KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Ka bdo sealed, ni pm acc yko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We si unajifanya mjanja sana!
Ngoja nikamfurumushe na yule mtoto wako uliezaa na yule mpemba aliekuwa anauzaga duka pale karibu na home.
Hahaha!
Hyo trela tu....picha linakuja.
Yericko Nyerere nawe nakuona unachungulia
mke wangu Evelyn Salt ujue unanipa aibu kujiombeleza vi million viwili.
embu chukua kadi yangu ya CRDB ipo pale katika droo ya kabati ya nguo zangu ukavute hizo pesa.
utaingiza pass ni 98989
Maana yake ukijilengesha tu, unauawa fasta...
Too late!! Tunasafiri leo usiku kwa ndege kwenda NORWAY kwa ajili ya fungate/honeymoon kwa mwezi mmoja, utajiju.
Kopi kwa Lady doctor.
mke wangu Evelyn Salt ujue unanipa aibu kujiombeleza vi million viwili.
embu chukua kadi yangu ya CRDB ipo pale katika droo ya kabati ya nguo zangu ukavute hizo pesa.
utaingiza pass ni 98989
mkuu nachungulia vile sipo kwenye list ya mabillionea wa JF, hata list ya mamillionea mi simo..teh!
hahahaaa.......kufulia kubayaaaaa....... Cheki mkeo kageuka ombaomba sasa......
Poleni sana!!! Ila shida zikiwazidi usisite kuongea na mume wangu Billionair Arushaone atawasaidia
poleni sana ndugu zangu, ndio maisha yalivyo jamani!!!!!!!!
kwani unajishughulisha na nini?