Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Fungua PM fasterHayo ndio maneno.utakuwa umenisaidia sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fungua PM fasterHayo ndio maneno.utakuwa umenisaidia sana
SureUpendo hauna sababu,mtu aliyependa haswa anakuwa Hana sababu maalumu ya kuelezea kile amependa kutoka kwa huyo aliyempenda.
Shepu,rangi,makalio,macho,pua nk siyo sabanu ya upendo maana ukiishi and Sana ndiyo yanakukuta ya mleta mada..unakuja kumwona wa kawaida,coz ulipenda macho,au tako,au rangi...Again, upendo wa kweli unakuwa hauna sababu. Unajikuta tu unapenda.
Nina mume mkuu,aisee...unanichomea mahindi wajamenWe to yeye ni mke wangu Leo ndio natambulisha rasmi mjue
Lipa kwanza kabla ya huduma hawa ndio ujifanye mtakatifu for nothingTena kiundwe kikosi Cha mizinga,Kabla ya kuliwa hakikisha umeshapata kiinua mgongo kabisaa😁😁😁
Tunaishi kwenye ulimwengu ngumu sanaLipa kwanza kabla ya huduma hawa ndio ujifanye mtakatifu for nothing
Mithali 6:32... Iyo ya wàlevi 1korintho6:9-10Kifungu please
Mkuu,Ni salamu tu ninakupa mkuu.
Hii mada nzito wengine hatujaanza hivyo vitu
Samahani mkuu wangu hiyo sekta sina uzoefu kabisa usinitendeshe dhambi😅😅😅Mkuu,
Uzoefu unasema mtu anayeshauri Sana Mara nyingi hupitia changamoto nyingi zaidi. Inawezekana wewe ukawa mwalimu mzuri kuliko Mimi ninayetema shudu hapa.
Tupe uzoefu.
Ila za ndaaaani kabisa ni kwamba wewe ni sukari yao humu ndani. Sijui kwa nini unakwepa kutoa nondo za uzoefu wako katika hii sekta mkuu.S
Samahani mkuu wangu hiyo sekta sina uzoefu kabisa usinitendeshe dhambi😅😅😅
Kumbe ndio hua mnafundishana hivyo kuomba pesa na kupiga mizinga ili muwe mnahitajika kilazima? Sawa salamu & ujumbe zote kwa pamoja zimefikaHuna haja ya kwenda Kawe,Njia rahisi ya kusolve Hilo pepo Ni kumtumia pesa tu huyo demu automatically utajikuta unamuhitaji aje akuchetue maana pesa yako itakuuma ukirudia zoezi Mara mbili tatu utaanza kujenga bond nae unaanza kummiss...we mpe hela tu yaani
Hata walioolewa unga ukizidi maji hua wanajipapatua mkuu, long distance relationship is real I am telling you usipopiga utachepuka tuNimeolewa mkuu,nyeto ya nn
Kumbe ndio hua mnafundishana hivyo kuomba pesa na kupiga mizinga ili muwe mnahitajika kilazima? Sawa salamu & ujumbe zote kwa pamoja zimefika
Sexy au Sex? Mkuu unanimix hapo are you talking about Sex?kwanza anajiamini hiyo tu inamfanya awe more sexy
Ukiolewa ndio uwe na lugha hizo hujaolewa wewe ni sawa na mali ya Kanisa haina mwenyewe kila mtu anachangia,sio uko na mwanamke upo na mainferiority yako
Ka Google tofauti ya hayo maneno yasikumix Wala niniSexy au Sex? Mkuu unanimix hapo are you talking about Sex?
Sexy Lady hivi hua kuna Sexy Gentleman?Ka Google tofauti ya hayo maneno yasikumix Wala nini
Hilo sio pepo, ni matokeo ya malengo yako kwa bintiYaani pisi hata iwe kali vipi nikiigonga mara mbili tu naiona ya kawaida sana,siitafuti tena mpaka initafute.
Huwa nashangaa kuona watu wapo kwenye mahusiano miezi kadhaa au miaka kadhaa,mnawezaje?
Nadhani hili ni pepo mnaosali kwa Mwamposa vipi hili linaweza kukemewa au ndio nitaambiwa acha uzinzi,