Nina proposal kuhusu watu kila siku asubuhi kukaa vikundi na kubishania mpira

Nina proposal kuhusu watu kila siku asubuhi kukaa vikundi na kubishania mpira

Choosen85

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
1,143
Reaction score
2,475
Wakuu mjue kile knachowakusanya watu kila sku tena makundi yenye elimu, kpato, uelewa tofauti na wakakaa wakaanza kuzungumza tena bila kiongoz yaani ni wao tu wanajiongoza mjue hapo kuna fursa ya kupata chochote.

Sasa kuna ile tabia ya watu wengi kila mkoa ukienda utaikuta ile asubuhi unakuta watu wemekaa kwny vijiwe au sehemu yoyote wanabishana na kuchambua mpira nadhan hli kila mtu analijua kbs.

Sasa nimeandka proposal ambayo ina jina la WACHAMBUZI MITAANI ikiwa na lengo la kuwakusanya hao watu na kuwaweka ukumbini sasa hayo mabshano na uchambuz wao uwe ki professional na watu wapge point tu si propaganda mpk mshindi apatikane, yan naweka mada labda ya kati ya wachezaji wa yanga na simba wapi bora?

Hapo watu wabshane na wachambue kwa hoja mpk tupate kina nani wameshnda. Yan kile ktendo cha kukaa vijiwen wanabshana na kuchambua mi nimektengenezea mazngira ya muda huo kuja kwny ukumbi linakuwa kama tamasha.

Kwenye proposal yng taomba udhamini wa watu wa maji wadhamin na wajtangaze kwaiyo maji free. JE MNAONAJE?
 
- pia nitaomba udhamini wa makampuni ya simu, bank nina uhakika wakija wakaona mwamko na nyomi la watu ni fursa kwao kujtangaza. Yapo meng siwez eleza hapa maana ni proposal ina mambo mengi sn.
 
sleepy-fatso-picture-id157603689-1.jpg
 
Wazo zuri je utalitekeleza vipi?

Ushauri: Uifanye weekend siku ambazo watu hawaendi kazini.
 
KUHUSU UTEKELEZAJI UPO KWNY PROPOSAL ni mara 2 kwa mwezi yaan wkend ya wk ya pili ya mwez na wkend ya mwisho wa mwezi. Mahali panakuwa panabadilika wk hii may be mbagala, next temeke nk. Ukumbi nachagua ukumbi mzuri maarufu wanaoonyeshea mpira
 
Hilo la kupita mtaani sio jipya. Kuna kina zembwela wanapita japo ni mpango tofaut na wa kwako. Labda ukusanye maoni tu vijiweni watu wanachokiona kuhusu mpira au timu zao yani sauti zao ZISIKIKE. Alaf pia Usiwe na mawzo ya kupata Profeshino uchambuzi Kwa watu wa kitaa, uwaekee ukumbi waje watakuja kuyarudia yaleyale ya kina sijui wambangire.
Wazo sio baya liboreshe tu
 
Ni wazo zuri ila uwe na kifua cha kusikiliza 'hoja za wachangiaji' maana ukumbi utakua kama darasa la vidudu mixer watu wanao tema pumba tupu, itakua ni futuhi kwa nature ya mashabiki wa hizo timu
 
Kuhusu swala kuchukua sauti zao tu maana hakuna jipya takalokuwa nimefanya. Maana proposal yng ni ule muda wanaokaa kulumbana kijiwen au kwny magazeti au barabaran basi wakutane ukumbini hapo kutakuwa mpk na magazeti ya michezo hapo ukumbin anasmama mmoja baada ya mwngne ni hoja kwa hoja tu. Uksema nirekod sauti sa sauti ninazpeleka wp na kwa nani?

Zembwela ye wazo lake ni kupata data za mambo ya uswahilin watu wanaishje sa uknambia hakuna jipya utadhan zembwela ye anakusanya watu ukumbini si kweli. Mi nawaleta ukumbini nategemea kupata watu 200 ikibd kwa mkupuo muda ni masaa 3 tu. Hawa wenye makampun ya simu na benki tawapa fursa ya nusu saa kujtangaza na kusema fursa na huduma walzonazo kwny taasisi zao. Ukiweza kusanya watu 200 kwa wkt mmoja wny biashara zao watavutiwa tu kuja kuona fursa.
 
Itakuwa na utofauti gan na sports extra, kipenga na vipindi vingine vya sports redion na kwenye tV?
 
UTOFAUTI NA VPND VYA REDION: Vpnd vya michezo redion huwa na watu wawili watatu wanaokaa na kuchambua michezo, wkt mimi nataka hawa watu walioko vijiwen na mitaan na hawana fursa ya kwenda redion lakn unakuta wanatumia masaa mpk manne wanazungumzia mpira na ni kila sku asbh na jioni. Nataka watu angalau 200 kutoka mitaa jiran tofauti wakutane ukumbi 1 kile ambacho huwa wanakfanya vijiweni, au kwny magazeti huko waje pamoja wakae wapngane kwa hoja ndan ya ukumbi.
 
KUTAKUWA NA FURSA ya kuchambua michezo ya nje ligi za ulaya ila kwa lengo la watu wanaobet maana tunachambua ili watu wasuke mikeka hapohapo, WASAIDIANE KUSUKA MIKEKA. Hii n fursa kwa makampun ya kubet kuwa wadhamin wa midahalo hiyo. PROPOSAL TYR NIMEANDKA SI LAZMA KILA KTU NISEME HUMU JAPO NAJUA WAPO TYR WAMEANZA KULIFANYIA KAZI.
 
Kuhusu swala kuchukua sauti zao tu maana hakuna jipya takalokuwa nimefanya. Maana proposal yng ni ule muda wanaokaa kulumbana kijiwen au kwny magazeti au barabaran basi wakutane ukumbini hapo kutakuwa mpk na magazeti ya michezo hapo ukumbin anasmama mmoja baada ya mwngne ni hoja kwa hoja tu. Uksema nirekod sauti sa sauti ninazpeleka wp na kwa nani?

Zembwela ye wazo lake ni kupata data za mambo ya uswahilin watu wanaishje sa uknambia hakuna jipya utadhan zembwela ye anakusanya watu ukumbini si kweli. Mi nawaleta ukumbini nategemea kupata watu 200 ikibd kwa mkupuo muda ni masaa 3 tu. Hawa wenye makampun ya simu na benki tawapa fursa ya nusu saa kujtangaza na kusema fursa na huduma walzonazo kwny taasisi zao. Ukiweza kusanya watu 200 kwa wkt mmoja wny biashara zao watavutiwa tu kuja kuona fursa.
Sasa kwa upande wako hapo utapataje pesa?utawachangisha hao wanaobishana?au mapato yatatoka wapi?
 
Mapato napata kuptia wadhamini maana yake ni wazo takalolipeleka kwny makampun ya kubet, mitandao ya cm na banks nk. Ukiweza kusanya watu wa rika zote kwaajili ya jambo fulan hiyo n fursa kwa makampun kuja kujtangaza na kusema fursa walzonazo....!
 
Sikukatishi tamaa ila naona kama wenye mainstream tv or radio nao wanafanya ila wao wanaenda vibanda umiza siku za mechi kubwa kubwa then wanakuwa na session kama hiyo.
Msy be unaweza ukacollabo nao ili kuboresha wazo. Ila kuwa mskini jamaa wa media wazulumati mno unaweza wauzia idea wanakwambia njoo kesho muyajenge, jioni unaskia jingo kipindi kipya kinakuja na amepewa mungine.
Yalinikuta clouds na tve. Sina hamu dadeq
 
Back
Top Bottom