Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
i luv u too
I love u three...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
i luv u too
Sipati picha Ben Saanane atakapolikuta bandiko lako hapa mkuu.
Evelyn Salt nipe a/c number nikurushiemo dollar 2000.
Mumeo mtarajiwa Yericko Nyerere naye atakutumia vijisenti shida zote tupa chini !!
Yericko Nyerere mda huu anasakata kabumbu.
Afu nawe Arushaone mmbea, aliekwambia huyo ni mumewe mtarajiwa ni nani?
Evelyn Salt nipe a/c number nikurushiemo dollar 2000.
Mumeo mtarajiwa Yericko Nyerere naye atakutumia vijisenti shida zote tupa chini !!
Ben Saanane yuko kikazi jijini New York.
Hvo sa hv mwache Chimbuvu atese...
Kwanza nitaanza kukutegea mabomu kwa kosa la kufunga ndoa na mtoto wa shule Lady doctor.
Madame B us'take ncheke! Afu hulali wewe? Last naiti nilikuota kuwa ulikuja harusini kwetu na kuanza vurugu! Ilikuwa bonge la songombingo aise LOL.
honey...? Yaani ndoa yetu bado changa halafu unaanza kukopesha watu usiowajua.
usitake nikuchoke mapema honey! Nakuwinda ujue
Evelyn Salt nalamjua sana hny.hata hivyo vidola elfu mbili ni nini kwani? Acha nimpige tafu tu kwani kasema ana shida ya kudedi mtu.
Acha puresha mpenzi, njoo nikukumbatie, huyo nilikuwa namrusha mtima tu.
Shida ya kufa mtu!! au Shida ya pesa?
Madame B mbona unatoa siri tena? Wakati mie niliandika nina miaka 26 badala ya 18 kwa baba paroko,... Piga kimya nitakupa unachotaka ili wasije wakamshutumu mumewangu
ahaa!ahaa!ahaa!aahaa!ahaa!ahaa!Mungu awabariki mzidi kuwepo hapa jf,
Madame B mbona unatoa siri tena? Wakati mie niliandika nina miaka 26 badala ya 18 kwa baba paroko,... Piga kimya nitakupa unachotaka ili wasije wakamshutumu mumewangu