
Capacity;- 728,000 spinner,
- Natural yarn
- Artifiacial Yarn
Quantity ;-120 tonne per day
Uses
Price of yarn as a raw material
- To make all type of fabrics
- Cheapest in eastern africa
Large paper pulp plant Product;- Dry paper pulp.
Quantity;- 5 million tonnes of dry paper pulp.
Uses;-
Price of dry pulp as a raw materials
- Paper printouts
- Receipts
- Post-its
- Envelops
- Paper cups
- Napkins
- Toilet rolls
- Tissues
- Cardboard
- Paperboard
- Cheapest in Africa
Large Semiconductor and printed circuited board fabrication in Africa- Moshi mjini Products;- silicon wafer and printed circuit board
Quantity;- 1,000,000 tons
Uses
Price of silicon wafer and printed circuited board as a raw material
- Transistors
- Circuit boards
- Computer chips
- Bank operations
- Transportation
- Communications
- Medical
- Security networks
- Preservation of the global environment.
- Cheapest in eastern africa
Large Leather tanning factory Product;-
Quantity
- Leather fabric
Uses of leather fabric
- 200,000 metres of leather a month
- Clothing
- Footwear
- Handbags
- Sports equipment
Large Oil refinery in East Africa- Tanga mjini Products;-
Quantity;- 800,000 barrel per day
- Gasoline
- Diesel
- Kerosene
- Jet Fuel
- Heating Oil
- Liquefied Petroleum Gas (LPG)
- Naphtha
- Asphalt
- Petrochemical raw materials
Price of crude oil sub products
- Cheapest in eastern africa
Large pure glass melting furnance plant- Songea Products;-
Quantity;- 20,000 tonnes of fused silica in 24 hours
- Fused silica
- Fused quartz
- Quartz glass
Uses;-
Price of pure glass as a raw material
- Optical and optoelectronics devices
- Microwave
- Dialectric materials
- Refractory materials
- Commercial glass
- Lighting systems
- Chemical apparatuses
- Cheapest in eastern africa
Large petrochemical plant in Africa- Dar es salaam Product;-
Quantity;- 100,000 metric tons of engineering plastic compounds
- Ethylene
- Propylene
- Benzene
- Toluene
- Xylenes
- Ammonia
- Methanol
- Polyethylene, Polypropylene (Plastics)
Price of plastic building blocks
- Cheapest in eastern africa
Nobium and tantalum Powder-Tabora Products;-
Price of nobium powder as a rawmaterial
- High purity and low-oxygen tantalum and niobium powder
- Nobium-tin alloy
- Tantalum pentoxide powder
- Nobium oxide powder
- Cheapest in Africa
Faida za hivi viwanda 10 kumilikiwa na serikali
On-going project
- Kuhakikisha bei ya malighafi zinazozalishwa kutoka kwenye hivi viwanda 11 zinakua chini sana
- Serikali haita tegemea kodi za wananchi tu, bali watapata mapato kupitia miradi hii 11 ya kimkakati kwa kuuza malighafi kwa wawekezaji wa viwanda tanzania na nje ya nchi
Large Installation of electricity Target is 500,000+ megawatts (gigawatts)
Cheapest in Africa
- Price of electricity both for industrial and household
Faida za msingi wa viwanda
a•-Itavutia waekezaji wa viwanda
b•-Itaongeza ajira rasmi na kuondoa informal sekta
c•-Itaongeza mapato ya serekali
d•-Mapato yapatikanayo kwenye msingi wa viwanda na viwanda yatatumika kuboresha huduma za jamii na miundombinu
B•-KUWEKA MISINGI MIPYA YA UONGOZI
Unahitaji kuwa na taasisi imara sana ili mwekezaji awe tayari, na imani ya kuweka mtaji wake wa mabilioni hapa Tanzania, yafuatayo ni mabadiliko ya katiba ntakayoyafanya;
KUFANYA MABADILIKO YA KATIBA
C•-KUTOA RUZUKU KWA WAEKEZAJI WA NDANI
- Mkuu wa Tume ya uchaguzi na msajili wa vyama vya siasa hatachaguliwa tena na Rais bali na vyama vya siasa
- Majaji wa mahakama kuu hawatachaguliwa tena na Rais
- Dpp hatachaguliwa tena na Rais bali atapigiwa kura na wananchi, DCI, mkuu wa takukuru atakua chini ya Dpp
- Mawaziri hawatakuwa wabunge na kutakua na mawaziri 19 makatibu 19, na hakutakua na wabunge wa viti maalumu, na wakuchaguliwa na Rais
- Wakuu wa mikoa watapigiwa kura na wananchi wa mkoa husika na sio kuteuliwa
- Mkuu wa kamati ya ulinzi ya mkoa na wilaya ni mwanajeshi mstaafu aliyechaguliwa na jeshi
