Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wakuu, kuna yeyote anayefahamu utaratibu na gharama za kufuata ili kupata long term parking katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).
Nina safari nje ya Dar kwa siku tatu, na ningependa kupark gari pale ili nikirudi niichukue.
Afanye yote hayo kwa safari ya siku 3?1. Nenda Bank.
2. Chukua mkopo, weka dhamana ya hilo gari.
3. Fedha ya mkopo usiitumie, tena fungulia account kwenye bank hiyohiyo.
4. Safiri.
5. Baada ya kurudi, nenda bank, rudisha mkopo bila kuutumia.
6. Watakurudishia gari yako ikiwa salama salimini.
Imeisha hiyooooo....
1. Nenda Bank.
2. Chukua mkopo, weka dhamana ya hilo gari.
3. Fedha ya mkopo usiitumie, tena fungulia account kwenye bank hiyohiyo.
4. Safiri.
5. Baada ya kurudi, nenda bank, rudisha mkopo bila kuutumia.
6. Watakurudishia gari yako ikiwa salama salimini.
Imeisha hiyooooo....
Ni affordable but unecessaryKama ameweza kulipia tiketi ya ndege hii ndogo
Ni kweli..si achukue taxi kutoka kwake haiwezi kuzidi elfu 30 kwenda na siku ya kurudi..au ndio wale wa Kanda maalumu ya kupenda sifa ametaka tujue anapanda ndege na anamiliki gari.Ni affordable but unecessary
Ila wabongo bhana[emoji23]miluzi kibao! Najua kuna huduma ya long term parking na mabango yapo kabisa unaelekezwa kwa kupark, so mimi nilikuwa nataka huo utaratibu maana haiwezekani wacharge 2000tzs/hour kama normal parking afu waweke mabango ya long term parking ili kutofautisha. Hii ya 15k per day ina sound reasonable. Thanks wadau wote kwa ushauri.
Nimeuliza gharama na utaratibu. Huwezi uliza kitu usicho na idea nacho. Huduma najua ipo ila sijui inafanyaje kaziSasa kama ulikuwa unajua humu ulikuja kuuliza nini? Au kutwambia unamiliki kibebi woka[emoji23]
Nakushauri safiri nalo kama mzigo binafsi.Habari wakuu, kuna yeyote anayefahamu utaratibu na gharama za kufuata ili kupata long term parking katika uwanja wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA).
Nina safari nje ya Dar kwa siku tatu, na ningependa kupark gari pale ili nikirudi niichukue.
Huu ndo ushauri bora kabisa nimepata😀sawa mkuu ntalipakia kwenye begiNakushauri safiri nalo kama mzigo binafsi.
Asante, nipe namba ya gari lako ili nikulindie utakaposafiri, ila kwanza nitumie hela ya kununua tochi na helimeti.Huu ndo ushauri bora kabisa nimepata😀sawa mkuu ntalipakia kwenye begi
We we! Anakwenda kupanda ndege haendi Mbezi kwa Magufuli, sasa ataanzaje kushuka kwenye teksi kisha aingie kwenye ndege, huyu anataka ndege inaporuka amuonyeshe jirani yake kwenye dirisha kuwa "that's my Tesla parked".Ni kweli..si achukue taxi kutoka kwake haiwezi kuzidi elfu 30 kwenda na siku ya kurudi..au ndio wale wa Kanda maalumu ya kupenda sifa ametaka tujue anapanda ndege na anamiliki gari.
Umekula lakini?Huu ushauri mbona kama wa kiboya sana?