Nina pepo la kukinai wanawake nikishafanya nao mapenzi, Mwamposa anawezaje kunisaidia?

Sure
 
Kwani si mlikubaliana mbususu ni za kuchakata na kusepa?
Tatizo linatoka wapi tena, endelea kuchakata mbususu mkuu!!
 
Ni salamu tu ninakupa mkuu.
Hii mada nzito wengine hatujaanza hivyo vitu
Mkuu,

Uzoefu unasema mtu anayeshauri Sana Mara nyingi hupitia changamoto nyingi zaidi. Inawezekana wewe ukawa mwalimu mzuri kuliko Mimi ninayetema shudu hapa.

Tupe uzoefu.
 
S
Mkuu,

Uzoefu unasema mtu anayeshauri Sana Mara nyingi hupitia changamoto nyingi zaidi. Inawezekana wewe ukawa mwalimu mzuri kuliko Mimi ninayetema shudu hapa.

Tupe uzoefu.
Samahani mkuu wangu hiyo sekta sina uzoefu kabisa usinitendeshe dhambi😅😅😅
 
S

Samahani mkuu wangu hiyo sekta sina uzoefu kabisa usinitendeshe dhambi😅😅😅
Ila za ndaaaani kabisa ni kwamba wewe ni sukari yao humu ndani. Sijui kwa nini unakwepa kutoa nondo za uzoefu wako katika hii sekta mkuu.
 
Kumbe ndio hua mnafundishana hivyo kuomba pesa na kupiga mizinga ili muwe mnahitajika kilazima? Sawa salamu & ujumbe zote kwa pamoja zimefika
 
Mwanaume anayehudumia anaongeza Sana Libido nyie Ni wabishi tu...kwanza anajiamini hiyo tu inamfanya awe more sexy,sio uko na mwanamke upo na mainferiority yako
Kumbe ndio hua mnafundishana hivyo kuomba pesa na kupiga mizinga ili muwe mnahitajika kilazima? Sawa salamu & ujumbe zote kwa pamoja zimefika
 
Hilo sio pepo, ni matokeo ya malengo yako kwa binti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…