Nina stress nimekuwa mlevi na malaya, naona nitakufa

Nina stress nimekuwa mlevi na malaya, naona nitakufa

Nikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.

Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo, ila kwa utendaji kazi, team work na imani kwamba naanza kutoka kimaisha.

Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.

Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.

Naomba ushauri siyo matusi.
Umejieleza usitukanwe?Okay!Basi nikueleze weye ni kenge-bluu!Umeshushwa cheo,sawa.Kwani na mshahara wameupunguza?Vyeo na vifananavyo umevikuta na utaviacha.Sasa ukiwa mlevi na malaya ndiyo utapanda cheo?Kuwa na moyo mgumu.Jikubali.Yawezekana umeepushwa kifungo,kifo au aibu kwenye jamii.Tulia na uache uwendawazimu.Nakueleza kwa uzoefu wangu.
 
Nikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.

Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo, ila kwa utendaji kazi, team work na imani kwamba naanza kutoka kimaisha.

Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.

Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.

Naomba ushauri siyo matusi.
Kama uliwekwa pembeni kutokana na ku-misbehave; wizi, utendaji mbovu, nk, basi kushushwa cheo nia haki yako......umevuna ulichopanda. Hata hivyo, unapaswa kutulia na kutafakari ni namna gani unaweza kupanda tena, na sio kukata tamaa. Tunaangalia tulipojikwaa na kufanya marekebisho ili tusijikwae tena.
 
Nikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.

Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo, ila kwa utendaji kazi, team work na imani kwamba naanza kutoka kimaisha.

Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.

Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.

Naomba ushauri siyo matusi.

Unaishi wapi? Mkoa gani, sio tu waitaji ushauri ila waitaji kukaa na watu sahihi uanze kubadili your conscious mind kwa kusikiliza vitu sahihi, warumi 12: 1 - 2
 
Mkuu jiue tu commit suicide it will help you forever
Daaahh we jamaa 😁😁

Nahisi jamaa kiasi flani labda ni wale wa kutoka school unapata kazi then maisha yanaendelea. Hujui dissapointments wala rejection za kukosa kitu flani

Hajui kuwa unaweza fanya kazi kubwa na ukadhurumiwa au credits akapewa mwingine au pengine usipate positive remark yoyote zaidi ya kuendelea kutumika

Kiufupi hajawahi kupata misukosuko mizito kwa life la kawaida hadi kazini, ikamtikisa hadi akatikisika vizuri

Sisemi kwamba hana haki maana najua kila mtu ana kiwango chake cha kustahimili maumivu lakini naona amekuza mambo

Atoke kidogo aende hata magerezani huko, kwenye vituo vya watoto yatima au streets kwa watu wasio na maisha lakini wana furaha. Atajifunza maisha ni zaidi ya good days na kutarajia mambo yawe rahisi rahisi maana kiuhalisia, hayapo hivyo
 
Nikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.

Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo, ila kwa utendaji kazi, team work na imani kwamba naanza kutoka kimaisha.

Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.

Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.

Naomba ushauri siyo matusi.
We umeshushwa cheo,kuna wenzako hawana kazi kabisq
 
Focus on your well being and move forward. Missing what you had expected is not end of the world. Act positively.
 
Pole sana kwa haya unayopitia je una familia? Mke? Watoto? Chochote utakachofanya wakumbuke hao kwanza!
Mke anaweza kukuacha na kwenda kuolewa kwingine na akakusahau lakini vipi watoto?
Una ndugu wanaokupenda? Achana na marafiki hasa hawa wa kukutana ukubwani.. Kuna kundi kubwa nyuma yako litakaloumia ama linaloendelea kuumia kimyakimya kwa jinsi unavyoendelea kuharibikiwa

Sikiliza hii itakusaidia sanaView attachment 2407127
Some people need to learn in a hard way brother

Leo utamuelekeza na kumlinda asifanye upuuzi lakini hili life lilivyo kesho atakutana na dissapointment nyingine itakuwaje

Imagine unakosa cheo ambacho haukuwa officially announced ndio uteseke kiasi hiki na vipi angepoteza kazi si ndo angejiua bila kufikiria

Huwa nina huruma sana lakini Kuna watu sometimes wanakuza mambo kwa kutokujua real problems and hustles zinafananaje na hii inawakuta sana wanaofanya kazi serikalini. Wapo into easy stuffs, kupata vyeo na kupanda madaraja kirahisirahisi tu ndio maana wapo physically and emotionally attached to their jobs tofauti na watu wa private institutes

Huyu anahitaji upendo Ila zaidi ni tough love hasa kwa walio karibu yake lakini zaidi awe exposed na real life ya mtaa. Akatembee masokoni na mabarabarani, akawaone machinga wanaoishi chumba kimoja na wana furaha.

