Nina stress nimekuwa mlevi na malaya, naona nitakufa

Nina stress nimekuwa mlevi na malaya, naona nitakufa

Vifaranga200

Senior Member
Joined
Oct 28, 2022
Posts
163
Reaction score
177
Nilikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.

Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Magufuli alifanya wazembe wote wakaa pembeni. Wahuni mtatuua

Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.

Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.

Naomba ushauri siyo matusi.
 
.
Tatizo la kwanza ni kwamba ulikuwa na very high expectations. Mchakato wa teuzi ulipogoma, ukawa frustrated. Kwenye maisha, hii equation ni muhimu: Frustrations = Expectations - Reality.
Always have low or no expectations at all. It will relieve you from a lot of unnecessary stress.
.
Kubali matokeo then move on, may be its just not your time yet. Ulevi na umalaya havitakusaidia kupata uteuzi au kuondoa stress. Unapoteza hela kwenye ulevi na unaweza kuzoa magonjwa kwa umalaya.
 
Mambo mengi yanapogoma jarbu kubadili mfumo wa maisha quickly iwezekanavyo kwanza badili mazingira tafuta vacation sehemu huko mbalii kidogo then hakikisha

Rudi na ufanye ibada kulingana na dini yako.
 
Jifunze ku "let go" ama kwenda na "flow ya maisha". Usiishi kwenye past kwa sababu hiyo ni dalili ya depression na hutatoka salama.

Jifunze kukubaliana na uhalisia wa maisha hapo ndiyo utaweza kukua. Hao malaya watakuua tu na kama siyo kukuua pochi yako haitakuwa salama.
 
Nakushauri tafuta kitu positive mfano mazoezi or jogging na ujiweke kwenye makundi positive ambayo yatakifanya usahau stress zako. .

Mfano unaweza jifunza lugha za kigeni zile ngumu kama kichina, kihindi, kiarabu, kireno kwa wakati mmoja. Inaweza kukusahaulisha na mambo unayopitia. .

Ila ukiendelea na pombe Iko siku zitakuua. Kwani kupunguzwa cheo ndo mwisho wa maisha?

Nakushangaa sana kwanza maana sioni kuwa una matatizo naona kama unajitengenezea matatizo. Tena una kazi Kuna watu wana family na hawana kazi. Acha kujirudisha nyumba na kulalamika kama mtoto kino. .
 
Nikikopa Benki 20 mil nineimaliza na mademu na pombe.

Msinitukane nihurunieni.

Chanzo Cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo ila Kwa utendaji kazi, team work na Imani kwamba naanza kutoka kimaisha. Ghafla Baad ya kuingia mama Samia, akapangua pangua.


Bahat mby tukaathirka kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.


Kwa Sasa nakula bia Sanaa na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha

Kwa Sasa naona kabisa nina UTI sugu na Sina amani.

Naomba ushauri sio matusi
Mkuu jiue tu commit suicide it will help you forever
 
Mambo mengi yanapogoma jarbu kubadili mfumo wa maisha quickly iwezekanavyo kwanza badili mazingira tafuta vacation sehemu huko mbalii kidogo then hakikisha

Rudi na ufanye ibada kulingana na dini yako.
Hizi series mnazoangaliaga siku hizi Kwa shemeji zenu zimewaharibu sana. Mbongo na vacation wapi na wapi?
 
Hiyo combination ya ulevi na umalaya utakufa kweli mapema.
Mrudie Mungu,fanya ibada na kufunga akurejeshe kwenye hali yako ya kawaida
 
Nikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.

Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo, ila kwa utendaji kazi, team work na imani kwamba naanza kutoka kimaisha.

Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.

Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.

Naomba ushauri siyo matusi.
Pole sana kwa haya unayopitia je una familia? Mke? Watoto? Chochote utakachofanya wakumbuke hao kwanza!
Mke anaweza kukuacha na kwenda kuolewa kwingine na akakusahau lakini vipi watoto?
Una ndugu wanaokupenda? Achana na marafiki hasa hawa wa kukutana ukubwani.. Kuna kundi kubwa nyuma yako litakaloumia ama linaloendelea kuumia kimyakimya kwa jinsi unavyoendelea kuharibikiwa

Sikiliza hii itakusaidia sana
 
Nikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.

Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo, ila kwa utendaji kazi, team work na imani kwamba naanza kutoka kimaisha.

Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.

Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.

Naomba ushauri siyo matusi.
kitu kizuri umetambua hali uliyonayo na chanzo unakijua. ulitarajia pakubwa hujapata hivyoo puguzaa tamaa mbaya, Mungu humjaribu mtu kabla ya kumpa kupima uvumilivu, hatakama hiyo nafasi ipo kwa baadae umeanz kuitia doa maana umeonyesha picha mbaya kwa wenzio sasa. subira ni kila kitu kwenye maisha. nenda hospitali ukapima ili ujihakikisshie afya na upange namna ya kuitunza, Afya ni mtaji no moja, hivyo utajithamini zaidi ukijua afya yako, mbili tambua baa hakuna mwanamke salamaa hivyo pesa uliyo baki fanyia kiyu uutakacho kuwa unakiona kama kuunua aridhii nje ya mji kama aset ya baadae. achana na marafiki uongo na tafuta rafiki akusogeze karibu na ibaada yaani Mungu
Anza kuitafuta heshima uliyoipoteza kazini, piga kazi zako kwa uhakika, bila kujali watasema nini, imprese your boss. pata nafasi ya kula vizuri na mazoezi, jiunge jimu ili upunguze muda wa kuwa idle na upate marafiki wapi. kama hujaoa tafuta rafiki wa kike anayependa maendeleo ili akuchochee.

Kumbuka MUngu ni kila kitu, soma neno lake utapta amani ya moyo
 
Back
Top Bottom