- Mgombea binafsi kwa nafasi ya Urais na matokeo ya urais kupingwa mahakamani
Serekali yangu itatoa ruzuku kwa waekezaji wa ndani kwa ajili ya kununua mashine kubwa, na za kisasa za kuzalishia bidhaa mbalimbali ili waweze kushindana na wazalishaji bidhaa wa nchi nyingine kwenye soko la dunia
Mfano wa mashine ambazo serekali itatoa ruzuku kwa ajili ya kununuliwa ni kama zifuatazo;-
Karibu kwa mchango wako
- CNC Milling machine
- CNC Drilling machine
- CNC Grinding machine
- CNC Laser cutters
- CNC Waterjet Cutting machine
- CNC Plasma cutters
- Electric discharge machine
- Compression Molding machine
- Injection Molding machine
- Welding Robot
- Paints Robot
- Asembly Robot
- Aluminium die casting machine
- Na nyingine nyingi
Huo ni mtazamo wako na una-uhuru huo wa kufikiriKwanza huwezi kuwa na rais anaitwa "Shughuru " hili jina liko botanical sana. Pili, sijui kwa nini unafikiri kutekeleza wazo hilo ni lazima uwe rais wa nchi, mbona usianze kama mfanyabiashara kama ilivyo nchi nyingine ambazo uwekezaji mkubwa unafanywa na sekta binafsi? Nyerere aliiacha hii nchi ikiwa na viwanda vingi, je kwa nini vilikufa na unaamini vipi kuwa, na hivi havitakufa?
(Nachanganya kiswahili na kingereza kwenye kuwakilisha mtizamo wangu)
PROFILE
Nina ndoto na nia ya kuwa Rais wa Tanzania ni lini sijui-kwenye huu uzi ntaelezea maono niliyonayo juu ya kuiondoa Tanzania kwenye umaskini.
Jina naitwa Dennis Robert Shughuru nimezaliwa tarehe 2 dec 1991 elimu bachelor of science in economics Mzumbe university.
Tanzania ni nchi maskini naweza tupia lawama viongozi na ntamaliza ila swali la kujiuliza tutatokaje hapa kwenye huu umaskini?? na pia kuna njia nyingi ambazo zinaweza kutumika kuondoa umaskini ila za kwangu ni kama zifuatazo;-
A•-KUJENGA VIWANDA VYA AWALI
Viwanda vya awali vitabadilisha malighafi asilia na kua malighafi wezeshi zitakazokuwa zinatumika viwandani kuzalisha bidhaa za mtumiaji wa mwisho.
Viwanda vya awali vinatakiwa kuwa vikubwa sana ili viwe na faida-vifuatavyo ni viwanda vya awali ntakavyojenga nikiwa Rais wa Tanzania.
FACTORIES CAPACITY Large Pig iron smelter in Africa- Morogoro mjini Product;- High purity pig iron
Quantity;- 1,500,000 of green pig iron
Uses
Price of pig iron as a raw material
- Steel making
- Alloy making Foundry
- In automotive castings
- Iron based castings
- Cheapest in eastern africa
Large Aluminium smelter in Africa- Mbeya mjini Products;-
Quantity;- 500,000 tonnes per year
- Aluminium coil sheet and coil wire
- Aluminium in re-melt ingot
- Billet
- Slab ingot
- Liquid metal
Uses
Price of aluminium as a raw material
- Electrical cables
- Cooking utensils
- Food packaging
- Beer kegs
- Heat exchangers
- Cheapest in eastern africa
Large Copper smelter in Africa- Sumbawanga mjini Products;-
Quantity;- 1,000,000 tonnes per annum
- Copper wire coil
- ETP and oxygen-free copper bus bars
- Profiles
- Strips
- Sheets /tapes
- Alloys
- Magnet wires
Price of copper as a raw material
- Cheapest in eastern africa
Large Spinning- shinyanga mjini Products;-
Capacity;- 728,000 spinner,
- Natural yarn
- Artifiacial Yarn
Quantity ;-120 tonne per day
Uses
Price of yarn as a raw material
- To make all type of fabrics
- Cheapest in eastern africa
Large paper pulp plant Product;- Dry paper pulp.
Quantity;- 5 million tonnes of dry paper pulp.
Uses;-
Price of dry pulp as a raw materials
- Paper printouts
- Receipts
- Post-its
- Envelops
- Paper cups
- Napkins
- Toilet rolls
- Tissues
- Cardboard
- Paperboard
- Cheapest in Africa
Large Semiconductor and printed circuited board fabrication in Africa- Moshi mjini Products;- silicon wafer and printed circuit board
Quantity;- 1,000,000 tons
Uses
Price of silicon wafer and printed circuited board as a raw material
- Transistors
- Circuit boards
- Computer chips
- Bank operations
- Transportation
- Communications
- Medical
- Security networks
- Preservation of the global environment.
