Nina shida ya kufa mtu..........!!!!!!!!!

Nina shida ya kufa mtu..........!!!!!!!!!

Madame B us'take ncheke! Afu hulali wewe? Last naiti nilikuota kuwa ulikuja harusini kwetu na kuanza vurugu! Ilikuwa bonge la songombingo aise LOL.
 
Last edited by a moderator:
Ben Saanane yuko kikazi jijini New York.
Hvo sa hv mwache Chimbuvu atese...
Kwanza nitaanza kukutegea mabomu kwa kosa la kufunga ndoa na mtoto wa shule Lady doctor.

Madame B mbona unatoa siri tena? Wakati mie niliandika nina miaka 26 badala ya 18 kwa baba paroko,... Piga kimya nitakupa unachotaka ili wasije wakamshutumu mumewangu
 
Last edited by a moderator:
Madame B mbona unatoa siri tena? Wakati mie niliandika nina miaka 26 badala ya 18 kwa baba paroko,... Piga kimya nitakupa unachotaka ili wasije wakamshutumu mumewangu

ahaa!ahaa!ahaa!aahaa!ahaa!ahaa!Mungu awabariki mzidi kuwepo hapa jf,
 
Last edited by a moderator:
Madame B mbona unatoa siri tena? Wakati mie niliandika nina miaka 26 badala ya 18 kwa baba paroko,... Piga kimya nitakupa unachotaka ili wasije wakamshutumu mumewangu

We si unajifanya mjanja sana!
Ngoja nikamfurumushe na yule mtoto wako uliezaa na yule mpemba aliekuwa anauzaga duka pale karibu na home.
 
Last edited by a moderator:
Madame B us'take ncheke! Afu hulali wewe? Last naiti nilikuota kuwa ulikuja harusini kwetu na kuanza vurugu! Ilikuwa bonge la songombingo aise LOL.

Hahaha!
Hyo trela tu....picha linakuja.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom