Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Biashara za kwenye karatasi ni rahisi sana.
Sema pale kwenye zile hesabu kuna walakini,yaani najiuliza kwa nini mmiliki wa hiyo lodge aachie mapato ya milioni 5 akubali kumwachia mtu kupewa mapato ya milioni 1 kwa mwezi.
 
Yaani umesevu milioni 64 ndani ya miezi nane kwenye mshahara 😀😀yaani maana yake kila mwezi ulikuwa unasevu milioni 8,
Kama ni mtumishi wa Umma utakuwa ni mzee wa magumashi,
 
Kuna comments kama ya huyu uliem quote huwa naziona then naamua kuzipotezea tu mkuu. Wangejua bongo hii hii hata katika watu wanaolipwa hela nyingi sipo, pamoja na kulipwa 14+ per month. Kuna watu wanakunja mara mbili ya hiyo.

Umasikini ni mbaya sana, ndo chanzo cha wivu na frustrations za hivi, kwa hiyo mimi huwa naelewa sana watu wa namna hii.

Mimi nimeweka nidhamu kubwa sana pia katika ku save. Na save 2/3 ya net income yangu, I live a very simple life.

Kitu kikubwa kinachoniumiza kichwa ni namna ya kuizalisha hiyo pesa, kama nilivyosema awali sijawahi fanya biashara ya kuzalisha hata 500.
Kama 14 m ni gross basi take home yako haizidi 9m
 
Yaani umesevu milioni 64 ndani ya miezi nane kwenye mshahara 😀😀yaani maana yake kila mwezi ulikuwa unasevu milioni 8,
Kama ni mtumishi wa Umma utakuwa ni mzee wa magumashi,
Kuna watu wanalipwa mil 20 kwa mwezi mm ni shuhuda bosi wetu alikuwa ni md wa shirika take home mil 20 sema alikuwa analipwa in usd so sishangai
 
Back
Top Bottom