Gumasa
Member
- May 10, 2023
- 32
- 32
Habarini za majukumu ndugu wadau wa JF.
Ninafanya biashara ya kuuza samaki aina ya sato. Size ya samaki wanaopatikana kwa wingi kwa sasa ni wale wanaovuliwa katika nyavu ya nchi 4 mpaka nchi 4.5.
Kama kuna mdau anafanya hii biashara ya samaki mahali popote na angependa kupata mzigo kutoka kwangu namkaribisha sana.
Nina uwezo wa kukuanzia samaki wengi kulingana na mahitaji yako, hata kama utahitaji piece 1000.
Mauziano ni keshi mkononi, maana yake unahesabu mzigo wako kulingana na makubaliano then unakabidhi hela mkononi. Hiyo ndiyo heshima na nidhamu ya fedha ili tuepuke kurogana na kuuana kabisa.
Ninafanya biashara ya kuuza samaki aina ya sato. Size ya samaki wanaopatikana kwa wingi kwa sasa ni wale wanaovuliwa katika nyavu ya nchi 4 mpaka nchi 4.5.
Kama kuna mdau anafanya hii biashara ya samaki mahali popote na angependa kupata mzigo kutoka kwangu namkaribisha sana.
Nina uwezo wa kukuanzia samaki wengi kulingana na mahitaji yako, hata kama utahitaji piece 1000.
Mauziano ni keshi mkononi, maana yake unahesabu mzigo wako kulingana na makubaliano then unakabidhi hela mkononi. Hiyo ndiyo heshima na nidhamu ya fedha ili tuepuke kurogana na kuuana kabisa.