Mungu amsaidie sana sanaaa kuweza kustahimili lakini nachomuombea zaidi ajifunze na kutengeneza nguvu ya kustahimili makubwa zaidi ya hayo maana life laeza mpa menu kubwa zaidi someday
 
Pole sana,
Kiukweli nami yashanikuta na nimeyapitia,
Inaumiza na inagharim sn.
Nilichojifunza, unatakiw kutulia kwnz na kukubaliana na matokeo kw wkt huo.
Jitafakari fanya ibada sana kw iman yako.
Halafu anza kuchapa kazi huku ukijarib kuwa karibu na watu wa kazn kwako ,ili fursa ikipatikan uipate,
Hata kama maboss waliopo kw sasa hawasomeki,
Amini watahamishw, watakuj wengine ,watAkaosomek na wataweza kukusogeza sehem ikakupa mwanzo mpya wa matumain,
 
Nikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.

Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo, ila kwa utendaji kazi, team work na imani kwamba naanza kutoka kimaisha.

Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.

Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.

Naomba ushauri siyo matusi.
Nakupa pole ndugu, hakuna kitu kinachoweza kukuweka kwenye wakati mgumu kama matokeo yanapokuwa tofauti na matarajio.
Bahati nzuri pia maisha ya mwanadamu yapo kwa mfumo wa kujifunza kila wakati, uwe mbaya au mzuri, pia akili ya mwanadamu imeundwa kwa mfumo wa kujifunza wakati wote ikiwa hai.

Kukosea kunakua kosa pale unapojua umekosea halafu ukaendelea kubaki katika kosa.

Unanafasi bado ya kurekebisha makosa, jana ilikua nzuri imepita, leo pia ita pita na kesho ilio nzuri inakuja lakini kesho nzuri huundwa leo. Itumie leo vizuri ili kesho nzuri iwe kwako.
 
Nshu sio tu kutambua hali uliyonayo nshu ni kuwa na balls kuchange that fucked up combination pombe plus malaya..

Biblia inakwambia pombe na malaya huwapotosha wanaume wenye akili na ukifanya urafiki na malaya mwisho wake ni kuliwa na wadudu tu no way out.... get out of that shithole mapema bro i hv been there and am still struggling kuacha hizo mambo na hazina dili wala nn zinakukwamisha tu zaidi na zaidi
 
Situation ngumu sn hii,pole mkuu. Wa kukuponya ni wewe mwenyewe kujitafakari na kuamua kukubaliana na hali na matokeo.Utapata amani ya nafsi kisha utaacha hizo tabia.

I used to pass this situation, aisee kwanza unajikuta umechakaa,upo valueless n.k.

Jipende,kula vizuri,kaa sana home usitoke kwenda sehemu za starehe,sikiliza music unaoupenda sn ukiwa home pia nenda kafanye ibada. Kwa haya utajikuta umebadili life style automatically.

Pole sana
 
Nikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.

Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo, ila kwa utendaji kazi, team work na imani kwamba naanza kutoka kimaisha.

Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.

Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.

Naomba ushauri siyo matusi.
Unataka ushauri gani tena mkurugenzi! Ni wakati wako huu sasa kuvuna ulichopanda.
 
Nikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.

Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo, ila kwa utendaji kazi, team work na imani kwamba naanza kutoka kimaisha.

Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.

Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.

Naomba ushauri siyo matusi.
Kwa sababu wewe ndio unastahili cheo kuliko wengine au? Si Bora ufe tuu stupid wewe.
 
Nikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.

Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo, ila kwa utendaji kazi, team work na imani kwamba naanza kutoka kimaisha.

Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.

Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.

Naomba ushauri siyo matusi.
Una mke? Familia? Jibu tukushauri vizuri.
 
.
Kwenye maisha, hii equation ni muhimu: Frustrations = Expectations - Reality.
Always have low or no expectations at all. It will relieve you from a lot of unnecessary stress.
.
Unajua. Akili ipo.
 
Nikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.

Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo, ila kwa utendaji kazi, team work na imani kwamba naanza kutoka kimaisha.

Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.

Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.

Naomba ushauri siyo matusi.
Utakufa kweli usipochukua hatua na moyo wako.
Hizo zote sio sifa ila ni utoto na kuiga maisha ya watu ambao hawakufundishwa maadili.
Fanya kuitubu hiyo u.t.i kwa sindano na ukimaliza hapo uachane na huo upuuzi katubu uanze upya.
 
Back
Top Bottom