- Cheapest in eastern africa
Large Leather tanning factory Product;-
Quantity
- Leather fabric
Uses of leather fabric
- 200,000 metres of leather a month
- Clothing
- Footwear
- Handbags
- Sports equipment
Large Oil refinery in East Africa- Tanga mjini Products;-
Quantity;- 800,000 barrel per day
- Gasoline
- Diesel
- Kerosene
- Jet Fuel
- Heating Oil
- Liquefied Petroleum Gas (LPG)
- Naphtha
- Asphalt
- Petrochemical raw materials
Price of crude oil sub products
- Cheapest in eastern africa
Large pure glass melting furnance plant- Songea Products;-
Quantity;- 20,000 tonnes of fused silica in 24 hours
- Fused silica
- Fused quartz
- Quartz glass
Uses;-
Price of pure glass as a raw material
- Optical and optoelectronics devices
- Microwave
- Dialectric materials
- Refractory materials
- Commercial glass
- Lighting systems
- Chemical apparatuses
- Cheapest in eastern africa
Large petrochemical plant in Africa- Dar es salaam Product;-
Quantity;- 100,000 metric tons of engineering plastic compounds
- Ethylene
- Propylene
- Benzene
- Toluene
- Xylenes
- Ammonia
- Methanol
- Polyethylene, Polypropylene (Plastics)
Price of plastic building blocks
- Cheapest in eastern africa
Nobium and tantalum Powder-Tabora Products;-
Price of nobium powder as a rawmaterial
- High purity and low-oxygen tantalum and niobium powder
- Nobium-tin alloy
- Tantalum pentoxide powder
- Nobium oxide powder
- Cheapest in Africa
Faida za hivi viwanda 10 kumilikiwa na serikali
On-going project
- Kuhakikisha bei ya malighafi zinazozalishwa kutoka kwenye hivi viwanda 11 zinakua chini sana
- Serikali haita tegemea kodi za wananchi tu, bali watapata mapato kupitia miradi hii 11 ya kimkakati kwa kuuza malighafi kwa wawekezaji wa viwanda tanzania na nje ya nchi
Large Installation of electricity Target is 500,000+ megawatts (gigawatts)
Cheapest in Africa
- Price of electricity both for industrial and household
Faida za msingi wa viwanda
a•-Itavutia waekezaji wa viwanda
b•-Itaongeza ajira rasmi na kuondoa informal sekta
c•-Itaongeza mapato ya serekali
d•-Mapato yapatikanayo kwenye msingi wa viwanda na viwanda yatatumika kuboresha huduma za jamii na miundombinu
B•-KUWEKA MISINGI MIPYA YA UONGOZI
Unahitaji kuwa na taasisi imara sana ili mwekezaji awe tayari, na imani ya kuweka mtaji wake wa mabilioni hapa Tanzania, yafuatayo ni mabadiliko ya katiba ntakayoyafanya;
KUFANYA MABADILIKO YA KATIBA
C•-KUTOA RUZUKU KWA WAEKEZAJI WA NDANI
- Mkuu wa Tume ya uchaguzi na msajili wa vyama vya siasa hatachaguliwa tena na Rais bali na vyama vya siasa
- Majaji wa mahakama kuu hawatachaguliwa tena na Rais
- Dpp hatachaguliwa tena na Rais bali atapigiwa kura na wananchi, DCI, mkuu wa takukuru atakua chini ya Dpp
- Mawaziri hawatakuwa wabunge na kutakua na mawaziri 19 makatibu 19, na hakutakua na wabunge wa viti maalumu, na wakuchaguliwa na Rais
- Wakuu wa mikoa watapigiwa kura na wananchi wa mkoa husika na sio kuteuliwa
- Mkuu wa kamati ya ulinzi ya mkoa na wilaya ni mwanajeshi mstaafu aliyechaguliwa na jeshi
- Mgombea binafsi kwa nafasi ya Urais na matokeo ya urais kupingwa mahakamani
Serekali yangu itatoa ruzuku kwa waekezaji wa ndani kwa ajili ya kununua mashine kubwa, na za kisasa za kuzalishia bidhaa mbalimbali ili waweze kushindana na wazalishaji bidhaa wa nchi nyingine kwenye soko la dunia
Mfano wa mashine ambazo serekali itatoa ruzuku kwa ajili ya kununuliwa ni kama zifuatazo;-
Karibu kwa mchango wako
- CNC Milling machine
- CNC Drilling machine
- CNC Grinding machine
- CNC Laser cutters
- CNC Waterjet Cutting machine
- CNC Plasma cutters
- Electric discharge machine
- Compression Molding machine
- Injection Molding machine
- Welding Robot
- Paints Robot
- Asembly Robot
- Aluminium die casting machine
- Na nyingine nyingi