Nina stress nimekuwa mlevi na malaya, naona nitakufa

Nina stress nimekuwa mlevi na malaya, naona nitakufa

Daah naelewa unayopitia. ilishawahi kunipata hii miaka fulani niliacha kazi nikawa sina direction yoyote, asee nilikua mtu wa bar tu na ma barmaid, nililoose direction totally mpaka akiba yangu ilipoisha nikaanza kuingia na mikopo asee sitaki kukumbuka. ila Mungu si athumani niko level now ule mwaka ndio nautumia kama password zangu yaani ntaanzaje kuusahau!
 
Nikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.

Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo, ila kwa utendaji kazi, team work na imani kwamba naanza kutoka kimaisha.

Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.

Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.

Naomba ushauri siyo matusi.
Pole
 
"Too much expectations is disappointment"

Mkuu umejaribu hata kupita kwenye majeneza ukajua bei atleast ukajinunulia hiyo zawadi kabla hizo 20miho hazija kata
 
Nshu sio tu kutambua hali uliyonayo nshu ni kuwa na balls kuchange that fucked up combination pombe plus malaya..

Biblia inakwambia pombe na malaya huwapotosha wanaume wenye akili na ukifanya urafiki na malaya mwisho wake ni kuliwa na wadudu tu no way out.... get out of that shithole mapema bro i hv been there and am still struggling kuacha hizo mambo na hazina dili wala nn zinakukwamisha tu zaidi na zaidi
Swadaqta!
 
Kwanza hizi comment unasoma ukiwa umelewa au ukiwa timamu??
 
Nikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.

Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo, ila kwa utendaji kazi, team work na imani kwamba naanza kutoka kimaisha.

Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.

Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.

Naomba ushauri siyo matusi.
jaribu kwenda benki ukakope tena milion 80
 
Start preparing yourself. Weka mambo sawa and write your will
 
Nikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.

Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Magufuli alifanya wazembe wote wakaa pembeni. Wahuni mtatuua

Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.

Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.

Naomba ushauri siyo matusi.
Endelea kulea vifaranga vyako,maana akili yako kama kuku
 
Back
Top Bottom