Vifaranga200
Senior Member
- Oct 28, 2022
- 163
- 177
- Thread starter
- #41
Kutubu home na sio Chachi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wale walleKweli una stress, mbona sijaona sehemu kasema upeleke ela chachi?
Mwambie muonane baadae umfanyie cancellingKwani haiwezekani?? Kwake
PoleNikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.
Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo, ila kwa utendaji kazi, team work na imani kwamba naanza kutoka kimaisha.
Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.
Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.
Naomba ushauri siyo matusi.
Dah..mna nguvu nyie..sisi wengine tukiwa na stress hata mbo.lo huwa haidindi kabisa.We braza km mm tu nikiwa na stress huwa nachakata mbususu mnoo hata ajichanganye bibi kizee nafagia ila mm mitungi sigusi
😂😂😂😂We braza km mm tu nikiwa na stress huwa nachakata mbususu mnoo hata ajichanganye bibi kizee nafagia ila mm mitungi sigusi
Swadaqta!Nshu sio tu kutambua hali uliyonayo nshu ni kuwa na balls kuchange that fucked up combination pombe plus malaya..
Biblia inakwambia pombe na malaya huwapotosha wanaume wenye akili na ukifanya urafiki na malaya mwisho wake ni kuliwa na wadudu tu no way out.... get out of that shithole mapema bro i hv been there and am still struggling kuacha hizo mambo na hazina dili wala nn zinakukwamisha tu zaidi na zaidi
jaribu kwenda benki ukakope tena milion 80Nikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.
Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Haikuwa rasmi kwamba nimepanda cheo, ila kwa utendaji kazi, team work na imani kwamba naanza kutoka kimaisha.
Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.
Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.
Naomba ushauri siyo matusi.
Subiri aliyekuondolea cheo nayeye cheo chake kiishe muda wakeNaomba ushauri siyo matusi.
Lini MkuuSubiri aliyekuondolea cheo nayeye cheo chake kiishe muda wake
Jiwe alikuwa kila kitu, lkn manailoni mtatuuwa Kwa kweliNyie team Jiwe mtapukutika wote.
Kazi yenu ilikuwa kumwabudu Jiwe kila siku
Umenena MkuuSio poa, ila kama ushajishtukia kinachokusumbua ni kujibwetesha. Badili mfumo wa maisha usitafute visingizio Mkuu.
Ukweli mchungu ila ndio dawa.
Endelea kulea vifaranga vyako,maana akili yako kama kukuNikikopa benki 20 mil nimeimaliza na mademu na pombe. Msinitukane nihurunieni.
Chanzo cha haya mambo ni kushushwa cheo. Magufuli alifanya wazembe wote wakaa pembeni. Wahuni mtatuua
Ghafla baada ya kuingia mama Samia, akapangua pangua. Bahati mbaya tukaathirika kwenye eneo langu na nikawekwa pembeni. Imeniuma sana.
Kwa sasa nakula bia sana na wanawake wengi ni bar medi na wanaojipitisha. Kwa sasa naona kabisa nina UTI sugu na sina amani.
Naomba ushauri siyo matusi.