Nina pepo la kukinai wanawake nikishafanya nao mapenzi, Mwamposa anawezaje kunisaidia?

Nina pepo la kukinai wanawake nikishafanya nao mapenzi, Mwamposa anawezaje kunisaidia?

Upendo hauna sababu,mtu aliyependa haswa anakuwa Hana sababu maalumu ya kuelezea kile amependa kutoka kwa huyo aliyempenda.

Shepu,rangi,makalio,macho,pua nk siyo sabanu ya upendo maana ukiishi and Sana ndiyo yanakukuta ya mleta mada..unakuja kumwona wa kawaida,coz ulipenda macho,au tako,au rangi...Again, upendo wa kweli unakuwa hauna sababu. Unajikuta tu unapenda.
Sure
 
Kwani si mlikubaliana mbususu ni za kuchakata na kusepa?
Tatizo linatoka wapi tena, endelea kuchakata mbususu mkuu!!
 
Ni salamu tu ninakupa mkuu.
Hii mada nzito wengine hatujaanza hivyo vitu
Mkuu,

Uzoefu unasema mtu anayeshauri Sana Mara nyingi hupitia changamoto nyingi zaidi. Inawezekana wewe ukawa mwalimu mzuri kuliko Mimi ninayetema shudu hapa.

Tupe uzoefu.
 
S
Mkuu,

Uzoefu unasema mtu anayeshauri Sana Mara nyingi hupitia changamoto nyingi zaidi. Inawezekana wewe ukawa mwalimu mzuri kuliko Mimi ninayetema shudu hapa.

Tupe uzoefu.
Samahani mkuu wangu hiyo sekta sina uzoefu kabisa usinitendeshe dhambi😅😅😅
 
S

Samahani mkuu wangu hiyo sekta sina uzoefu kabisa usinitendeshe dhambi😅😅😅
Ila za ndaaaani kabisa ni kwamba wewe ni sukari yao humu ndani. Sijui kwa nini unakwepa kutoa nondo za uzoefu wako katika hii sekta mkuu.
 
Huna haja ya kwenda Kawe,Njia rahisi ya kusolve Hilo pepo Ni kumtumia pesa tu huyo demu automatically utajikuta unamuhitaji aje akuchetue maana pesa yako itakuuma ukirudia zoezi Mara mbili tatu utaanza kujenga bond nae unaanza kummiss...we mpe hela tu yaani
Kumbe ndio hua mnafundishana hivyo kuomba pesa na kupiga mizinga ili muwe mnahitajika kilazima? Sawa salamu & ujumbe zote kwa pamoja zimefika
 
Mwanaume anayehudumia anaongeza Sana Libido nyie Ni wabishi tu...kwanza anajiamini hiyo tu inamfanya awe more sexy,sio uko na mwanamke upo na mainferiority yako
Kumbe ndio hua mnafundishana hivyo kuomba pesa na kupiga mizinga ili muwe mnahitajika kilazima? Sawa salamu & ujumbe zote kwa pamoja zimefika
 
Yaani pisi hata iwe kali vipi nikiigonga mara mbili tu naiona ya kawaida sana,siitafuti tena mpaka initafute.

Huwa nashangaa kuona watu wapo kwenye mahusiano miezi kadhaa au miaka kadhaa,mnawezaje?

Nadhani hili ni pepo mnaosali kwa Mwamposa vipi hili linaweza kukemewa au ndio nitaambiwa acha uzinzi,
Hilo sio pepo, ni matokeo ya malengo yako kwa binti
 
Back
Top Bottom