Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
yaani Subaru ndo inakufikirisha hivi? ungekuwa a Gari la Ukweli je? hiyo SUbaru kuna jamaa huwa analaza nje tu na sometime anasafiri hata week 3 anarudi anaikuta ipo pale pale....... si gari za kuogope.ndo gari yako ya kwanza nini? na pia hujawahi panda ndege
Haya haya kumekucha matajiri wa JF washaamka[emoji23][emoji23]