Nina stress nimekuwa mlevi na malaya, naona nitakufa

Nina stress nimekuwa mlevi na malaya, naona nitakufa

Daah naelewa unayopitia. ilishawahi kunipata hii miaka fulani niliacha kazi nikawa sina direction yoyote, asee nilikua mtu wa bar tu na ma barmaid, nililoose direction totally mpaka akiba yangu ilipoisha nikaanza kuingia na mikopo asee sitaki kukumbuka. ila Mungu si athumani niko level now ule mwaka ndio nautumia kama password zangu yaani ntaanzaje kuusahau!
Kumbe watu mnawapitia sana Ma-Bar maid??? Hatari sana....
 
We braza km mm tu nikiwa na stress huwa nachakata mbususu mnoo hata ajichanganye bibi kizee nafagia ila mm mitungi sigusi
Kwa hiyo hasira zote unaamishia kwenye Mbususu???? Hapo unawashughulikia mpaka watoe machozi kwa hasira.....Kama nakuona vile....
 
Unajidekeza tu hakuna cha stress hapo. Watu kushushwa cheo ndo unadeka hivyo,ukifukuzwa kazi sasa?
 
Back
Top Bottom