Nina shida ya kufa mtu..........!!!!!!!!!

Nina shida ya kufa mtu..........!!!!!!!!!

We si unajifanya mjanja sana!
Ngoja nikamfurumushe na yule mtoto wako uliezaa na yule mpemba aliekuwa anauzaga duka pale karibu na home.

yule mtoto si wako Madame B mbona unataka kuniuzia kesi jamani? Halafu yule mpemba anakutafuta ujue ukamchukue mtoto maana mie nimeshaolewa... Pale kwa mpemba nilikuwa nakusaidia tu kumlea mwanao
 
Last edited by a moderator:
mke wangu Evelyn Salt ujue unanipa aibu kujiombeleza vi million viwili.
embu chukua kadi yangu ya CRDB ipo pale katika droo ya kabati ya nguo zangu ukavute hizo pesa.
utaingiza pass ni 98989
 
Last edited by a moderator:
mimisa nakuona umejificha kwa mbali
 
Last edited by a moderator:
Eli79 nawe nakuona unachungulia
 
Last edited by a moderator:
Too late!! Tunasafiri leo usiku kwa ndege kwenda NORWAY kwa ajili ya fungate/honeymoon kwa mwezi mmoja, utajiju.

Kopi kwa Lady doctor.

hahahaaa na atajiju kweli, sisi ndio haooooooo...... Full maloveeeeee,
 
Last edited by a moderator:
mke wangu Evelyn Salt ujue unanipa aibu kujiombeleza vi million viwili.
embu chukua kadi yangu ya CRDB ipo pale katika droo ya kabati ya nguo zangu ukavute hizo pesa.
utaingiza pass ni 98989

hahahaaa.......kufulia kubayaaaaa....... Cheki mkeo kageuka ombaomba sasa......
Poleni sana!!! Ila shida zikiwazidi usisite kuongea na mume wangu Billionair Arushaone atawasaidia
poleni sana ndugu zangu, ndio maisha yalivyo jamani!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa.......kufulia kubayaaaaa....... Cheki mkeo kageuka ombaomba sasa......
Poleni sana!!! Ila shida zikiwazidi usisite kuongea na mume wangu Billionair Arushaone atawasaidia
poleni sana ndugu zangu, ndio maisha yalivyo jamani!!!!!!!!

pole ya nini ? mbona mambo ni mswano tuu? pesa ipo alikuwa anawapima tu awaone nyie mnaojifanya ma shots wake kumbe mnamg'ong'a
 
Back
Top Bottom